Nini kilimpata Rais Magufuli akiwa anahutubia Ruangwa?

Nini kilimpata Rais Magufuli akiwa anahutubia Ruangwa?

Hasira za korosho hizi, Rais bado ana maadui wengi Mno. Ni vyema hili suala la korosho likaangaliwa kwa undani zaidi kuepusha majanga zaidi.

Naona Mh. Rais alikiri kabisa kuuona moshi na ukiangalia vizuri unaona Mh. alikuwa na hofu fulani, hata walinzi walianza kama kupanic kwa kujihami kwa kuimarisha ulinzi na kuanza kuwasukuma wananchi waliohudhuria eneo hilo.

Ni vyema serikali iangalie namna ya kumalizana na hao wazee wa huko ruangwa (Hapa Waziri Mkuu itabidi aonane nao, kidogo watamsikiliza) , kwani siku zote kurudia kosa ndio kosa, wawe na moyo wa kusamehe.
Alisema atawapiga mashangazi wao!
 
Bunduki hazikusaidia kumlinda? Au wale wachawi wa Gamboshi hawakuwepo?
Maandiko yanasema hivi, Amelaaniwa amtegemeaye mwanadamu na kufanya kuwa Kinga yake. Siku zao wasio haki Bwana atazifupisha. Mungu si mwanadamu hata aseme uongo. Mfalume Belishaza kule mjini Babeli aliona Maandiko ya ajabu ukutani akashindwa kuyasoma akalia akaagiza waletwe waganga na wachawi waje kuyasoma hawakuweza. Ndipo mtumishi wa Mungu Danieli akaitwa na kwa msaada Mungu akayasoma. Maandiko yenyewe ni haya hapa.
MENE MENE TEKELI NA PELESI.

Maana yake maneno hayo ni hivi

MENE= Mungu ameuhesabu ufalme wako na kuukomesha.

TEKELI= Umepimw ktk mizani nawe umeonekana kuwa umepunguka.

PELESI= Ufalme wako umegawanyika.

Danieli 5-1-25
 
Bunduki hazikusaidia kumlinda? Au wale wachawi wa Gamboshi hawakuwepo?
Maandiko yanasema hivi, Amelaaniwa amtegemeaye mwanadamu na kufanya kuwa Kinga yake. Siku zao wasio haki Bwana atazifupisha. Mungu si mwanadamu hata aseme uongo. Mfalume Belishaza kule mjini Babeli aliona Maandiko ya ajabu ukutani akashindwa kuyasoma akalia akaagiza waletwe waganga na wachawi waje kuyasoma hawakuweza. Ndipo mtumishi wa Mungu Danieli akaitwa na kwa msaada Mungu akayasoma. Maandiko yenyewe ni haya hapa.
MENE MENE TEKELI NA PELESI.

Maana yake maneno hayo ni hivi

MENE= Mungu ameuhesabu ufalme wako na kuukomesha.

TEKELI= Umepimw ktk mizani nawe umeonekana kuwa umepunguka.

PELESI= Ufalme wako umegawanyika.

Danieli 5-1-25
Bashite alikuwa busy alisahau tarehe aliyopangiwa
 
Si NIMESIKIA ana kitu kwenye moyo halafu amehutubia chini ya nyama za umeme wa voltage kubwa watatuambia wamemfanyaje rais wetu
Una maanisha hii hapa!!
 

Attachments

  • Screenshot_20191018-233604_Chrome.jpg
    Screenshot_20191018-233604_Chrome.jpg
    26.5 KB · Views: 9
Vp wewe Ume sikiliza..kuna kitu kilicho toa moshi akija oneshwa kwenye video .. mkuu mwenyewe akiri zake si uwa ana muachia body guard wake akipanda jukwaani
Umesikiliza na audio ? Mkuu mwenyewe anataja neno moshi humo.
 
Back
Top Bottom