Nini hatma ya miradi ya Chato?

Nini hatma ya miradi ya Chato?

Mm nilishawahi kuwa upinzani hapo nyuma lakini sikuwahi kumchukia huyu baba. Kwa sababu mbali na uraisi ila ni mtoto wa mtu jamani. Na nimemuombea sana tangu uvumi huu uanze. Hata jioni ya leo kabla sijalala nimemuombea ndo nikalala.nashangaa rafiki yangu ananipigia kuwa kafa.nimekosa usingizi.
Si alikununua ndio maana ukatoka upinzani, wewe ni mnafiki unajali tumbo lako kuliko maslahi ya Taifa. Unaabudi MTU kuliko Mungu.
 
R.I.P Dkt Magufuli, we are all sailing in the same boat..
 
Jamaniiii huyu baba ameniumaaaaaa, achilia mbali mambo ya siasa huyu ni mtoto wa mtu, ana mama jamani, mama yake ni mzeee sana[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] mama yake atalia sana, huyu sio raisi tu bali ni mtoto wa mtu. Ana familiya ana watoto.

Sasa kama mm nalia hivi huko familiya yake wana hali gani? Kifo ni fumbo. Mungu mpokee huyu mtoto kama sisi tulivyozaliwa.
Angejua hayo angekua na roho nzuri.
Hakujiuliza siku ile kapotea watu walimuombea mabaya?
 
Mm nilishawahi kuwa upinzani hapo nyuma lakini sikuwahi kumchukia huyu baba. Kwa sababu mbali na uraisi ila ni mtoto wa mtu jamani. Na nimemuombea sana tangu uvumi huu uanze. Hata jioni ya leo kabla sijalala nimemuombea ndo nikalala.nashangaa rafiki yangu ananipigia kuwa kafa.nimekosa usingizi.
Unamjua Erick Kabendera , hivi yeye hakuwa mtoto wa mtu???

Mama yake aliomba kupitia vyombo vya habari kuwa Raisi amsaidie mtoto wake kwa sababu ndiye tegemeo lake.

Aliziba masikio mwisho mama alifariki na bado Erick hakupata nafasi ya kwenda kumzika mama yake.

Hivyo Karma is bitch ....

Ukilia lia na Mungu wako kwa maana hata wewe haujui utafikia wapi.
 
Mm nilishawahi kuwa upinzani hapo nyuma lakini sikuwahi kumchukia huyu baba. Kwa sababu mbali na uraisi ila ni mtoto wa mtu jamani. Na nimemuombea sana tangu uvumi huu uanze. Hata jioni ya leo kabla sijalala nimemuombea ndo nikalala.nashangaa rafiki yangu ananipigia kuwa kafa.nimekosa usingizi.
Wenawe! Mtoto wa mtu mtoto wa mtu, acha unafiki wako kama umekosa cha kuandika si ulale tu... au wewe mwenzetu mtoto wa fisi!!?
 
Tunaomba Mungu Ampe Pumziko La Amani Rais Wetu Mpendwa

Lakini wakati haya yakiendelea tunaomba Daktari wake ; Katibu Mkuu kiongozi na genge lote la wasaidizi wa karibu wakiohusika hasa kwenye utoaji wa Taarifa wawekwe mahali watueleze ni nini kilikua kinaendelea

Kama Alilazwa Rasmi Tarehe 6/3 pamoja na kuwa kuna taarifa aliugua toka tarehe 3/3 na kabla ya tarehe 10/3 Alikua clinically Dead ; ni jambo Gani liliwafanya hadi kuficha habari za huu ugonjwa hadi kufikia viongozi wakuu kila mmoja anaongea lake ina maana ni kama “walimteka”rais na kudhibiti kila kitu pengine kwa manufaaa yao ; basi ni vema wawekwe mahali waseme vizuri !!!
 
Mtoto wa mtu aliyepigwa risasi 38 kisha akaambiwa katoroka bila taarifa kwa Spika aliniuma sana.
Inasikitisha sana. Hapa duniani tunapita. Nguvu, mali, madaraka vinatupa kiburi, tunajisahau. Baada ya maisha ya hapa duniani kuna maisha yasiyo na mwisho, na Mungu atamlipa kila mmoja wetu kwa kadiri alivyotenda hapa duniani.
 
Si alikununua ndio maana ukatoka upinzani,wewe ni mnafiki unajali tumbo lako kuliko maslahi ya Taifa. Unaabudi MTU kuliko Mungu.
Unadhani watu wananunuliwa kirahisi kama nguo dukani? Niliacha siasa kwa sababu zangu mwenyewe. Mapenzi ya chama changu yako moyoni sio lazima niseme hapa. Sikuwahi kuwa mwana CCM hadi leo. Kinachoniuma ni kifo cha mtu basi hata angekufa mtu mwingine ningeumia hivi hivi.
 
Back
Top Bottom