NDABANINGI SITHOLE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 529
- 530
Ndio,kwenye kitengo kuna idara zaidi ya 4,na hizi idara kila moja ina kazi yake,na haziwajibiki kwa mtu mmoja,Hivi ndani ya idara Kuna idara inayoweza kupanga njama dhidi ya bosi (dgi) wao au sponsor kwa manufaa ya nchi bila dgi na sponsor kujua?
hapana mpango huo lazima watu wakubwa ndani ya system lazima wahusike japo inawezekana wakawa si wote ili kulinda usiri wa mission husikaHivi ndani ya idara Kuna idara inayoweza kupanga njama dhidi ya bosi (dgi) wao au sponsor kwa manufaa ya nchi bila dgi na sponsor kujua?
Mrema hakuwa reporting officer wa Kombe.He misbehaved kivipi ?
Walihusishwa police sio deepHivi ndani ya idara Kuna idara inayoweza kupanga njama dhidi ya bosi (dgi) wao au sponsor kwa manufaa ya nchi bila dgi na sponsor kujua?
Akiwawa kwa Risasi za POLICE . Postmortem ilikuwa ya nini,wakati shida inajulika?R.I.P Imran, Mdogo wake alitaka aje kufanya postmoterm Yeye Mwenyewe akitokea Zimbabwe ambako alikuwa akihudumu kama Daktari
Alisahau this is Tanzania
sio kila kiongozi anawekwa google mzee. kule ni reference tu.Shimbo ? Mbona hatujaona Tanzia ? Hata uki search google hainoshi kama ka danji
Burudani toshaDah YAANI NYUZI ZA JF NI TAMU SANA KAMA WEWE NI EXPERT WA KUUNGANISHA DOTS NA KU BREAK CODES [emoji2][emoji2][emoji12]
Kwa cheo na wadhifa wa Shimbo nilitegemea niikute kule au Tanzia hata hapa Jf. So yupo hai au kavuta ?sio kila kiongozi anawekwa google mzee. kule ni reference tu.
Nahisi hii ni ngumu sana, ingawa yawezekana ila kwa % chache sanaHivi ndani ya idara Kuna idara inayoweza kupanga njama dhidi ya bosi (dgi) wao au sponsor kwa manufaa ya nchi bila dgi na sponsor kujua?
He misbehaved kivipi ?
Nahisi hii ni ngumu sana, ingawa yawezekana ila kwa % chache sana
Sawa kama ni hivyo.Kwanini isiwezekane Mkuu. Kwa ufupi kabisa TISS ya sasa ipo very segmented. Zamani ilikuwa mtu mmoja ana Information nyingi sana hadi inakuwa hatari. Kwa sasa Mtendaji anakuwa na portion ndogo sana ya taarifa hasa katika ile task uliyopewa tu. Ndio maana unaweza kufukuzwa kazi na usiwe na madhara yoyote, yaani ukaenda kuwa looser tu mtaani.
Tambua ndani ya TISS kuna TISS na ndani ya TISS kuna TISS pia....... the list goes on.
Read between the lines. Kuna jamaa alishajibu hapo juu kwa muktadha wa swali. Very few lines
Mrema hakuwa reporting officer wa Kombe.
Kumbuka Lyatonga alikuwa subordinate wa Kombe
Kwa kifupi kombe alikuwa ni mzito wa wanaojulikana,lkn nyuma yake kuna wanee wasiojulikana,ndio maana kipindi cha G55,kombe alipewa onyo juu ya mienendo yake,na waliompa onyo hawajui,baadae alipoanza kufuatilia juu ya nani alievujisha hizo taarifa,alionywa kwa mala ya pili,NA hili onyo lilikuwa likitoka nje ya nchi,KUMBUKA,room no 103,Najibulla motel, nyerere driving, ghabalone,kwa taatifa yako,hakuna mzito asiefuatiliwa na kunuswa nyayo zake,Kwanini isiwezekane Mkuu. Kwa ufupi kabisa TISS ya sasa ipo very segmented. Zamani ilikuwa mtu mmoja ana Information nyingi sana hadi inakuwa hatari. Kwa sasa Mtendaji anakuwa na portion ndogo sana ya taarifa hasa katika ile task uliyopewa tu. Ndio maana unaweza kufukuzwa kazi na usiwe na madhara yoyote, yaani ukaenda kuwa looser tu mtaani.
Tambua ndani ya TISS kuna TISS na ndani ya TISS kuna TISS pia....... the list goes on.
Kwa kifupi kombe alikuwa ni mzito wa wanaojulikana,lkn nyuma yake kuna wanee wasiojulikana,ndio maana kipindi cha G55,kombe alipewa onyo juu ya mienendo yake,na waliompa onyo hawajui,baadae alipoanza kufuatilia juu ya nani alievujisha hizo taarifa,alionywa kwa mala ya pili,NA hili onyo lilikuwa likitoka nje ya nchi,KUMBUKA,room no 103,Najibulla motel, nyerere driving, ghabalone,kwa taatifa yako,hakuna mzito asiefuatiliwa na kunuswa nyayo zake,
kuwa karibu ni sababu zisizo na mashiko kuna sababu zingine nyingi sanaLakini Sio kwa kuwa eti alikuwa karibu na 'mpinzani wa wakati huo ' Augustine Mrema
Naomba U'quote' hiyo post nimsome
Ndiyo tena bila ubishiHivi ndani ya idara Kuna idara inayoweza kupanga njama dhidi ya bosi (dgi) wao au sponsor kwa manufaa ya nchi bila dgi na sponsor kujua?