Ushawahi kusikia watu wanaitwa double agents?
Suala jingine linaloniacha na maswali mengi ni hivi inakuaje Mkuu wa Usalama wa taifa hata kama amestaafu kutopewa ulinzi na Idara japo walau walinzi walau watatu?
Mazingira ya kazi yenyewe na ukiongezea kuwa alikuwa mkuu wa U"spy" , inakuwaje Idara isimpe ulinzi?
.
Vipi angetekwa na kwenda kuvujishwa siri za nchi? Ukizingatia Uzee halafu yuko peke yake?!!
Kifo cha Luteni Jenerali was an inside Job following his misbehaving ambayo kwa level yake hakupaswa kubehave as such.
How he misbehaved ?
Mnaosema alikuwa anampa siri za nchi Mrema basi tambueni kuwa Mrema ni jasusi wa Usalama wa taifa na hili Mrema huwa anakiri waziwazi na Mrema ameshashika nafasi kadhaa katika Idara ya Usalama wa taifa ikiwemo ukufunzi wa idara hiyo na nafasi kama RSO
Nimesema ali misbehaving
Suala la Augustino ni suala la pili ambalo mimi sijalizungumzia.
Inatosha kuambiwa alimisbehaveHe misbehaved kivipi ?
Yupo HaiShimbo ? Mbona hatujaona Tanzia ? Hata uki search google hainoshi kama ka danji
Kuna mwamba hapo anasema walishazikaYupo Hai
Nadhani Ameteleza, Huyu Mwamba YupoKuna mwamba hapo anasema walishazika
How he misbehaved ?
Mnaosema alikuwa anampa siri za nchi Mrema basi tambueni kuwa Mrema ni jasusi wa Usalama wa taifa na hili Mrema huwa anakiri waziwazi na Mrema ameshashika nafasi kadhaa katika Idara ya Usalama wa taifa ikiwemo ukufunzi wa idara hiyo na nafasi kama RSO
Kwa hio Kombe na ujasusi wake wote hakuwahi kujua Mrema ameshawahi mpk kua RSO?
Inatosha kuambiwa alimisbehave
Kuna dhana potofu ya kwamba eti Kombe alizingua kwa kuwa karibu na Mrema
Kombe alikuwa mnadhimu mkuu wa JWTZ kabla hajapelekwa kuiongoza TISS , alikuwa anamfahamu fika Mrema kuwa ni jasusi wa TISS
Mimi tu achilia mbali Kombe, Mrema hata asingekiri mwenyewe kuwa ni Operative wa TISS na hata asingekuwa RSO nilikuwa binafsi naweza kumtambua kuwa ni TISS kwa nafasi alizoshika nyinginezo wakati akiwa CCM
Kanali shija ni nani huyo mkuu?UHUSIANO WAKE NA LYATONGA MREMA,NA YEYE KUTOKUTII KANUNI ZA KIAPO CHA KUTOKUTOA SILI ZA KUTENGO,KILICHOFANYIKA KILIPASHWA KIFANYIKE,NA HATA YEYE ALIKUWA ANAJUA KITAFANYIKA,ISIPOKUWA HAKUJUA NI LINI,KWANI ALICHOKUWA ANAKIFANYA ALIKUWA ANAJUA ADHABU YAKE NI IPI,HATA YEYE ALISHAWAHI KUWAFANYIA WENGINE,KUMBUKA KANALI ANDRE SHIJA,
kazi ingine ya security organs ni kudistort information, umeingiza migomba kutokea wapi, aisee!Ilijulikana Kuwa aliuawa na waliomuua Kwa Kuwa wauaji walikosea target Mke wa Marehemu aliekuwa Na Mumewe wakipeleka Migomba shambani alifanikiwa kujificha asionekane wakati wanamtafuta na alifanikiwa Kwa Kuwa alikuwa ameshiriki Mafunzo Mengi ya namna ya kujilinda aliyokuwa amepitia wakati Mumewe akiwa Mnene wa Kijitonyama otherwise tungekuwa tunasema kauawa na wasiojulikana
Mke alitambua mpaka force number Za wahusika bila ya wao kujua na ndie alikuwa shahidi muhimu kwenye Mimbar Za Mahakama!
Wauaji wanadai walimuua Kwa kufananisha gari yake na gari iliyoibiwa japo hapakuwa na taarifa zozote zilizowahi kurepotiwa Kuwa kuna gari imepotea
Hata Kama gari iliibiwa na Mwizi Mwenye Umri zaid ya Miaka 60 Baada ya kustaafu aliwazidi Mbio Za kumdhibiti Baada ya kushuka kwenye gari na kuanza kukimbia hadi wakaona Waache gari waliyokuwa wanaitafuta na kuanza kumimina Risasi 14 kwenye kifua kutokea Nyuma na inaonekana risasi hizo zilipigwa umbali wa mita zisizozidi 10 kutokana na kipenyo ( matundu) kwenye Mwili wa Marehemu Kuwa madogo
Mahakama ilithibitisha Pasi na Shaka Kuwa aliuawa Kwa makusudi ndio sababu wauaji walihukumiwa kifo, kitendawili kimebaki sababu zipi zilipelekea akauawa?
Acha uongo shimbo Yuko haiAlisha fariki huyu mzee,naalizikwa upareni ngonja maore, nijirani yangu pale kijijini.....tulikulaa bwecheeee balaaa
Alisha fariki huyu mzee,naalizikwa upareni ngonja maore, nijirani yangu pale kijijini.....tulikulaa bwecheeee balaaa
Hivi ndani ya idara Kuna idara inayoweza kupanga njama dhidi ya bosi (dgi) wao au sponsor kwa manufaa ya nchi bila dgi na sponsor kujua?Yaani kiukweli ukikaa na kuangalia ni kama hii kitu ilipangwa muda sana, yani mtiririko wa matukio yote ni kama yalipangwa kitendo cha yeye kutokuwa na walinzi ndo kilichokuwa kinasubuliwa ko hata hyo gari inayosemekana iliibiwa dar ulikuwa ni mkakati wa idara