Nini faida na hasara za nyumba za mawe? Bongo kuna wataalamu wa kujenga kwa mawe namna hii?

Makanisa na nyumba za wazungu kwa iringa yapo mengi Sana. Nakumbuka huko vijijini nilimkuta fundi anajenga kanisa, nikarudi mwaka juzi nilikuta limekamilika. Ni zuri mno.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…