Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23]Sasa mwenye hiyo video mpaka mwisho jinsi alivyoondoka atuwekee tuone
Maendeleo hayana chama jamani
Umesikiliza na audio ? Mkuu mwenyewe anataja neno moshi humo.Sasa mwanga wa jua plus refrection ya iyo camera nd una sema uchawi ..moshi nao auja oneshwa ulipo tokea maana video ime onesha juuu juu tu...
Inshort i mada ni moja ya Pumba nilizo jutia kuzi soma mwaka 2019
Alisema atawapiga mashangazi wao!Hasira za korosho hizi, Rais bado ana maadui wengi Mno. Ni vyema hili suala la korosho likaangaliwa kwa undani zaidi kuepusha majanga zaidi.
Naona Mh. Rais alikiri kabisa kuuona moshi na ukiangalia vizuri unaona Mh. alikuwa na hofu fulani, hata walinzi walianza kama kupanic kwa kujihami kwa kuimarisha ulinzi na kuanza kuwasukuma wananchi waliohudhuria eneo hilo.
Ni vyema serikali iangalie namna ya kumalizana na hao wazee wa huko ruangwa (Hapa Waziri Mkuu itabidi aonane nao, kidogo watamsikiliza) , kwani siku zote kurudia kosa ndio kosa, wawe na moyo wa kusamehe.
Ni muda sasa wa Waziri Mkuu kwenda kuongea nao, yaliyopita si ndwele sote ni binadamu na hatujakamilika kwa 100%Waziri mkuu alitaka kuwatetea JIWE akamtishia kuwa hata yeye angeondoka/angefukuzwa
Mikoa Lindi na mtwara haitakuja kuendelea kamwe sababu ya uchawi na ushirikina.Walimtumia radi ya kimya ikatoa ikamkosa ikapiga pembeni pakatoka moshi hadi mkutano ukahaikishwa lakini jembe aliendelea kupiga kazi Lindi hadi mtwara
Inauma sana .get well soon
Watashindana kakini hawata shindaView attachment 1238968
Bashite alikuwa busy alisahau tarehe aliyopangiwaBunduki hazikusaidia kumlinda? Au wale wachawi wa Gamboshi hawakuwepo?
Maandiko yanasema hivi, Amelaaniwa amtegemeaye mwanadamu na kufanya kuwa Kinga yake. Siku zao wasio haki Bwana atazifupisha. Mungu si mwanadamu hata aseme uongo. Mfalume Belishaza kule mjini Babeli aliona Maandiko ya ajabu ukutani akashindwa kuyasoma akalia akaagiza waletwe waganga na wachawi waje kuyasoma hawakuweza. Ndipo mtumishi wa Mungu Danieli akaitwa na kwa msaada Mungu akayasoma. Maandiko yenyewe ni haya hapa.
MENE MENE TEKELI NA PELESI.
Maana yake maneno hayo ni hivi
MENE= Mungu ameuhesabu ufalme wako na kuukomesha.
TEKELI= Umepimw ktk mizani nawe umeonekana kuwa umepunguka.
PELESI= Ufalme wako umegawanyika.
Danieli 5-1-25
Walimtumia radi ya kimya ikatoa ikamkosa ikapiga pembeni pakatoka moshi hadi mkutano ukahaikishwa lakini jembe aliendelea kupiga kazi Lindi hadi mtwara
Inauma sana .get well soon
Watashindana kakini hawata shindaView attachment 1238968
Heri lawama kuliko fedheha!Hii video nimecheka sana sasa watu wanaletewa maendeleo wao wanaenda kumloga jamani ndio mana lindi na mtwara hakuendelei
Umesikiliza na audio ? Mkuu mwenyewe anataja neno moshi humo.