Nini cha kufanya endapo utakuta dhahabu kwenye shamba au kiwanja chako?

Wakikuta bangi shambani mwako ni yako, ila dhahanu ni yao.
Huo ni uonevu kabisa. Sidhani kama nchi za wenzetu wanafanya hivyo. Japo sina uhakika, lakini sidhani kama Kenya na wao utaratibu wao ni kama wa kwetu. Sidhani!
 
Natamani nikakute hako kamlima shambani kwangu.
 
kuitoa dhahabu ardhini kama ni masikini unawezs hata kufungwa jela kwa kusingiziwa ili upishe wenye pesa.
Ili upate dhahabu inabidi uwe na pesa nyingi sana.
Hebu tupe hekima yako na wewe mkuu.

Chukulia wewe ni mtu wa kawaida tu, halafu ukakutana na dhahabu kubwa kama kichwa cha ng'ombe shambani kwako, utachukua hatua gani?
 
Hebu tupe hekima yako na wewe mkuu.

Chukulia wewe ni mtu wa kawaida tu, halafu ukakutana na dhahabu kubwa kama kichwa cha ng'ombe shambani kwako, utachukua hatua gani?
Miye ntaikata kidogo alafu naenda mtoni huko nakoga masingizia nimeokota humo. Nawaacha wavurugane humo miye nachomba kidogo kidogo.
 
Hebu tupe hekima yako na wewe mkuu.

Chukulia wewe ni mtu wa kawaida tu, halafu ukakutana na dhahabu kubwa kama kichwa cha ng'ombe shambani kwako, utachukua hatua gani?
Naichukua naiweka ndani. Simwambii mtu yoyote. Hapo cha kufanya nakuwa namega kipande kidogo naenda kuuza.
Naenda mgodini, najifanya nanunua mawe ya dhahabu km sonko kisha nauza mpk mzigo unaisha. H
Hapo simwambii mtu yoyote ile yaani kimya kimya
 
Huu ujinga sifanyi Laizer angefanya hivi ubilionea angeusikia kwenye bomba
 
Huo ni uonevu kabisa. Sidhani kama nchi za wenzetu wanafanya hivyo. Japo sina uhakika, lakini sidhani kama Kenya na wao utaratibu wao ni kama wa kwetu. Sidhani!
Hapa ukidakwa hio ni kesi tena na eneo unapokonywa linakua Mali ya Serekali wanamtafuta muwekezaji achimbe sio wewe,
 
Dhahabu ikikutwa shambani mwako siyo yako bali ni mali ya Serikali, lakini bangi ikikutwa shambani mwako ni yako.
 
Formula hapa ni ile ile tu.

Shamba likikutwa na Dhahabu linageuka kua la Serikali, ila likikutwa na Bangi hilo ni la kwako tum
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…