Ningekutana na Rais leo, Nimgemwuliza kwanini amemtoa Mchengerwa Utawala Bora

Ningekutana na Rais leo, Nimgemwuliza kwanini amemtoa Mchengerwa Utawala Bora

Mchengerwa alikuwa very smart na alishaanza kuwafanya Watumishi waipende Serikali yao na waone inawajali of which ndiyo kazi ya kwanza ya Mwanasiasa,kupigiwa kura kunafuata.Alifanya vyema sana sijui nini kimetokea.
Exactly
 
Naunga mkono hoja, Mheshimiwa Rais Mama Samia turudishie Mchengerwa utumishi. Hata Lile zoezi la kupandisha madaraja liloenda vizuri. Ki ukweli alisimamia vizuri ile wizara.

Huyu Mhagama ana roho mbaya, mbaguzi,hana ufanisi. Sijawahi kuona wizara anaongozi imefanya vizuri.
 
Mama chonde chonde, nakuomba tena kwa kusisitiza sana, mrejeshe Mohammed Mchengerwa Wizara ya Utumishi. Huyo bwana hapo alikuwa smart sana na alijitahidi sana kushughulikia na kutolea ufafanuzi kwa ufasaha kabisa masuala ya kiutumishi.

Huyu kipaza sauti uliyemleta utumishi naomba arudi huko kwenye sera na siasa nyingine. Mhagama ni mpiga mayowe tu na hawezi kujenga hoja, atasababisha uchukiwe bure na watumishi.

Mchengerwa ni smart sana ambaye ameanza vizuri, hupaswi kumkatisha tamaa kwa kupeleka huko.

Yule anatakiwa Utumishi au TAMISEMI. Very smart

Mwisho rekebisha jina la Wizara ya Gwajima hasa pale kwenye Wanawake na Jinsia hapajakaa vizuri maana neno jinsia linatisha sana

Kazi iendelee!!
kwa mhagama...soon Ndjembi will be frustrated kama mavunde na katambi.....mama mbea huyo ni balaa.
 
Mama chonde chonde, nakuomba tena kwa kusisitiza sana, mrejeshe Mohammed Mchengerwa Wizara ya Utumishi. Huyo bwana hapo alikuwa smart sana na alijitahidi sana kushughulikia na kutolea ufafanuzi kwa ufasaha kabisa masuala ya kiutumishi.

Huyu kipaza sauti uliyemleta utumishi naomba arudi huko kwenye sera na siasa nyingine. Mhagama ni mpiga mayowe tu na hawezi kujenga hoja, atasababisha uchukiwe bure na watumishi.

Mchengerwa ni smart sana ambaye ameanza vizuri, hupaswi kumkatisha tamaa kwa kupeleka huko.

Yule anatakiwa Utumishi au TAMISEMI. Very smart

Mwisho rekebisha jina la Wizara ya Gwajima hasa pale kwenye Wanawake na Jinsia hapajakaa vizuri maana neno jinsia linatisha sana

Kazi iendelee!!
NONSENSE
 
Mama chonde chonde, nakuomba tena kwa kusisitiza sana, mrejeshe Mohammed Mchengerwa Wizara ya Utumishi. Huyo bwana hapo alikuwa smart sana na alijitahidi sana kushughulikia na kutolea ufafanuzi kwa ufasaha kabisa masuala ya kiutumishi.

Huyu kipaza sauti uliyemleta utumishi naomba arudi huko kwenye sera na siasa nyingine. Mhagama ni mpiga mayowe tu na hawezi kujenga hoja, atasababisha uchukiwe bure na watumishi.

Mchengerwa ni smart sana ambaye ameanza vizuri, hupaswi kumkatisha tamaa kwa kupeleka huko.

Yule anatakiwa Utumishi au TAMISEMI. Very smart

Mwisho rekebisha jina la Wizara ya Gwajima hasa pale kwenye Wanawake na Jinsia hapajakaa vizuri maana neno jinsia linatisha sana

Kazi iendelee!!
Naunga mkono..alifit sana utumishi
 
Ombi langu kwa Rais wetu mpendwa Kama ikimpendeza amrudishe huyu Waziri kwenye Wizara maana aliitendea haki Sana Sana. Mheshimiwa Rais tunakuomba Sana sana
 
Sio wewe pekeyako. Utafiti mdogo tu unaonesha watumishi wengi hawajapendezwa na mabadiliko hayo
Ujue hyo wizara before yake ilikuwaga umelala flani humusikii Waziri akisimama na watumishi na kutoa muongozo, maana zamani wanasiasa wakuu wa mikoa walikuwa wananyima watumishi likizo bila kufata sheria, Sasa mchengerwa akakemea hyo kitu
 
Ujue hyo wizara before yake ilikuwaga umelala flani humusikii Waziri akisimama na watumishi na kutoa muongozo, maana zamani wanasiasa wakuu wa mikoa walikuwa wananyima watumishi likizo bila kufata sheria, Sasa mchengerwa akakemea hyo kitu
Ilikuwa imepata mtu hakika nakwambia
 
Kubaki haina maana ni mzuri, jenista Ana uwezo gani zaidi ya kiherehere bungeni

Maraisi hupenda watu wenye viherehere na uwezo mdg kichwani (wale wa kutumwa tumwa na ndio mzee)

Lini umeona maraisi wetu wakipenda watu smart kichwani

Kipendwa na kila awamu Ina maana ni bendera tu na mfuata maelekezo mzuri
Jenista huwa ni mweupe sana kichwani aisee, na huyo mganga wake kiboko uwaziri kwake umekuwa permanent employment na ndiyo mzee
 
Mama chonde chonde, nakuomba tena kwa kusisitiza sana, mrejeshe Mohammed Mchengerwa Wizara ya Utumishi. Huyo bwana hapo alikuwa smart sana na alijitahidi sana kushughulikia na kutolea ufafanuzi kwa ufasaha kabisa masuala ya kiutumishi.

Huyu kipaza sauti uliyemleta utumishi naomba arudi huko kwenye sera na siasa nyingine. Mhagama ni mpiga mayowe tu na hawezi kujenga hoja, atasababisha uchukiwe bure na watumishi.

Mchengerwa ni smart sana ambaye ameanza vizuri, hupaswi kumkatisha tamaa kwa kupeleka huko.

Yule anatakiwa Utumishi au TAMISEMI. Very smart

Mwisho rekebisha jina la Wizara ya Gwajima hasa pale kwenye Wanawake na Jinsia hapajakaa vizuri maana neno jinsia linatisha sana

Kazi iendelee!!
Tulijua KERO zetu sasa basi,Mara puuuu
 
Jenista huwa ni mweupe sana kichwani aisee, na huyo mganga wake kiboko uwaziri kwake umekuwa permanent employment na ndiyo mzee
Nadhani atakuwa sawa na yule mzee kawekwa ikulu wizara maalumu
 
Back
Top Bottom