Nini kilikuwa chanzo cha mapato ya Bwana Yesu?

Kweli alishuka kuzimu na ndiyo maana Bible inasema iliibuka miili ya watakatifu watu wakawaona, ila habari ya Yuda hiliishia pale alipo jinyonga huko kwingine sijui, ujue kuna watu wabishi huenda hata huko kuzimu wapo waliokataa kuamini.
 
Naona

Unaanza kumfitini Yesu.
Yesu aende kuzimu kutubisha watu enzi za Yuda alafu sisi huku tukidedi tunapambana na hali zetu.


Hapana

Yesu alikuwa amenyooka
Angebaki huko huko hadi Leo ili kuonyesha consistency.
Kweli alishuka kuzimu na kumnyang'anya shetani funguo za ufalme wa mbingu, soma Bible utayaona maanadiko hayo, Na Ile sala ya Nasadiki inasema hivyo!
 
Kwahiyo Yesu hakuwa Masikini kama tunavyoaminishwa?
Wewe jiulize kiongozi anakwambia Yesu alikuwa maskini wakati alilisha chakula maelfu ya watu bure .Wakala na kusaza .

Maskini mlo wake tu shida .Maskini aweza lisha maelfu ya watu bure hadi wakasaza chakula? Shituka mafundisho kama hayo akili kichwani unayo

Kanisa linalifundisha mafundisho kama hayo kuwa Yesu alikuwa maskini unatakiwa kuondoka spidi hata bila kuaga uongo wamezidi mno wamepitiliza.

Mafundisho ya uongo hayo.Yesu hakuwa maskini
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]yaani nimecheka hadi tosha kwenye mafuta ya nazi.
 


Hahaha

Dah
 
Kweli alishuka kuzimu na ndiyo maana Bible inasema iliibuka miili ya watakatifu watu wakawaona, ila habari ya Yuda hiliishia pale alipo jinyonga huko kwingine sijui, ujue kuna watu wabishi huenda hata huko kuzimu wapo waliokataa kuamini.
Nakuambia hivi...
Mission ya Yesu ilikuwa planned KWA kila kitu.

Yuda si mpumbavu ku msnitch Yesu.
Na Mungu angeonekana hayupo fairly kama Yuda asingepata nafasi ya kutubia uovu wake.

Baada ya Yuda ku msintch Yesu.
Alijitundika na akatangulia kuzimu.
Na Yesu alimkuta Yuda kuzimu.

Probably Yuda alisaidiki Tena KWA Yesu na akapata neema ya wokovu.
Ni mpumbavu pekee kama hasingefanya hayo.


Sent from my TECNO RC6 using JamiiForums mobile app
 
Hata kanzu hajawahi kununua nyingine maisha yake yote, wala hatukuambiwa alipokuwa anaifua anatoa wapi ya kubadilisha, hakuwa na nyumba lakini alilala kila siku tena miji tofauti. NB Ukibarikiwa na Mungu vyote utapata.
 
Hata kanzu hajawahi kununua nyingine maisha yake yote, wala hatukuambiwa alipokuwa anaifua anatoa wapi ya kubadilisha, hakuwa na nyumba lakini alilala kila siku tena miji tofauti. NB Ukibarikiwa na Mungu vyote utapata.
Sasa mara ya mwisho wajuba wanaogombania kanzu yake ilikuwa haina sehemu iliyoshonwa angenunua wapi kanzu kama hiyo
 
Nimeipenda hii.
Mleta mada pia asante. Leo nimepata kitu kipya kumbe Yuda alikuwa mtunza fedha! Na kumbe Yesu kuna kipindi aliagiza hela zikachukuliwe kwa samaki... Tumboni/mdomoni mwa samaki!!.
Kama saizi unavoweza mtuma muhasibu bank
 
Yesu alikua na mpunga wa maana maandiko yanaonesha kwenye Luka 7 au 8 kuwa yule mwanamke Maria Magdalena alikuw Ni tajiri Sana inasemekana eti..
Alikuwa malikia wa magda na alimsponsor Jesus kila kitu.
Hv naeleweka naposema "kila kitu" nasikia pia Yesu alimwelewa Sana mpaka akamfanya mkuu was harakati za injili baada ya yeye kubanwa na warumi....
Baadae warumi wakamsaka Magdalena akakimbia mpaka ufaransa,mpaka akajifungua katoto ka kike kakaitwa Sarah Sasa hapa Bado Kuna tongotongo kama iyo mimba ilikuwa ya Jesus au laah.
Bhasi Petro alivyojua Magdalena kakimbia akaamua kuchukua jukumu ila ukweliii Ilo jukumu akupewa yeye Kwanza alikuwa ashamzingua Jesus.

Ila Yesu huduma yake ilikuwa na masponsor wengi ila ye mwenyeee alikuwa wa kawaida Sana .
 
Sasa wewe mtu anaweza kugeuza maji kuwa divai, ameponyesha watu ukoma na hata akafika hatua anafufua watu then jambo dogo kama kuwa na pesa unlimited si ishu
Mtu tena! Kwani si alikua Mungu?
 
Magdalena akakimbia mpaka ufaransa,mpaka akajifungua katoto ka kike kakaitwa Sarah Sasa hapa Bado Kuna tongotongo kama iyo mimba ilikuwa ya Jesus au laah.
Duh! Inamaana Yesu alikua anakula mzigo🤣🤣🤣
 


Hii mpya kwangu.
 
Alikuwa mjanja mjanja tuu mzee wa kubumba
Kama hana credible sources za income
 

Mkuu maandiko yanasema mtu akifa roho inarudi kwa Mungu na mwili unaenda kaburini sasa ilikuwaje tena Roho wa Yesu aende kuhubiri kuzimu?
Andiko tena linaeleza roho waliohubiriwa ni watu wasiotii kipindi cha Nuhu, hivyo basi Roho wa Yesu alihubiri kipindi cha nuhu lakini watu hawakutii kwa kuwa walikuwa katika vifungo vya dhambi na ndio maana waliangamia na mambo hayo ni sawa na sasa ambapo watu wanahubiriwa kuhusu ubatizo na toba, wanaotii wataokolewa na wasio tii wataangamia kama ilivyokuwa kipindi cha nuhu kwa kuwa Roho aliyekuwa akihubiri kipindi cha nuhu ndio huyo huyo kwa wakati huu.
 
Duh.
I wish Jf ingekuwa na sehemu ya voice.

Mbona maandiko yapo wazi hapo kabisa??

Hebu Soma Tena na tena.. uhitaji kutumia rocket science kuelewa.

Maana yapo wazi mnoo


Sent from my TECNO RC6 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…