#COVID19 Nini hasa lilikuwa kosa la Hayati Magufuli kwenye ishu ya COVID-19 ?

#COVID19 Nini hasa lilikuwa kosa la Hayati Magufuli kwenye ishu ya COVID-19 ?

Mkuu, kwani Chanjo ya Corona sio Gambling?
Unafuatilia taarifa za chanjo sasa hivi na hofu kwa waliochanja?
Chanjo ndio Kamali ya kipumbavu kuliko karata aliyocheza Magufuli. Halafu pia kufikiri Nyungu ni suala la Imani si Utaalamu ni utumwa tu na kuabudu wazungu.
Aisee.....

Kila kitu kina kanuni zake na wala mambo hayafanyika kwa kucheza pata potea, bali ni kuchunguza na kuangalia jinsi mambo yalivyofanyika hapo kabla kwenye mambo kama hayo na tukapata positive outcome...,

Sasa kutokana na utaalamu wa tasnia ya afya kirusi kikitokea inabidi nini kifanyike... ?

Kumbuka huu ugonjwa ulikuwa ni tofauti, na kila mtu alikuwa busy anachunguza (kwahio kuingiza propaganda na kubeza ni hindrance wala sio suluhisho).... kila wakati linapokuja suala deadly ambalo hatujui impact yake kwa ufasaha cha maana na busara ni kusikiliza wale wanaokesha na ku-study hilo jambo na sio wanaodhani / bahatisha; na haijalishi watu hao wanatokea wapi au wapo wapi so long as wapo kwenye industry husika...
 
Unajua herd immunity ni mini ?

Ni kinga inayopatikana kwa kundi kubwa la watu kutokana na watu wachache kupata chanjo hivyo kuzuia ueneaji wa ugonjwa( transmission). Protection of unvaccinated from vaccinated.
 
Aisee.....

Kila kitu kina kanuni zake na wala mambo hayafanyika kwa kucheza pata potea, bali ni kuchunguza na kuangalia jinsi mambo yalivyofanyika hapo kabla kwenye mambo kama hayo na tukapata positive outcome...,

Sasa kutokana na utaalamu wa tasnia ya afya kirusi kikitokea inabidi nini kifanyike... ?

Kumbuka huu ugonjwa ulikuwa ni tofauti, na kila mtu alikuwa busy anachunguza (kwahio kuingiza propaganda na kubeza ni hindrance wala sio suluhisho).... kila wakati linapokuja suala deadly ambalo hatujui impact yake kwa ufasaha cha maana na busara ni kusikiliza wale wanaokesha na ku-study hilo jambo na sio wanaodhani / bahatisha; na haijalishi watu hao wanatokea wapi au wapo wapi so long as wapo kwenye industry husika...
Sasa hii kasumba ya Urasimi/Utaalamu, na vitu kama hivyo tuna uzoefu navyo kuligharimu Taifa.
Na mbaya zaidi, Maamuzi ya kukurupuka kwa sababu tu wataalamu wamesema na Taharuki tuna uzoefu nao kutugharimu.

Alichoshinda Magufuli juu ya korona ni kupunguza Panic ambayo hakika ingetugharimu.

Na hiyo ndio mbinu bora ya kwanza unapokumbana na tatizo.
 
Sasa hii kasumba ya Urasimi/Utaalamu, na vitu kama hivyo tuna uzoefu navyo kuligharimu Taifa.
Na mbaya zaidi, Maamuzi ya kukurupuka kwa sababu tu wataalamu wamesema na Taharuki tuna uzoefu nao kutugharimu.

Alichoshinda Magufuli juu ya korona ni kupunguza Panic ambayo hakika ingetugharimu.

Na hiyo ndio mbinu bora ya kwanza unapokumbana na tatizo.
Unapunguza panic kwa kuongeza panic kwamba kila kitu kinachokuja kina sumu ? Just imagine leo lije gonjwa lenye madhara kama Ebola unashauri tufanye nini ? Tutumie njia hio hio ya kupunguza panic kwa kubeza wanaofanya utafiti kwa wakati huo ?

Kumbuka kabla ya utafiti no one is wiser hakuna anayejua either uta-exaggerate au utachukulia poa lakini madhara ya kuchukulia poa kama utakuwa umekosea ni makubwa zaidi
 
Unapunguza panic kwa kuongeza panic kwamba kila kitu kinachokuja kina sumu ? Just imagine leo lije gonjwa lenye madhara kama Ebola unashauri tufanye nini ? Tutumie njia hio hio ya kupunguza panic kwa kubeza wanaofanya utafiti kwa wakati huo ?

Kumbuka kabla ya utafiti no one is wiser hakuna anayejua either uta-exaggerate au utachukulia poa lakini madhara ya kuchukulia poa kama utakuwa umekosea ni makubwa zaidi
Kuondoa panic iliyokuwepo juu ya korona ni jambo jingine, na kuongeza panic katika mengineyo ni jambo jingine pia, na si kila mtu anaitafsiri hivyo Bali ni alarming ya kuchukua tahadhari, na sifikiri kama hats wewe hujui haja ya kuchukua tahadhari kwa kila tunacholetewa.

Ebola si janga jipya, namna ya kudeal na taharuki yake haiwezi fanana na Korona.
 
Reaction ya JPM kwny gonjwa la Corona anastahiki alama zote I.e mia fil mia

Allah alimpa ilhamu ya hali ya juu sana …alipata ujasiri na uthubutu wa hali ya juu sana kuliko wasomi, watabiri na waganga na waganguzi

Kile chuma kilikuwa na flavor yake ya kipekee sana hata Julius angekuwepo kuna mambo angetakiwa ajifunze kwa yule Mwamba


nime miss sana zile hotuba za kutoka moyoni ambazo ndio hasa za Rais

Ma Rais wote walikuwa wanahutubia Hotuba za Ikulu kasoro John peke yake ndo alikuwa anatoa hotuba zake mwenyewe …hata Julius Hotuba zake nyingi zilikuwa zinehaririwa na yule Katibu wake Bibi wa Kiingereza
Ktk issue ya corona,

Magu was a PROPHET.

Dunia nzima walisurrender Hadi viongozi wa dini waliyumba.

Aliyewatia moyo kumtegemea Mungu alikuwa Magu.

Asante Mungu Kwa zawadi ya Magu.

Aaamen
 
Dk Uchwara Molleli ndio kakupa silaha.

Peke yako huna uthubutu huo.

ili uweze kuwatetea watu wako, huwezi kuwaita wajinga, kwa kipuuzi kama Daktari Molleli

Huwezi kuwaita watoto zako wajinga kwa kipuuzi, kamwe huwezi.

Jitathmini ndugu yangu.

Amani
Mimi sina mtu, unathibitisha ujinga zaidi.
 
Kama mabeberu ni wabaya why alitumia pacemaker iliyotolewa uingereza?? Yaani kwanini atumie mashine ya mzungu kusukuma damu ilihali chanjo zao hatumii? Kwanini asingeacha kutumia moyo bandia Ili ategemee mitishamba imsaidie?
Shida yako hata huelewi ubeberu ni nini. Unakuta mtu kwa kasumba ya kusujudu wazungu ukiwaita westerners mabeberu wanahamaki wanafikiri umewatukana wazungu wake.😂🤣
 
Sasa hii kasumba ya Urasimi/Utaalamu, na vitu kama hivyo tuna uzoefu navyo kuligharimu Taifa.
Na mbaya zaidi, Maamuzi ya kukurupuka kwa sababu tu wataalamu wamesema na Taharuki tuna uzoefu nao kutugharimu.

Alichoshinda Magufuli juu ya korona ni kupunguza Panic ambayo hakika ingetugharimu.

Na hiyo ndio mbinu bora ya kwanza unapokumbana na tatizo.
Nakumbuka mwanzoni zile clip alizokuwa akipost Mange za kuhusu covid zilijenga hofu sana.
 
Habari JF,

JPM aliamini corona itaendelea kuwepo na tutaishi nayo kama yalivyo magonjwa mengine, kiuhalisia ndivyo ilivyo corona ipo na idadi ya watu waliopata chanjo ni ndogo sana na watu walishapata kinga asilia sasa hivi sio tishio tena. Lakini bado watu wakiwemo madaktari wanalaumu approach yake kwenye ishu.

Swali langu ni lipi lilikuwa kosa lake?

Je, ni kutoweka lock down?

Je, ni kupinga chanjo?

Je, ni kupinga njia za kitaalamu kama kuvaa barakoa na njia hizi zilisaidia kwa kiasi gani sehemu nyingine ?

Kwangu Mimi mnyonge mnyongeni katika hili alistahili tuzo.
Kosa lake ni kuamua kifo chake kitokane na covid 19
 
Juzi nimemsikia Samia akimsifia eti uchumi wetu haukushuka kwa sababu ya shujaa Magufuli hakufunga nchi kipindi cha COVID 19 huko nyuma aliungana na BAVICHA kumsema eti tumetengwa, Samia hana anachojua kwenye nchini hii

USSR
Mkuu SAMIA usimlaumu sana kwani naye ni mwanamke tu kama wanawake wengine tunaowaona.
Tuwashanga hawa WANAOJIFANANISHA na wanaume akina Zitto,Nape,Lissu na wengineo ambao wanamkosoa JPM jinsi alivyopambana na corona kwa kutumia akili halisi azojaliwa
 
Back
Top Bottom