Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kajitengenezea mambo gani mkuu?Ni fisadi asikwambie Mtu. Mambo aliyojitengenezea Kwa Muda mfupi mpaka mama mkwe ameshituka.
Wewe unataka kukwanyuliwa. Ile ni wizara ya TISS.Mama chonde chonde, nakuomba tena kwa kusisitiza sana, mrejeshe Mohammed Mchengerwa Wizara ya Utumishi. Huyo bwana hapo alikuwa smart sana na alijitahidi sana kushughulikia na kutolea ufafanuzi kwa ufasaha kabisa masuala ya kiutumishi.
Huyu kipaza sauti uliyemleta utumishi naomba arudi huko kwenye sera na siasa nyingine. Mhagama ni mpiga mayowe tu na hawezi kujenga hoja, atasababisha uchukiwe bure na watumishi.
Mchengerwa ni smart sana ambaye ameanza vizuri, hupaswi kumkatisha tamaa kwa kupeleka huko.
Yule anatakiwa Utumishi au TAMISEMI. Very smart
Mwisho rekebisha jina la Wizara ya Gwajima hasa pale kwenye Wanawake na Jinsia hapajakaa vizuri maana neno jinsia linatisha sana
Kazi iendelee!!
Hata mimi mama kaniudhi Sana hapa,unamtoa mtu anaetetea watumishi?Mama chonde chonde, nakuomba tena kwa kusisitiza sana, mrejeshe Mohammed Mchengerwa Wizara ya Utumishi. Huyo bwana hapo alikuwa smart sana na alijitahidi sana kushughulikia na kutolea ufafanuzi kwa ufasaha kabisa masuala ya kiutumishi.
Huyu kipaza sauti uliyemleta utumishi naomba arudi huko kwenye sera na siasa nyingine. Mhagama ni mpiga mayowe tu na hawezi kujenga hoja, atasababisha uchukiwe bure na watumishi.
Mchengerwa ni smart sana ambaye ameanza vizuri, hupaswi kumkatisha tamaa kwa kupeleka huko.
Yule anatakiwa Utumishi au TAMISEMI. Very smart
Mwisho rekebisha jina la Wizara ya Gwajima hasa pale kwenye Wanawake na Jinsia hapajakaa vizuri maana neno jinsia linatisha sana
Kazi iendelee!!
Na anatakiwa kusimamia Ili kumhakikishia usalama mkwe wakeMkwe wa Rais anasimamiaje Wizara ya Usalama wa Taifa bana? Msituletee mambo yenu
Aliwafanya nini?Nimesikia wavaa uniform wamemsagia kunguni hapo.
Hamna kitu mule Ni chawa yule mama hajwah kuwa upande wa wananchi Zaid ya kuwa upande wa wakubwa,fuatilia hoja zake bungeni utanielewaTumpe muda Jenister Mhagama anaweza kuwa bora kuliko Mchengerwa
Hakika mkuu, huko nyuma mambo yalikuwa vurugu tupu hasa kwa watumishi wa serikali za mitaa. Mmeajiriwa mwaka mmoja ila mwenzako wa wilaya X anakupita wewe wa Y kwa miaka hata miwili. Nakumbuka mwaka 2018 nilikaa miezi 11 bila kubadilishiwa mshahara nikafunga safari kwenda Dodoma ndio wakabadilishaNi sahihi kabisa,lakini nadhani mwenye mamlaka na uhalali wa kuamua nini kifanyike kwenye sehemu yake waziri maana kweli ukiangalia malimbikizo yamekuwa ni ugonjwa wa watumishi toka awamu za nyuma isipokuwa kwa awamu hii ya 6 watumishi wamepanda madaraja wengine hata barua hawajazipata lakini mshahara husika umeshaingia tayari.
My take mama kama anasikia iatakuwa ni busara kumrudisha maana hata hivyo siyo mishahara na madaraja tu hapana hata issues zingne za kiutawala jamaa kazifanyia kazi sana na kuleta ahueni kwa walio wengi japo siyo wote.