Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa kajenga vizuri. Wanasema mortar haitakiwi kuwa nene ili uzito uegemee kwenye mawe zaidi.Kuna sehemu nimeikuta View attachment 2100998
Wapo sema sio mazoea kutokana na utamaduni au ushamba..Eti wakuu, bongo kuna wataalamu wa kujenga na mawe namna hii, wakatoa nyumba imara? Pia naomba kujua faida na hasara za nyumba ya mawe. Gharama zake zikoje?
View attachment 2097396View attachment 2097398View attachment 2097399View attachment 2097400View attachment 2097401View attachment 2097403View attachment 2097404
View attachment 2097405
Trip ya Lorry la mawe inaenda ngapi?Arusha, wanaishia kuweka misingi ya mawe tu, then ujenzi juu unakuwa tofali,
Seems inawezekana Ila gharama ya mawe si mchezo
Tatizo mafundi bora wa kujenga hizo nyumba hawapoNyumba za mawe ni nzuri ila ni gharama sana yaan unahitaji expert wa kufanya hiyo kazi (Fundi), pia huhitaji plaster wala rangi ukijenga umemaliza,
Maeneo ambayo mawe yanapatikana kwa urahisi kama Dodoma, Mwanza au Iringa kutakua na uafadhali katika ujenzi, ukijenga Dar jiwe unalitoa Lugoba utajua hujui
Nyumba za mawe ni Imara sana sana! Zinadumu karne na karne!Eti wakuu, bongo kuna wataalamu wa kujenga na mawe namna hii, wakatoa nyumba imara? Pia naomba kujua faida na hasara za nyumba ya mawe. Gharama zake zikoje?
View attachment 2097396View attachment 2097398View attachment 2097399View attachment 2097400View attachment 2097401View attachment 2097403View attachment 2097404View attachment 2097405
Depends na distance but from 60,000 to 100,000 around Arusha town.Trip ya Lorry la mawe inaenda ngapi?
Siyo mbaya sana, lorry la mawe linajenga pakubwa. Hiyo ni pesa ya blocks 60 hadi 100. Gharama zinaendana, ukizingatia mawe hupigi lipu wala rangi.Depends na distance but from 60,000 to 100,000 around Arusha town.
Mkuu unaweza niunganisha na huyu fundi?Hapa Rorya kuna secondary imejengwa Kwa mawe tuu inaitwa Waningo sec school. Nasikia na fundi aliyenga bado yupo hai mpaka Leo hii yupo Musoma na bado anajenga nyumba za dizaini hii
Hata mimi namtaka.Mkuu unaweza niunganisha na huyu fundi?
Ukikamilisha kujenga nyumba unakuwa umebakiza miaka 30-45 ya kuufa.sasa unajengaje njumba ya kukaa miaka 500 wakati utaishi humo kwa miaka 30-45.Jenga nyumba ya wastani ili ubakize hela za kutumiaEti wakuu, bongo kuna wataalamu wa kujenga na mawe namna hii, wakatoa nyumba imara? Pia naomba kujua faida na hasara za nyumba ya mawe. Gharama zake zikoje?
View attachment 2097396View attachment 2097398View attachment 2097399View attachment 2097400View attachment 2097401View attachment 2097403View attachment 2097404View attachment 2097405
Anakoseaje sasa huko kuunganisha mawe unakosema,kwani mawe yanaunganishwa na nini,Uhimara wake unapatika kwa ubora wa mjengaji. Hizi zikikosewa katika kuyaunganisha mawe zinaweka ufa mwingi tu na ubaya wa mawe ikitokea ufa mkubwa ni rahisi sana yakalazimisha kuporomoka kutokana ya kuwa jiwe haliwi na kitako nyoofu.
Watu wengi wanaongea kwa kuhisi siyo kwa kujua,Hapo kwenye wataalamu naona ndiyo changamoto. Nimefanya utafiti inaonekana kuna mambo mengi sana ya kuzingatia, hasa unapojenga kwenye kona.
Miaka 5 mpaka 10 block zinaanza kupukutika,zina expire hizo,kama uko serious nambie nikutonye ziliko tofari za mawe ambazo haziliki na magadi wala chumvi milele na hauhitaji hata plasterHuwa natamani niwe na nyumba ya ivyo Mana hizi za blocks sio za kukaa hata 500yrs old.
Napenda niwe na nyumba ambayo hata kizazi Cha kumi kitaikuta na history iwepo
Ukiamua kwa dhati mafundi wanapatikana. Na kuhusu gharama ni suala la kujipanga maadam umeamua kwa dhati kabisa kuwa na nyumba ambayo pamoja na kuishi pia utaiacha kama alama ya muda mrefu kuwa uliwahi kuwepo duniani mara utakapokuwa umehama sayari.Tatizo mafundi bora wa kujenga hizo nyumba hawapo