Nini kilimpata Rais Magufuli akiwa anahutubia Ruangwa?

Nini kilimpata Rais Magufuli akiwa anahutubia Ruangwa?

ijasema mbona tusiende vituo vya mafuta wanatuambia tuzime simu nawaza tu kwa sauti kubwa haiwezekani hicho chombo kiko sensitive na umeme mkubwa hadi ikajivuruga chenyewe
Watu waliowekewa pacemaker wana exemption hata ya kufanyiwa metal Check up kwenye viwanja vya ndege. Hawapaswi kukutana na kitu chochote chenye radioactive material.
 
Walimtumia radi ya kimya ikatoa ikamkosa ikapiga pembeni pakatoka moshi hadi mkutano ukahaikishwa lakini jembe aliendelea kupiga kazi Lindi hadi mtwara

Inauma sana .get well soon

Watashindana kakini hawata shinda
View attachment 1238968

Hicho kijiji sidhani kama kitaendelea kuexist. Alafu jamaa alivyowasema wakashangilia kimzaha mzaha. Nonesense
 
mikoa ya kusini ni wa kuwaacha hivyohivyo bila elimu bila barabara bila hospitali bila chochote. hayo ni maisha waliyochagua ukienda ukaanza kuwahubiria elimu au kuwaepusha na kangomba wa korosho wanakuchukia na kukuletea moshi kama hivyo kwa lengo la kukudhuru.
 
Si NIMESIKIA ana kitu kwenye moyo halafu amehutubia chini ya nyama za umeme wa voltage kubwa watatuambia wamemfanyaje rais wetu
Hee! Unataka kutuambia moshi huo ni mlipuko wa battery ya ndani kwa ndani? Na kuwa ni sababu ya kusimama chini ya high voltage electric wire?
Kama ni hivyo hili jambo ni internal sabotage yaani "kikulacho ......"
Kwani watakuwa hawajui battery haitaki mvutano huo?
 
Walimtumia radi ya kimya ikatoa ikamkosa ikapiga pembeni pakatoka moshi hadi mkutano ukahaikishwa lakini jembe aliendelea kupiga kazi Lindi hadi mtwara

Inauma sana .get well soon

Watashindana kakini hawata shinda
View attachment 1238968
Kusini ndiomana wako nyuma kimaendeleo (Ki elimu, Afya, Uchumi, na nk.), ushirikina mpaka kwa serikali! (Mh. Rais)....wamejiabisha kwa kweli
 
Back
Top Bottom