Nini faida na hasara za nyumba za mawe? Bongo kuna wataalamu wa kujenga kwa mawe namna hii?

Nini faida na hasara za nyumba za mawe? Bongo kuna wataalamu wa kujenga kwa mawe namna hii?

Kuna sehemu nimeikuta
IMG20220130123958.jpg
 
Nyumba za mawe ni nzuri ila ni gharama sana yaan unahitaji expert wa kufanya hiyo kazi (Fundi), pia huhitaji plaster wala rangi ukijenga umemaliza,

Maeneo ambayo mawe yanapatikana kwa urahisi kama Dodoma, Mwanza au Iringa kutakua na uafadhali katika ujenzi, ukijenga Dar jiwe unalitoa Lugoba utajua hujui
Tatizo mafundi bora wa kujenga hizo nyumba hawapo
 
Depends na distance but from 60,000 to 100,000 around Arusha town.
Siyo mbaya sana, lorry la mawe linajenga pakubwa. Hiyo ni pesa ya blocks 60 hadi 100. Gharama zinaendana, ukizingatia mawe hupigi lipu wala rangi.
 
Hapa Rorya kuna secondary imejengwa Kwa mawe tuu inaitwa Waningo sec school. Nasikia na fundi aliyenga bado yupo hai mpaka Leo hii yupo Musoma na bado anajenga nyumba za dizaini hii
Mkuu unaweza niunganisha na huyu fundi?
 
Eti wakuu, bongo kuna wataalamu wa kujenga na mawe namna hii, wakatoa nyumba imara? Pia naomba kujua faida na hasara za nyumba ya mawe. Gharama zake zikoje?

View attachment 2097396View attachment 2097398View attachment 2097399View attachment 2097400View attachment 2097401View attachment 2097403View attachment 2097404View attachment 2097405
Ukikamilisha kujenga nyumba unakuwa umebakiza miaka 30-45 ya kuufa.sasa unajengaje njumba ya kukaa miaka 500 wakati utaishi humo kwa miaka 30-45.Jenga nyumba ya wastani ili ubakize hela za kutumia
 
Uhimara wake unapatika kwa ubora wa mjengaji. Hizi zikikosewa katika kuyaunganisha mawe zinaweka ufa mwingi tu na ubaya wa mawe ikitokea ufa mkubwa ni rahisi sana yakalazimisha kuporomoka kutokana ya kuwa jiwe haliwi na kitako nyoofu.
Anakoseaje sasa huko kuunganisha mawe unakosema,kwani mawe yanaunganishwa na nini,
 
Huwa natamani niwe na nyumba ya ivyo Mana hizi za blocks sio za kukaa hata 500yrs old.
Napenda niwe na nyumba ambayo hata kizazi Cha kumi kitaikuta na history iwepo
Miaka 5 mpaka 10 block zinaanza kupukutika,zina expire hizo,kama uko serious nambie nikutonye ziliko tofari za mawe ambazo haziliki na magadi wala chumvi milele na hauhitaji hata plaster
 
Kamen Kraft Company wako Arusha wana zalisha wall cladding tiles za mawe pamoja na featured paving na fencing systems.

For more details tuma message ama piga simu on whatsapp +255 786 814 111

Instagram: @kamenkraft
Facebook: Kamen Kraft

20180221_155653.jpg


20200615_153530.jpg


20200711_111442.jpg


20210323_151419.jpg


20210323_151700.jpg


20211021_175940.jpg


20220127_121330.jpg


IMG-20170103-WA0005.jpg


IMG-20171110-WA0021.jpg


IMG-20171201-WA0041.jpg


IMG-20171201-WA0042.jpg


IMG-20200702-WA0044.jpg


IMG-20200702-WA0048.jpg


IMG-20200702-WA0052.jpg


Screenshot_20170829-110911.png


Screenshot_20170829-110922.png


Screenshot_20170829-110931.png


Screenshot_20170829-110945.png


Screenshot_20170829-110956.png


Screenshot_20170829-111010.png


Screenshot_20200213-111755_Facebook.jpg


Screenshot_20200213-111925_Facebook.jpg


Screenshot_20200213-112322_Facebook.jpg


Screenshot_20210416-111826_Dropbox.jpg


Screenshot_20220210-123338_WhatsApp.jpg
 
Tatizo mafundi bora wa kujenga hizo nyumba hawapo
Ukiamua kwa dhati mafundi wanapatikana. Na kuhusu gharama ni suala la kujipanga maadam umeamua kwa dhati kabisa kuwa na nyumba ambayo pamoja na kuishi pia utaiacha kama alama ya muda mrefu kuwa uliwahi kuwepo duniani mara utakapokuwa umehama sayari.
 
Back
Top Bottom