Nini kilikuwa chanzo cha mapato ya Bwana Yesu?

Nini kilikuwa chanzo cha mapato ya Bwana Yesu?

Mi mkristo, tena mkatoliki pure niliyepata mafundisho yote na sakramenti zote za lazima.
Naielewa Dini vizuri mkuu, hakuna Dhambi kusema ukweli kwamba Yesu Kama mwalimu hakuwa Tajiri.
Labda umaskini wake pia ulimshawishi Yuda kumuuza.
Mzee wa sakramenti unaniangusha. Kuna jamaa hapo amenikumbusha kitu.

Yesualipozaliwa alipewa na wale wachawi wa kiarabu (majusi) waliosoma biblia na kujua kazaliwa bethrehem. Dhahabu na madini mengi sana.


Haya anaweza kuwa alitunziwa na wazazi ili zimsaidie kumsponsor ministry yake.

Pia miaka mingi sana alikuwa selemala kwa Baba yake. Inawezekana alisave mzigo wa kutosha.

Alionekana dhaifu sio kwa sababu ya huzuni kwa sababu alikuwa anakula Mara chache muda mwingine kafunga, anakesha na anahurumia wa dhambi wa vizazi vyote
 
Mtume Yesu (Issa mwana wa mariam ) alikuwa ni proffesional carpenter (fundi seremala)

Hakutegemea kuishi kwa sadaka na zaka.

Marko 6:3 BHN​

Je, huyu si yule seremala, mwana wa Maria, na ndugu yao kina Yakobo, Yose, Yuda na Simoni? Je, dada zake si wanaishi papa hapa kwetu?” Basi, wakawa na mashaka naye.
 
Mathayo 17:24-27
[24]Hata walipofika Kapernaumu, wale watozao nusu-shekeli walimwendea Petro, wakasema, Je! Mwalimu wenu hatoi nusu-shekeli? Akasema, Hutoa.

[25]Naye alipoingia nyumbani, Yesu alitangulia kumwuliza, akisema, Waonaje, Simoni? Wafalme wa dunia hutwaa kodi ama ushuru kwa watu gani? Kwa wana wao au kwa wageni?

[26]Naye aliposema, Kwa wageni, Yesu alimwambia, Basi, kama ni hivyo, wana ni mahuru.

[27]Lakini tusije tukawakwaza, enenda baharini ukatupe ndoana, ukatwae samaki yule azukaye kwanza; na ukifumbua mdomo wake utaona shekeli
; ichukue hiyo ukawape kwa ajili yangu na kwa ajili yako.

Sasa kwa uwezo huo [emoji115][emoji115] hapo achana na wale watu 5000 walioshibishwa kwa samaki wawili na mikate mitano

Bado unahoji chanzo Cha mapato Cha Yesu?
 
Mitume na Manabii hawakuishi kwa kutegemea miujiza au sadaka bali walikuwa wakifanya kazi za kuwaingizia vipato kama watu wengine. Tofauti na hawa matapeli wa leo wanaotegemea kula kwa kula sadaka na zaka ambazo zilitakiwa ziwafikie wajane,mayatima na mafukara
 
Mitume na Manabii hawakuishi kwa kutegemea miujiza au sadaka bali walikuwa wakifanya kazi za kuwaingizia vipato kama watu wengine. Tofauti na hawa matapeli wa leo wanaotegemea kula kwa kula sadaka na zaka ambazo zilitakiwa ziwafikie wajane,mayatima na mafukara
Ule mkoba wa kutunzia Pesa alikuwa anatembea nao kijana wa Iskariyote ulikuwa ni kwa mapato ya Yesu ya kuuza samani au kuna extra incomes alizipata
 
Kwanza hapo kabla aliishi maisha ambayo 90% ya vijana hawawezi.
  • Alikuwa kwa wazazi akisaidiana na mshua kwenye kazi za useremala, hivyo alikuwa anaingiza mapesa pale.
  • Alikuwa anakaa kwa wazazi, hivyo alikuwa halipi bili yoyote. si umeme, mvinyo wala mikate. Vyote alikuwa anakula bure ilhali ana kipato cha kuaminika kabisa.
  • Yesu alikuwa sio mtu wa kujichanganya sehemu za starehe kufanya matumizi aka kula bata.

Kwani wewe ukiwa unaingiza tu pesa bila matumizi kwa miaka labda kumi, huwezi kuwa na akiba ya kulisha wanaume 12 kwa miaka 3 years?

Nilichokiandika sijakitoa kwenye mstari wowote.
 
Kwanza hapo kabla aliishi maisha ambayo 90% ya vijana hawawezi.
  • Alikuwa kwa wazazi akisaidiana na mshua kwenye kazi za useremala, hivyo alikuwa anaingiza mapesa pale.
  • Alikuwa anakaa kwa wazazi, hivyo alikuwa halipi bili yoyote. si umeme, mvinyo wala mikate. Vyote alikuwa anakula bure ilhali ana kipato cha kuaminika kabisa.
  • Yesu alikuwa sio mtu wa kujichanganya sehemu za starehe kufanya matumizi aka kula bata.

Kwani wewe ukiwa unaingiza tu pesa bila matumizi kwa miaka labda kumi, huwezi kuwa na akiba ya kulisha wanaume 12 kwa miaka 3 years?

Nilichokiandika sijakitoa kwenye mstari wowote.
Hahahaha
Kwa hiyo Yesu hakuwa umasikini wa kipato.
 
Hahahaha
Kwa hiyo Yesu hakuwa umasikini wa kipato.
Yesu hakuwa njaa kali, kwanza alijua kuisaka noti pili alijua kuibajeti, alikuwa mchumi.
Sasa fikiria mtu amelisha wanaume 5,000 baki watoto na wanawake, halafu anaamuru mabaki ya samaki na mikate yakusanywe. Je, ni nani kati yetu angefanya hivyo!
 
Yesu hakuwa njaa kali, kwanza alijua kuisaka noti pili alijua kuibajeti, alikuwa mchumi.
Sasa fikiria mtu amelisha wanaume 5,000 baki watoto na wanawake, halafu anaamuru mabaki ya samaki na mikate yakusanywe. Je, ni nani kati yetu angefanya hivyo!
Hahahaha
Alihakikisha wakina thomaso ashindia viporo vya samaki na mikate hadi viishe ndio achukue Pesa kwa Yuda kununua fudi mpya.

Jesus sio wa mchezo.
 
Mi mkristo, tena mkatoliki pure niliyepata mafundisho yote na sakramenti zote za lazima.
Naielewa Dini vizuri mkuu, hakuna Dhambi kusema ukweli kwamba Yesu Kama mwalimu hakuwa Tajiri.
Labda umaskini wake pia ulimshawishi Yuda kumuuza.
Yuda hakumuuza kwa bahatimbaya, iliku kukamilisha mpango wa Mungu juu ya ukombozi wa mwadamu. Ilimpasa yesu kufa
 
Back
Top Bottom