Nini hatima ya dini baada ya "The theory of everything"

Nini hatima ya dini baada ya "The theory of everything"

Watakuja na kila aina ya theory lakini mwisho wataishia kusema Mungu yupo, akili yetu ni limited, na tunachofundishwa na hawa wataalam ni kweli ila ni kwa kiwango kidogo sana.
Hebu fikiria, asilimia 96 ya universe haijulikani ni kitu gani, wameishia kuita black energy na black matter, imagne kwanini wanashindwa hata kuifikia nyota iliyo karibu sana na jua letu ambayo iko 4ly pekee?
Imagine kuwa, vitu vyote vionekanavgo yaani nyota, sayari, vimondo nk ni 4% tu! Hivyo visivyoonekana Mungu pekee anavojua. Sikio haliwezi kuzidi kichwa
Wewe ndo umejilimit akili yako kufikiri ndomana wenzetu wanatupiga magap na hatutowapata sababu ya sisi kujilimit akili zetu

Kwa hili wamefanikiwa sana wazungu kututafutia reason ya Ku limit uwezo wetu wa kufikiri

I believe Mungu yupo but its faith and hainifanyi kufunga ubongo wangu kwasababu dini hizi ndo zilikuwa ziki advocate kuwa dunia ni flat ,Mara earth ni centre ya solar system yet science has proven the all wrong
 
mnamo mwaka 1988,mwanasayansi maarufu na nguli wa elimu ya mathematics,physics,astronomy and cosmology anae kwenda kwa jina la Stephen Hawkins aliandika kitabu kiitwacho "a brief history in time from the big bang to hte black holes" kitabu hichi kilileta tafrani miongoni mwa wanadini wengi ulimwenguni kote.Ndani ya kitabu hichi professor Stephen Hawkins alijaribu kuelezea sayansi ngumu ya anga kwa lugha ambayo mtu wa kawaida kabisa angeweza kuelewa,akielezea big bang,supernovas, na black holes.Hawkins made a bold conclusion that the creation of the universe simply did not require any divine intervention or supernatural power.He suggested it was just the laws of nature.Hili suala lilileta mvutano mkubwa miongoni mwa wanadini wakisema mwanasayansi hapswi kuzungumza kuhusu Mungu,Hawkins alirespond kwa kusema
" asking if God exists is avalid question for science,infact he can't think of a more fundamental and important questionas such".Tukiachana na hilo lililonifanya niandike thread hii ni kile alichosema soon scientists will discover the theory of everything and in that theory hakuta kuwa na haja ya kumuhusisha Mungu kuelezea the creation of the universe.

Swali langu nini itakuwa hatima ya dini baada ya hapo?
what will be the fate of oour religion?
Link Stephen Hawking, science's brightest star, dies aged 76
 
Wanasayansi washughulike na mambo haya mawili kama wanataka kuishinda dini:

(1). Wanahitaji maelezo mbadala kuhusu chanzo cha muda, space na matter yenyewe. Ati, Matter, Time and space vilitoka wapi? Kabla ya muda kuanza kulikuwa na nini? Hicho kilicholipuka siku ya Big Bang kilitoka wapi? Maelezo haya eti hapo mwanzo kila kitu kinachounda universe hii ya leo kilikuwa contained kwenye one trillionth of a pinhead and then kaboom ikalipuka na kuumba kila kitu aisee haina mashiko kabisa...
20180316_200456.jpg


(2). Wakishinde kifo!. Watu wakiacha kufa na wakaanza kuishi milele basi wengi wataikimbia dini kwa sababu dini nyingi zipo ili kuelezea nini kitatokea baada ya kifo. Ukiondoa kifo maana yake hakuna mambo ya kufufuliwa kwenda kuishi milele kwenye magalaxy mengine huko.

Mungu Atubariki [emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545]
 
Unaleta utoto kuanza kuleta mifano ya matofali but ngoja nikujibu tu
Unadhani tukichukua tofali billion 1 tukaanza kuzirusha kutoka hewani hakuna probability ya kwa bahati tofali kadhaa zikawa zimejipanga



Galaxies zipo billions nyota zipo trillions na sio zote zina sustain maisha hadi sasa kwa uhakika ni moja tu huoni even spontaneous action can bring that kind of result
Kwaio unasema kuwa galaxies zilikuwepo kabla ya big bang? Billions od galaxies were already there just waiting for the big bang to happen?

Mimi ninaeamini Mungu ndie alietengeza universe, naamini ameitengeza mthematically. Kuanza elements zilizosababisha huo mripuko mpaka kukawa na galaxies. All these mathematically is possible. Ukiweza kucrack hio hesabu unaweza hata ukaja na your own man made universe. Lakini the point remains the same, YOU WILL BE THE CREATOR!

Unaposema kuwa tupange tofali bilioni moja kisha tufanye mripuko, kuna uwezekano wa kupata tofali zilizojipanga, bado hatujasolve hii ishu, kwa sababa itakuwa UMEzipanga kabla na HAZIJAJIPANGA WENYEWE.

Tunarudi pale pale.

Scientist wanatupa njia za kuelewa how things came to be.

Huo huo mfano wako wa matofali bilioni unatosha kukupa picha kuwa zinatakiwa zipangwe na sio zijipange.

Najaribu kukupa mifano ilokuwepo very simple ili kila mtu aifahamu kwa uwepesi. Huwezi kumuondo the creator of the universe kwenye hili.

Ni yeye ndie aliweka elements zilizofanya big bang. Hazikutokea from nowhere tu.
 
Vigumu sana Ku argue nawewe aisee umesema dunia IPO perfect nimekwambia not perfect at all and that is a known fact

the law of nature always existed
Halafu mkuu, what is the definition of perfect mpaka ukatae kuwa dunia ipo perfect?

For us to livr, wr need to breath in oxygen and exhale CO2, Hii sio sababu ya kusema dunia is perfect for us? We need water, sio sababu ya kuwa perfect? The earth in sevrn layers on top to protect us from the sun rays ili tuishi and yet unasema its not perfect? Hebu twende hapo mwezini, theres no life there, the moon misses all elements of life. Any planet, that can sustsin human life, that is a perfect planet for human to live. Na ikiwa kuna planet moja ina kila itu lakini ia miss one element tu basi hio sio perfect for us to live in.

The universe itself is perfect for our survival and destruction. Sio kwamba we can live on any planet, but our universe cooperate to sustain life on earth. Fikiria if the moon is too close to the earth than normal, nini kitatokea?

Fikiria if in our universe hatuna sunlight?

Huwezi kunambia kuwa dunia yetu ni bahati mbaya.... Hizi vitu, creator amefanya kwa hesabu.

Scientist kila wanachogundua kuhusu universe ni wao wenyewe wanaprove God existence lakink they are blind.
 
Effect IPO kubwa sana mkuu nenda Europe and American science ilipolala uone mkuu stats inaonyesha idadi ya atheists inaongezeka kwa kasi ya ajabu sana
Tena ukienda vyuo vyenye umahiri haswaa kama Harvard, MIT,California ,Cambridge, Oxford na wengine wanafunzi atheists wameongezeka kwa kiwango kikubwa sana

Kuhusu origin ya laws of nature pia atheists atakuuliza to a proof ya origin ya unachokiamini.
But tuachane na hayo kama umesoma big bang vizuri na umeelewa usingeuliza before it ? Course simply there was nothing before the big bang not even time itself
.time started after the big bang

Brothrr brother 😀 samahani kama naquote post isonihusu.

Dont say"simply becausr there was nothing before big bang" kwasababu it makes it more complicated rather than simple as you said. The only simple explaination is there is the creator!

Sasa ushasema kulikuwa hamna kitu, sasa big bang imetokea wapi? Zile hydrogen sijui zimetokea wapi? Tufanye experiment kidogo, jifungie chumbani, halafu kaa kitako utizame kuna big bang itatokea ivi ivi. Uje unipe mrejesho.

God, is the one who made the ingredients from nothingness, and then boom, the universe was born.
 
kwahiyo Stephen Hawkins alikua anajua maisha yalipotokea?? ,nothing like that and the Theory is invalid proved by me
 
Effect IPO kubwa sana mkuu nenda Europe and American science ilipolala uone mkuu stats inaonyesha idadi ya atheists inaongezeka kwa kasi ya ajabu sana
Tena ukienda vyuo vyenye umahiri haswaa kama Harvard, MIT,California ,Cambridge, Oxford na wengine wanafunzi atheists wameongezeka kwa kiwango kikubwa sana

Kuhusu origin ya laws of nature pia atheists atakuuliza to a proof ya origin ya unachokiamini.
But tuachane na hayo kama umesoma big bang vizuri na umeelewa usingeuliza before it ? Course simply there was nothing before the big bang not even time itself
.time started after the big bang
Hivyo vyuo unavyovizungimzia vimekuwa hivyo tangu kale. Halafu kile kilichosemwa na Hawkings wala sio law, ni theory. Nikufahamishe tu mpaka sasa science haina conclusive evidence ya mambo ya universe, pia kuna mambo mapya yanagundulikabkila siku na kuleta mtazamo mpya. Wajuvi wa mambo wamediriki kusema, science imekuwa kama dini tu, too much theories. So usidanganyike na theory ya huyo ambaye anatia mawazo yake tu kuwa laws of physics zilikuwepo tu bila kutaja chanzo chake, it's the same as religious belief.
 
sijakuelewa mkuu unachongea kabisa science haijawahi sema sokwe alibadilika akawa mtu but najua kuna theory inayo suggest we had the same ancestors so pengine ni uelewa wako tu au wa aliekufundisha mkuu
Hawa ni wale waliokua wanasinzia kwenye kipindi cha biolojia
 
Dunia ina umri mkubwa sana,.ukifanya dating inakaribia 4.5bil yrs,..kila kilichomo dunian hakiko random,..bnadam ni moja ya viumbe vipya kabsa dunian..yaan ukifananisha na unr wa dunia.hata mfumo wa kiumbe hai na ambacho si kiumbe hai,vyote vnafata system ile ile,.na mfumo ni ule ule,..

Mfano,matter,..ina smal particles ambazo ni atoms,ndan ya atom kuna nucleus na hyo ndio centre,na particles zingne zote znaizunguka hyo,

Hii ni vile vile kwa mwil wa kiumbe,kuna cell,kuna centre ya cell ambayo ni DNA or RNA,.wateva,..vivyo hvyo kwa universe lazma kuna nyota ambayo ndo centre halaf inazungukwa na sayar na partcles zingne,.soo ni mfumo ule ule ambao uko systematic,..maana yangu ni kwamba hakuna kitu ambacho kiko random hapa ulimwengun,..hata mawazo yetu na mipango haiko random

So mtazamo wangu bnafsi ni kwamba chochote chenye mfumo rasmi/system lazma kina control,n who controls it hlo ndo lazma bnadam ajiulize,so anapokosa jib ndio anasema sasa kua ther is a might power ambayo imefanya yote haya..na hyo power ndo tukaiita Mungu,wengne wana majina yao,buddha etc.

Na dunia si sayar pekee yenye viumbe hai..kuna nyota kama jua zilizozungukwa na sayar zaid ya trilion1,unataka nambia only dunia tuu ndo ina viumbe?so This might creator aliefanya haya yote yupo,ila ndo hvo kila mtu ana mtasfir anavyojua yeye,..
Am an atheist but i see points on your comment. That thing might be there but it does not need to be worshiped. And dont personnallize it kwa kusema YUPO.
 
Unajua kwanini ndio mfano unaopenda kutumiwa na wahubiri? Kaa kitako na utafakari, engeneering ya Ulimwengu ulivo mpaka duniani kukawa na LIFE, jitizame na wewe, unakula kupitia mdomo, chakula kikifika tumboni kinashughulikiwa, mwili wako una system kamili ya kuchuja sumu, na kubakisha kinachohitajika na mwili, halafu uje unambie hii ni bahati? Tunaambiwa binaadamu tulikuwa kima mwanzo, tume evolve mpaka kuwa hivi tulivo, hivi hatuna kima mpaka leo wameshindwa kuevolve wakati wanaishi na binaadam?

Kina Hawkin wanasema ulimwengu haukuhitaji creator, nataka waniambie hizo elements ziluzosababisha big bang zilitokea wapi? Ni kitu gani kiliziproduce?

Tumeona mripuko wa nuclear bomb matokeo yake, je kuna nyumba ilijijenga kupitia huo mripuko? Tuache nyumba, japo tofali kozi mbili tu zilijapanga?

Tunauliza hivi kwa sababu the universe is so perfect and so do earth to sustain life, just a big bang is not enough to explain such perfect engineering and the arrangements of celestial bodies.

Kwanini hakuna life on the moon wakati on earth ipo? Au mfano Sayari ya Mars isogee karibu na dunia nini kitatokea? No, tufikirie bila kuwepo mwezi hapa duniani vipi?

Ukiutizama ulimwengu kwa umakini, basi utajiuliza masuali how come ivu vitu came to being? The system is so perfect. Wanasayansi wanaipuka suala la Mungu, na kusema ni law of nature, WHO MADE THAT LAW?
Kutojua majibu ya maswali yako haimanishi kuwa mungu ndio kafanya, huo ni uvivu wa kupindukia bora hawking alietumia muda na kuja na nadharia zake kuliko wewe unaekimbilia jibu jepesi.
 
Effect IPO kubwa sana mkuu nenda Europe and American science ilipolala uone mkuu stats inaonyesha idadi ya atheists inaongezeka kwa kasi ya ajabu sana
Tena ukienda vyuo vyenye umahiri haswaa kama Harvard, MIT,California ,Cambridge, Oxford na wengine wanafunzi atheists wameongezeka kwa kiwango kikubwa sana

Kuhusu origin ya laws of nature pia atheists atakuuliza to a proof ya origin ya unachokiamini.
But tuachane na hayo kama umesoma big bang vizuri na umeelewa usingeuliza before it ? Course simply there was nothing before the big bang not even time itself
.time started after the big bang
Mbn hata africa atheism inakua sn chief hasa Kenya
 
Mkuu Theory ni nadharia tu ukiithibitisha inakuwa kanuni/principles

Kwahiyo subiri mpaka ithibitishwe kwanza.
 
mnamo mwaka 1988,mwanasayansi maarufu na nguli wa elimu ya mathematics,physics,astronomy and cosmology anae kwenda kwa jina la Stephen Hawkins aliandika kitabu kiitwacho "a brief history in time from the big bang to hte black holes" kitabu hichi kilileta tafrani miongoni mwa wanadini wengi ulimwenguni kote.Ndani ya kitabu hichi professor Stephen Hawkins alijaribu kuelezea sayansi ngumu ya anga kwa lugha ambayo mtu wa kawaida kabisa angeweza kuelewa,akielezea big bang,supernovas, na black holes.Hawkins made a bold conclusion that the creation of the universe simply did not require any divine intervention or supernatural power.He suggested it was just the laws of nature.Hili suala lilileta mvutano mkubwa miongoni mwa wanadini wakisema mwanasayansi hapswi kuzungumza kuhusu Mungu,Hawkins alirespond kwa kusema
" asking if God exists is avalid question for science,infact he can't think of a more fundamental and important questionas such".Tukiachana na hilo lililonifanya niandike thread hii ni kile alichosema soon scientists will discover the theory of everything and in that theory hakuta kuwa na haja ya kumuhusisha Mungu kuelezea the creation of the universe.

Swali langu nini itakuwa hatima ya dini baada ya hapo?
what will be the fate of oour religion?
Sikuwahi kupanda ndege hadi siku nilipokwenda Canada, nilipata siti ya dirishani hivyo njia nzima nilikuwa napepesa macho huku na kule ili kumuona Mungu maana ndege yetu ilikuwa juu ya mawingu yote. Nilikuwa naukumbuka wimbo Wa palapanda Italia........ Kumlaki bwana Yesu mawinguni. Lakini sikuona dalili yoyote ya uwepo Wa Jitu kubwa sana kupita vitu vyote, Mungu. Kuna kazi
Wanasayansi watashindana na Mungu ila hawatashinda. Believe me & God
 
Wanasayansi washughulike na mambo haya mawili kama wanataka kuishinda dini:

(1). Wanahitaji maelezo mbadala kuhusu chanzo cha muda, space na matter yenyewe. Ati, Matter, Time and space vilitoka wapi? Kabla ya muda kuanza kulikuwa na nini? Hicho kilicholipuka siku ya Big Bang kilitoka wapi? Maelezo haya eti hapo mwanzo kila kitu kinachounda universe hii ya leo kilikuwa contained kwenye one trillionth of a pinhead and then kaboom ikalipuka na kuumba kila kitu aisee haina mashiko kabisa...
View attachment 717269

(2). Wakishinde kifo!. Watu wakiacha kufa na wakaanza kuishi milele basi wengi wataikimbia dini kwa sababu dini nyingi zipo ili kuelezea nini kitatokea baada ya kifo. Ukiondoa kifo maana yake hakuna mambo ya kufufuliwa kwenda kuishi milele kwenye magalaxy mengine huko.

Mungu Atubariki [emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545]
At least wewe umeleta argument ya kueleweka
Kuhusu kifo sidhani kama kuna haja ya kukishinda but kwasasa experiment nyingi sana za kuongeza lifespan through genetic engineering

Hio kitu ulichouliza kimetry kuelezewa na watu kadhaa sema jinsi ya kuanza kukidescribe hapa ndoi issue siku nikikaaa vizuri nitaleta all the explained possibilities
 
Kwaio unasema kuwa galaxies zilikuwepo kabla ya big bang? Billions od galaxies were already there just waiting for the big bang to happen?

Mimi ninaeamini Mungu ndie alietengeza universe, naamini ameitengeza mthematically. Kuanza elements zilizosababisha huo mripuko mpaka kukawa na galaxies. All these mathematically is possible. Ukiweza kucrack hio hesabu unaweza hata ukaja na your own man made universe. Lakini the point remains the same, YOU WILL BE THE CREATOR!

Unaposema kuwa tupange tofali bilioni moja kisha tufanye mripuko, kuna uwezekano wa kupata tofali zilizojipanga, bado hatujasolve hii ishu, kwa sababa itakuwa UMEzipanga kabla na HAZIJAJIPANGA WENYEWE.

Tunarudi pale pale.

Scientist wanatupa njia za kuelewa how things came to be.

Huo huo mfano wako wa matofali bilioni unatosha kukupa picha kuwa zinatakiwa zipangwe na sio zijipange.

Najaribu kukupa mifano ilokuwepo very simple ili kila mtu aifahamu kwa uwepesi. Huwezi kumuondo the creator of the universe kwenye hili.

Ni yeye ndie aliweka elements zilizofanya big bang. Hazikutokea from nowhere tu.
Nothing existed before the big bang kuwa muelewa basi galaxies themselves ni matokeo ya big bang
 
Kwaio unasema kuwa galaxies zilikuwepo kabla ya big bang? Billions od galaxies were already there just waiting for the big bang to happen?

Mimi ninaeamini Mungu ndie alietengeza universe, naamini ameitengeza mthematically. Kuanza elements zilizosababisha huo mripuko mpaka kukawa na galaxies. All these mathematically is possible. Ukiweza kucrack hio hesabu unaweza hata ukaja na your own man made universe. Lakini the point remains the same, YOU WILL BE THE CREATOR!

Unaposema kuwa tupange tofali bilioni moja kisha tufanye mripuko, kuna uwezekano wa kupata tofali zilizojipanga, bado hatujasolve hii ishu, kwa sababa itakuwa UMEzipanga kabla na HAZIJAJIPANGA WENYEWE.

Tunarudi pale pale.

Scientist wanatupa njia za kuelewa how things came to be.

Huo huo mfano wako wa matofali bilioni unatosha kukupa picha kuwa zinatakiwa zipangwe na sio zijipange.

Najaribu kukupa mifano ilokuwepo very simple ili kila mtu aifahamu kwa uwepesi. Huwezi kumuondo the creator of the universe kwenye hili.

Ni yeye ndie aliweka elements zilizofanya big bang. Hazikutokea from nowhere tu.
In the near future it may be possible to create new galaxies yes hadi sasa with the available theories it is almost possible challenge ni energy tu but in the future we never know never underestimate humans
 
Kutojua majibu ya maswali yako haimanishi kuwa mungu ndio kafanya, huo ni uvivu wa kupindukia bora hawking alietumia muda na kuja na nadharia zake kuliko wewe unaekimbilia jibu jepesi.
Kutumia muda wako mwingi kuja na ASSUMPTIONS zako haimaanishi kuwa upo sawa
 
Back
Top Bottom