GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
- Thread starter
-
- #21
Huo ni uonevu kabisa. Sidhani kama nchi za wenzetu wanafanya hivyo. Japo sina uhakika, lakini sidhani kama Kenya na wao utaratibu wao ni kama wa kwetu. Sidhani!Wakikuta bangi shambani mwako ni yako, ila dhahanu ni yao.
Natamani nikakute hako kamlima shambani kwangu.Uliza ilichomkuta yule Jamaa wa Shinyanga.
Muhimu ni kutuliza munkari.
Chukua sehemu kauze kaboreshe mahali pako kwa kuweka hata kiwanda cha unga wa sembe then usiku unangurumisha machine watu wanajua unaasaga sembe kumbe unaasaga mawe.
Ukijiroga tu utauwawa . Usicheze na pesa
View attachment 2823887
🙏🙏🙏Yahitaji akili... Kuwin..! Katika wale wanaojipanga kuitumia akili kukuwin..!
Hebu tupe hekima yako na wewe mkuu.kuitoa dhahabu ardhini kama ni masikini unawezs hata kufungwa jela kwa kusingiziwa ili upishe wenye pesa.
Ili upate dhahabu inabidi uwe na pesa nyingi sana.
Miye ntaikata kidogo alafu naenda mtoni huko nakoga masingizia nimeokota humo. Nawaacha wavurugane humo miye nachomba kidogo kidogo.Hebu tupe hekima yako na wewe mkuu.
Chukulia wewe ni mtu wa kawaida tu, halafu ukakutana na dhahabu kubwa kama kichwa cha ng'ombe shambani kwako, utachukua hatua gani?
No. Jamaa katika kuchimba choo akakutana nazo. Maisha yakabadilika akaweka ukuta mkubwa nyumbani kwake akaanza kuchimba. Wananci wakaotea wakaenda kubomoa ukuta wakaanza kuchimba mpaka chumbani kwakeJamaa yupi huyo? Yule aliyepata almasi ya bilioni tatu?
AhahahaMiye ntaikata kidogo alafu naenda mtoni huko nakoga masingizia nimeokota humo. Nawaacha wavurugane humo miye nachomba kidogo kidogo.
Naichukua naiweka ndani. Simwambii mtu yoyote. Hapo cha kufanya nakuwa namega kipande kidogo naenda kuuza.Hebu tupe hekima yako na wewe mkuu.
Chukulia wewe ni mtu wa kawaida tu, halafu ukakutana na dhahabu kubwa kama kichwa cha ng'ombe shambani kwako, utachukua hatua gani?
Tupe kilichomkuta huyo wa ShinyangaUliza ilichomkuta yule Jamaa wa Shinyanga.
Tupe kisa cha shinyangaAhahaha
Kwa Sonara au wapi? Maana wakikugundua wanakuchoma na wakikuchoma umekwisha utaitwa majina yote mabaya mtorosha Madini, muhujumu uchumi, nk na kesi juunamega kipande kidogo naenda kuuza
Huu ujinga sifanyi Laizer angefanya hivi ubilionea angeusikia kwenye bombaUshauri wangu kama ni eneo ambalo halina history ya dhahabu (probability ya uwepo wa leseni ni mdogo) nenda tume ya madini usiseme umeiona au kugundua dhahabu we kata kipande kikubwa Hadi kwa watu ambao bado hawajastuka lipia leseni (watakupa utaratibu) baada ya hapo we tangaza Kuna mzigo. Wadau watakuja ruhusu wachimbe we kula asilimia tu......
Hapa ukidakwa hio ni kesi tena na eneo unapokonywa linakua Mali ya Serekali wanamtafuta muwekezaji achimbe sio wewe,Huo ni uonevu kabisa. Sidhani kama nchi za wenzetu wanafanya hivyo. Japo sina uhakika, lakini sidhani kama Kenya na wao utaratibu wao ni kama wa kwetu. Sidhani!
Ndio mpaka ukakute Sasa usipokakuta umekula kwakoNatamani nikakute hako kamlima shambani kwangu.
Dhahabu ikikutwa shambani mwako siyo yako bali ni mali ya Serikali, lakini bangi ikikutwa shambani mwako ni yako.Kwa Sheria za Tanzania, unaweza kumiliki ardhi lakini sio kilichopo chini ya ardhi kama madini. Ndivyo nijuavyo, labda kama utaratibu umeshabadilika. Inamaanisha kuwa hata ukigundua dhahabu kwenye shamba lako au kiwanja chako, hutaruhusiwa kuchimba mpaka uwe na leseni.
Sasa chukulia ulikuwa unachimba shimo la choo, na ghafla ukakutana na bonge la dhahabu (nugget) kubwa kama kichwa cha ng'ombe, nini utakachopaswa kufanya Kisheria?
1. Kwenda kuripoti Polisi?
2. Kwenda kutoa taarifa wizarani?
3. Kuujulisha uongozi wa Serikali ya Mtaa?
4. Kwenda kuiuza na kisha kuwasilisha TRA stahiki za Serikali?
Ni hatua gani sahihi utakayopsawa kuchukua?
Nani atakuwa mmiliki halali wa hiyo dhahabu?
Ukijimilikisha bila kutoa taarifa Serikalini utakuwa umetenda kosa, hasa ikizingatiwa kuwa umeichimbua bila kutarajia?
Formula hapa ni ile ile tu.Kwa Sheria za Tanzania, unaweza kumiliki ardhi lakini sio kilichopo chini ya ardhi kama madini. Ndivyo nijuavyo, labda kama utaratibu umeshabadilika. Inamaanisha kuwa hata ukigundua dhahabu kwenye shamba lako au kiwanja chako, hutaruhusiwa kuchimba mpaka uwe na leseni.
Sasa chukulia ulikuwa unachimba shimo la choo, na ghafla ukakutana na bonge la dhahabu (nugget) kubwa kama kichwa cha ng'ombe, nini utakachopaswa kufanya Kisheria?
1. Kwenda kuripoti Polisi?
2. Kwenda kutoa taarifa wizarani?
3. Kuujulisha uongozi wa Serikali ya Mtaa?
4. Kwenda kuiuza na kisha kuwasilisha TRA stahiki za Serikali?
Ni hatua gani sahihi utakayopsawa kuchukua?
Nani atakuwa mmiliki halali wa hiyo dhahabu?
Ukijimilikisha bila kutoa taarifa Serikalini utakuwa umetenda kosa, hasa ikizingatiwa kuwa umeichimbua bila kutarajia?
JICHANGANYE uingie kwenye mtego.kuna mtu anatafutwa hapa.unaona avatar na username yake?MUNGU akitaka kukubariki hakuandikiii barua!! Bahati haiji mara mbili akili kichwani mwako!!