Nini hatma ya miradi ya Chato?

Nini hatma ya miradi ya Chato?

Jamaniiii huyu baba ameniumaaaaaa, achilia mbali mambo ya siasa huyu ni mtoto wa mtu, ana mama jamani, mama yake ni mzeee sana😭😭😭😭😭 mama yake atalia sana, huyu sio raisi tu bali ni mtoto wa mtu. Ana familiya ana watoto.

Sasa kama mm nalia hivi huko familiya yake wana hali gani? Kifo ni fumbo. Mungu mpokee huyu mtoto kama sisi tulivyozaliwa.
Ww nawe ni mtoto wa mtu na utakufa. Wote njia ni moja hakuna uspecial wowote kwenye kifo.
 
Chuo watu watasoma watoto wa wanyonge, mbuga itatumika hata na majangiri, hospital hiyo inauhitaji sana kila siku, uwanja wa mpira samahani, Airport [emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
No body will take shit about Chato.

It was waste of money and time

Tuna Mambo mengi ya msingi Chato itajibeba yenyewe
 
Vitabaki vichache labda mahakama hopt na chuo cha veta
 
Laiti tungeambiwa mh.anaumwa hata dua zingefanywa makanisani na misikitini then Mungu angeamua lakini kwa hali hii sio vizuri kwa kweli
Kwa Mtu committed; Mungu hana mipaka kwamba eti mpaka uambiwe; Hata ukiomba dua ya Uzima kwa Rais; bado inaweza kufanya kazi; Kwamba eti mpaka usubiri uambiwe kitu ndio uanze dua mie naona hiyo sio sawa.
 
Unadhani watu wananunuliwa kirahisi kama nguo dukani? Niliacha siasa kwa sababu zangu mwenyewe.mapenzi ya chama changu yako moyoni sio lazima niseme hapa. Sikuwahi kuwa mwana CCM hadi leo. Kinachoniuma ni kifo cha mtu basi hata angekufa mtu mwingine ningeumia hivi hivi.
Uongo utaacha lini?
 
R.I.P Chato miradi ya kiupendeleo. Mungu mkubwa
 
Badala uwaze maombi wewe wawaza Mali za duniani naomba utuache tuko na msiba mnene mpendwa wa taifa kaondoka niko na majonzii.
Ni lazima tuendelee kuwaza na kuhoji mambo mengine.

Maisha mengine lazima yaendelee, He's gone!
 
Jamaniiii huyu baba ameniumaaaaaa, achilia mbali mambo ya siasa huyu ni mtoto wa mtu, ana mama jamani, mama yake ni mzeee sana😭😭😭😭😭 mama yake atalia sana, huyu sio raisi tu bali ni mtoto wa mtu. Ana familiya ana watoto.

Sasa kama mm nalia hivi huko familiya yake wana hali gani? Kifo ni fumbo. Mungu mpokee huyu mtoto kama sisi tulivyozaliwa.
Pole sana
 
Jamaniiii huyu baba ameniumaaaaaa, achilia mbali mambo ya siasa huyu ni mtoto wa mtu, ana mama jamani, mama yake ni mzeee sana[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] mama yake atalia sana, huyu sio raisi tu bali ni mtoto wa mtu. Ana familiya ana watoto.

Sasa kama mm nalia hivi huko familiya yake wana hali gani? Kifo ni fumbo. Mungu mpokee huyu mtoto kama sisi tulivyozaliwa.
Ulishawaza kuhusu Ben, wazazi wake, mkewe na watoto wake?
Uliwaza familia ya Gwanda azory, mkewe ambaye aliona akichukuliwa na hakurudi,wazazi na watoto wake?

Huyu unaemwita baba familia yote watamuaga na kumzika,je waliopotea bila kuzikwa?
WALE WALI KUWA WATOTO WA WANYAMA?
 
Unamjua Erick Kabendera , hivi yeye hakuwa mtoto wa mtu???

Mama yake aliomba kupitia vyombo vya habari kuwa Raisi amsaidie mtoto wake kwa sababu ndiye tegemeo lake.

Aliziba masikio mwisho mama alifariki na bado Erick hakupata nafasi ya kwenda kumzika mama yake.

Hivyo Karma is bitch ....

Ukilia lia na Mungu wako kwa maana hata wewe haujui utafikia wapi.
Tutalipwa hapa hapa DUNIANI. Issue ya Kabendera na mama yake iliniumiza sana. KAMA mzazi nilisikitika mno. Pua inaangalia chini kutuifunza kuwa wanyenyekevu na wenye ubinadamu. Sina mengi.
 
Back
Top Bottom