Amesema ukweli kuwa mna mipango miovu ya kutaka kuiingiza nchi katika TAHARUKI kupitia njia tofauti.....
Well....
Sawa mimi ni mpuuzi ,kaandamane mwerevu. ...
Sawa mimi mtoto mdogo ,wewe mkubwa mwenye kujitambua vyema kaandamane S 23....
Kila la heri katika maandamano ewe bingwa wa ujasiri nyuma ya keyboard.....
Intelligensia ipo kwa ajili ya kukagua upinzani wanafanya nini lkn kukamata wauwaji wanaomshusha mtu kwenye bus mchana kweupe haipo..Viongozi wetu sijui wanashida gani tu??
🤣ramba uondoke wewe na familia yako.
Slogan za nyuma ya keyboard hizo 🤣Si muwakamate? Samiah must go
Wako watu wa hovyo kwenye nafasi kubwa zaidi ya uhovyo wa Boni Mayai.....
Nimewahi kuwa mkwezi...
Slogan za nyuma ya keyboard hizo 🤣
Kaandamane mkuu wangu jasiri wa kupigiwa mfano....
🤣🤣Maandamano yote huwa nashiriki. Tangu operesheni Sangara. Karibu tujumuike.
HahahaChura kalishwa tango pori maana kajochanganya eti katumiwa clip ya slaa wa CHADEMA??who is slaa wa CHADEMA???
na hiyo clip anayoiongelea ya Slaa ni ya 2021 yeye ndo kaipata juzi??
Usiamini wala kujipa imani kuwa kila siku, wewe ukiwa wa kuua, utaendelea kuua watu wengine tu. CCM ilifanya huo ushenzi wakati wa awamu ya 5, katika awamu hii imezidisha maradufu huo ushetani maradufu, lakini ujue kuwa kuna wakati wa wao wauaji, siku nyingine, kukaa huko mipakani, hata kama watu wa haki hawatakuwa bunduki mikononi. Aliyekuwa Rais Bangladesh, Sheikh, mpaka leo amekuwa mkimbizi nchini India. Wananchi hawakubeba panga wala shoka ila uovu wake uligeuka kuwa silaha nzito za kumkimbiza.
Ukisikia mbinu za kizee ndio hizi sasa. Bado unaamini kuna wajinga ww kununua huu utoto wenu? Kwa hii hotuba ya leo ya rais ndio nimejua tunaongozwa na wajinga wa kiasi gani.
Nimecheka kwa nguvu, tena sio Mnyika tu wamuite hata mkewe, lakini ukweli kuwa vyombo vya usalama na serekali yake ndio wahusika wa huu utekaji na mauaji ya wapinzani yako wazi. Kama Dr.Slaa alichosema ni kweli wamrudishie ubalozi wake.
Ukisikia za mwizi ni 40 ndio hii sasa. Mtaumiza wapinzani sasa ili kuwatisha na kutaka umma uone ni wasafi. Wabambikieni kesi ya ugaidi kama ile ya Mbowe, lakini hili liko vibaya zaidi. Watu waelewa wanawachora tu.
Hizo za kubambikia wapinzani ili kufunika huu utekaji na mauaji inaeleweka. Hata aagize nini kifanyike, tayari yeye na serekali wameshafeli pakubwa kwenye imani ya umma. Zama za kutishia na kudanganya umma zilishaisha.
Rais mzima anaenda hadharani anabeba viclip visivyo na kichwa wala miguu, kisha anasema huo ndio ushahidi! Yaani ni bonge la aibu huku hana majibu ya waliotekwa.Tindo ww ni mwelewa Sana,
I know unaelewa what I mean
So siwez kubishana na wewe because I'm very sure unaelewa vizuri kabisa ninacho kimaanisha hapa
Unadhania kwanini Rais amesema amesikiliza clip ya slaa? Nchimbi?
Fungua code mzee
Kwann watoroke ushahid si mnao nendeni kawakamateni wako mikochen apo wanaendelea na kikao cha maandamano ya tarehe 23Kwenye hotuba ya Leo ya mheshimiwa Rais ametoa code moja ambayo kama ni kweli viongozi wa chadema walifanya mkutano Arusha na waliongea Ile code ambayo Rais kaisema then ni Jambo la wazi wanatakiwa kuwa border now.
Maana yake taarifa zote za kikao chao itakuwa Rais kazipata.
Sasa kama waliplan vurugu na Rais kapata ushahidi then waanze kutoroka inchi.
Otherwise Segerea itawahusu
Soma:
- Rais Dkt. Samia: Nina taarifa ya kikao chao cha Arusha, wanapanga uhalifu, Serikali ya Tanzania haiondoshwi hivyo
Jf ni sehemu tu ya kuripoti hisia za umma. Au unaamini wasiongia jf ni wajinga hivyo wanaamini huo utopolo alioongea rais?Umma Gani?
Huu umma mnaozungumzia hapa ni huu umma wa JF?
Tangu lini chadema wakaplan vurugu?Kwenye hotuba ya Leo ya mheshimiwa Rais ametoa code moja ambayo kama ni kweli viongozi wa chadema walifanya mkutano Arusha na waliongea Ile code ambayo Rais kaisema then ni Jambo la wazi wanatakiwa kuwa border now.
Maana yake taarifa zote za kikao chao itakuwa Rais kazipata.
Sasa kama waliplan vurugu na Rais kapata ushahidi then waanze kutoroka inchi.
Otherwise Segerea itawahusu
Soma:
- Rais Dkt. Samia: Nina taarifa ya kikao chao cha Arusha, wanapanga uhalifu, Serikali ya Tanzania haiondoshwi hivyo
Mimi niko salama sana. Karibu Mbezi Beach Target tupate kinywaji na kitimoto kizuriii.Bro hata wewe hauko salama