unprejudiced
JF-Expert Member
- Jan 27, 2017
- 3,503
- 2,865
Watamhurumiaje wakati kwenye sakata la Korosho mwaka jana Desemba alimwambia PM Majaliwa nitapiga mpaka shangazi zako. Halafu akaingia 18 zao bila adabu wala kuomba radhi
Ni washenziHao uliowataja ni binadam, hapa tunamuongelea kiongozi wa Malaika, Mzee Meko ambao Lumumba wanaamini ni "mungu"!
Uko sahihi ila umezidi kidogo tu kuanza kuingiza kigogo hapo.Nilisita kuweka comment yangu
Lakini hii yote ni mchezo wa kuigiza
1.Kama wewe ni video analyser on spot dakika ya 4.08 ilipiwasha hii smoke screen rais aligeuka kuangalia chini baada ya sekunde 3 moshi ulikuwa umepanda juu ndio rais anasema wanaRugwa wameleta moshi wakati unatoka kwenye gari
2. The sound from the video baada ya kuwashwa smoke screen, as video analyser sound inatoka karibu na Rais, kwahiyo hii sound inatoka kwenye gari na rais alijua kinachoendelea.
Je kwanini button iliwashwa
1. Security organ Tiss walikuwa wanafanya testing ikitokea kitu as Mr President anapenda kutoa hotuba tokea kwenye gari lake, hii ni kwa ajili ya usalama wake kwa baadae
2. Tiss walikuwa wanasafisha na kutaka kudetect informer wanalikisha secret information za Nyumba nyeupe. Kwahiyo hizo information zote kwenda kwa kigogo2014 zilikuwa zinatoka kwa wenyewe. Lengo ni kukata milija ya kigogo
From now on Kigogo2014 will be no longer
Hii video haina mambo ya uchawi
Ni kwenye dkk ya ngapiRais Magufuli alipokuwa anahutubia wananchi huko Ruangwa kwenye kijiji fulani juu ya gari, mara moshi ukaanza kufuka. Na hapo hapo akakatisha hotuba.
Angalia video hapo chini.
View attachment 1238956
Huo mwanga ni simu ya mtu aliyekuwa anarekodi kwenye TV. No doubt.Mpaka mnaleta na Moshi
Ukiangalia clip vizuri inaonekana kuna mwanga kama wa flash hivi halafu na sauti inafuata kama kuharibika kwa kitu ( kama ni hiyo camera imepata hitilafu vile)
Lakini baada ya mwanga mkali wa kwanza na sauti halafu moshi, bado mwanga ule ulikuwa upo kadri camera ilivyokuwa inazunguka
Ngoja niwatumia NASA wakaingalie vizuri [emoji23] maana hii kama sio hitilafu ya camera basi acha tuwapambanishe na sayansi
View attachment 1238981View attachment 1238980
Na mimi nataka kujua, moshi ulitokea wapi?Moshi ulitokea wapi?
Huyu jamaa simjui kwa nini IZRAILI anamcheleweshaHiyo ni kawaida Kwa kila Binadamu kupatwa na Matatizo kiafya
Ni suala la Kawaida hata JK ilimpata jangwani
Hilary Clinton imempata mara kadhaa
Tuhubiri amani Upendo na akupendana
Britannica
Uko sahihi. Tatizo letu tunaamini Magufuli akipata matatizo na kuondoka, itakuwa nafuu yetu, bila kufahamu nani anakuja. Hiyo nafuu yenyewe inayowindwa, itokane na wizi!Hiyo ni kawaida Kwa kila Binadamu kupatwa na Matatizo kiafya
Ni suala la Kawaida hata JK ilimpata jangwani
Hilary Clinton imempata mara kadhaa
Tuhubiri amani Upendo na akupendana
Britannica
Huyo ata arogwe awe ana jinyea kila saa atakwambia uchawi hakuna ana kichwa kibovu sana
Elezea wewe nini kimetokea pumbavuSasa mwanga wa jua plus refrection ya iyo camera nd una sema uchawi ..moshi nao auja oneshwa ulipo tokea maana video ime onesha juuu juu tu...
Inshort i mada ni moja ya Pumba nilizo jutia kuzi soma mwaka 2019