Nini kilikuwa chanzo cha mapato ya Bwana Yesu?

Ila ile kanzu aliokuwa nayo akiongezeka nayo inaongezeka na haikuwa na mshono wowote, waliipigia kura huyo aliyeichukua sijui ilikuwaje hakuwa anaota anapigwa mijeredi kweli?

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Mi mgumu wz kuelewa ndo maana sijihusishi sana na mambo ya dini naogopa kuharibu;

'Mariamu aitwaye Magdalena'?!!!!!!!! Naomba msaada wa kuelewa tafadhali
Yesu-mnazareth, Nazareth ni sehemu alikotoka. Simioni-mkanaani, simoni aliyetokea kanaani(mwanafunzi wa Yesu) Joseph-Alimataya, alimataya sehemu alikotokea(huyu tajiri aliyetoa kaburi lake Yesu kazikwa). Mriamu huyu alitokea Magdalena sehemu pia.
 
Mkuu Bethania iko mkoa waYuda.
Kana iko mkoa wa Galilaya.
Hakukuwa na mawasiliano.

Wanaweza kuwa matajiri lakini kusponsor mambo ya Kana ni issue.

Hapa kuwa na uhusiano.
 
Eti matambala au tuite midabwada kama ya koffi


Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Yesu alikuwa rafiki wa matajiri.

Kisaikolojia hakuna urafiki wa matajiri na masikini.

Yesu aliheshimiwa akifika kwamatajiri anapewa siti nzuri nzuri.


Anakuwa mgeni rasmi. Hakunaga mgeni rasmi masikini.

Mfano
Kwa Simon Mkoma na Razalo
 
Ule muujiza wa kana ndiyo ulikuwa wakwanza kwa watu, mpaka alimwambia mama yake nina nini nawe? Muda wangu haujafika, ila ndiyo hivyo mama alishatoa amri kwa mtoto

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Ndiyo maana alimwambia mtu mbweha wanamapango lakini mwana wa Adamu hana hata pakuweka kichwa.
Kwa hio Yesu hakua hata na gheto?
Alikua anaishi kwa kuungaunga kama Yahaya wa Jay Dee?
 
Simba wa yuda alikuwa na pesa sababu alikuwa anatoza kodi huyu yuda yeye kazi ni mikopo mikopo kwenda mbele
 
Kwa hio Yesu hakua hata na gheto?
Alikua anaishi kwa kuungaunga kama Yahaya wa Jay Dee?
Gheto lilikuwa kwao, ila huko alikokuwa anahubili angeweka vipi gheto, leo mbagala kesho gongo la mboto, asubuhi anaamkia tegeta atajenga magheto mangapi hapo!

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Yesu alikuwa rafiki wa matajiri.

Kisaikolojia hakuna urafiki wa matajiri na masikini.

Yesu aliheshimiwa akifika kwamatajiri anapewa siti nzuri nzuri.


Anakuwa mgeni rasmi. Hakunaga mgeni rasmi masikini.

Mfano
Kwa Simon Mkoma na Razalo
Kwasababu za kisiasa. Hata wewe leo ukionekana una influence kubwa sana ya watu kukubalika na kupendwa lazima MATAJIRI na Wenye nguvu ya madaraka watataka ukariku na wewe.

Hata Yesu kuuawa Ni siasa zilihusika. Ilionekana anapendwa sana na watu, wanamfuata na kumuita Mfalme Mfalme wakati huo tayari kama eneo lilikuwa na Mfalme wao ( Herode )

Kwahiyo, hisia zilikiwepo tu kuwa huyu mtu anatishia madaraka yangu.

Kumbuka, tangu Yesu anazaliwa ziliposikika habari kuwa kazaliwa Mfalme basi Wenye madaraka waliua sana watoto wa kiume ili kuepusha Hilo tishio la madaraka.

Hapo ndio utajua siasa Zina laana aisee.
 
Daaah hii kiboko
 
Yesu alikuwa rafiki wa matajiri.

Kisaikolojia hakuna urafiki wa matajiri na masikini.

Yesu aliheshimiwa akifika kwamatajiri anapewa siti nzuri nzuri.


Anakuwa mgeni rasmi. Hakunaga mgeni rasmi masikini.

Mfano
Kwa Simon Mkoma na Razalo
Hata mazishi yake alizikwa na Tajiri Bilionea Yusuf wa Alimataya kwenye kaburi la matajiri.Hakuzikwa na malofa

mafuta tu ya kujipaka Yesu alikuwa akijipaka ya bei mbaya hadi Yuda Iskariote akashangaa, Maria Magdalena alipokuwa akimpaka yale mafuta akasema mafuta ghali haya Yesu unapaka loo.Yesu akamwambia mwache anipake wewe yuda iskariote kama umezoea kujipaka mafuta ya nazi utajijua akaendelea kujipaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…