Jambo la kawaida likifichwa linaleta taharukiHiyo ni kawaida Kwa kila Binadamu kupatwa na Matatizo kiafya
Ni suala la Kawaida hata JK ilimpata jangwani
Hilary Clinton imempata mara kadhaa
Tuhubiri amani Upendo na akupendana
Britannica
Watu waliowekewa pacemaker wana exemption hata ya kufanyiwa metal Check up kwenye viwanja vya ndege. Hawapaswi kukutana na kitu chochote chenye radioactive material.ijasema mbona tusiende vituo vya mafuta wanatuambia tuzime simu nawaza tu kwa sauti kubwa haiwezekani hicho chombo kiko sensitive na umeme mkubwa hadi ikajivuruga chenyewe
Absolutely! And we should therefore expect more than him to have been poisoned.Hii ni hujuma dhidi ya Rais, probably na baadhi ya wana usalama, that smoke could be poisonous.
Walimtumia radi ya kimya ikatoa ikamkosa ikapiga pembeni pakatoka moshi hadi mkutano ukahaikishwa lakini jembe aliendelea kupiga kazi Lindi hadi mtwara
Inauma sana .get well soon
Watashindana kakini hawata shinda
View attachment 1238968
Kijana aliyeomba msamaha anajua ndo maana imepatikana clearWhere did you get this ?
Aisee usikute wamempulizia hewa ya sumuHii ni hujuma dhidi ya Rais, probably na baadhi ya wana usalama, that smoke could be poisonous.
Punguza kiherehere iyo bikra nadhani uliicha kwenye matuta ya mihogoKama Lissu sawa. I thought you meant Mr P.
Ule uzio was chuma haukusaidia? HahahaWalimtumia radi ya kimya ikatoa ikamkosa ikapiga pembeni pakatoka moshi hadi mkutano ukahaikishwa lakini jembe aliendelea kupiga kazi Lindi hadi mtwara
Inauma sana .get well soon
Watashindana kakini hawata shinda
View attachment 1238968
Kwani dawa zilikuwa zimeisha..🙄Bashite alikuwa busy alisahau tarehe aliyopangiwa
Una undugu na MLEVi Mmoja ?Leta habari kamili
Hee! Unataka kutuambia moshi huo ni mlipuko wa battery ya ndani kwa ndani? Na kuwa ni sababu ya kusimama chini ya high voltage electric wire?Si NIMESIKIA ana kitu kwenye moyo halafu amehutubia chini ya nyama za umeme wa voltage kubwa watatuambia wamemfanyaje rais wetu
Mikoa Lindi na mtwara haitakuja kuendelea kamwe sababu ya uchawi na ushirikina.
Hiyo hapo juu nayo ilikuwa Lindi na Mtwara?! Aibu sana hii, hivi sasa mnakimbilia kwenye imani za kishirikina!!!Habari tulizozipata punde zinadai kuwa Waziri wa Ujenzi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli amezidiwa ghafla na kukimbizwa hospitalini huku Dodoma ambapo bunge la tisa linaendelea.
Kusini ndiomana wako nyuma kimaendeleo (Ki elimu, Afya, Uchumi, na nk.), ushirikina mpaka kwa serikali! (Mh. Rais)....wamejiabisha kwa kweliWalimtumia radi ya kimya ikatoa ikamkosa ikapiga pembeni pakatoka moshi hadi mkutano ukahaikishwa lakini jembe aliendelea kupiga kazi Lindi hadi mtwara
Inauma sana .get well soon
Watashindana kakini hawata shinda
View attachment 1238968
Ningekuwa karibu ningekupiga bonge la kofi ukafie ubeberuniWazee wa ruangwa shikilieni hapo hapo