Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao unao wataja unawachukulia poa tu, hujawajua vzuri. Ni mafundi katk sanaaa na sayansi za giza.Ni sayansi kubwa hata FBI, CIA Scotland Yard, KGB na wenzao watafunga safari kuja Lindi kujifunza Mbinu mpya ambayo wao hawajafahamu vizuri
Nakumbuka Sana hio kauliWatamhurumiaje wakati kwenye sakata la Korosho mwaka jana Desemba alimwambia PM Majaliwa nitapiga mpaka shangazi zako. Halafu akaingia 18 zao bila adabu wala kuomba radhi
Wangenijumuisha
Watu waliowekewa pacemaker wana exemption hata ya kufanyiwa metal Check up kwenye viwanja vya ndege. Hawapaswi kukutana na kitu chochote chenye radioactive material.
Mikoa Lindi na mtwara haitakuja kuendelea kamwe sababu ya uchawi na ushirikina.
Ni ushirikina bro kaiyangalie video ipo you tube. Hata mtoto mdogo ataelewaMbona kama kuna kitu kimewashwa tu chini hapo... Sidhan kama ni ushirikina... Inaweza ikawa moshi umemdhuru ila sio kwamba ni shirki
Hahaaaa wenyewe wanataka kumla kichwa boss waoHee! Unataka kutuambia moshi huo ni mlipuko wa battery ya ndani kwa ndani? Na kuwa ni sababu ya kusimama chini ya high voltage electric wire?
Kama ni hivyo hili jambo ni internal sabotage yaani "kikulacho ......"
Kwani watakuwa hawajui battery haitaki mvutano huo?
Mim nadhan mnawasingizia watu wa kusini, hamna ushahid wa moja kwa moja kwamba wamefanya hayoKusini ndiomana wako nyuma kimaendeleo (Ki elimu, Afya, Uchumi, na nk.), ushirikina mpaka kwa serikali! (Mh. Rais)....wamejiabisha kwa kweli
Sasa mwenye hiyo video mpaka mwisho jinsi alivyoondoka atuwekee tuone
Maendeleo hayana chama jamani
Mbona kama kuna kitu kimewashwa tu chini hapo... Sidhan kama ni ushirikina... Inaweza ikawa moshi umemdhuru ila sio kwamba ni shirki
Mzee huyu sijui anaamini Nini?Kuna maneno kayatamka mwishoni hapo yamenitafakarisha sn.
Huyo aliyeihariri hii clip ana lake jambo. ndiyo maana ameishia hapo na hakuweka mpaka mwisho. Inwezekena lilikuwa tukio la kawaida kabisa lakini kwa sababu mhariri clip alitaka kufikisha ujumbe kwa waamini nguvu za uchawi basi akaondoa sehemu zilizofuata.
Hii ni hujuma dhidi ya Rais, probably na baadhi ya wana usalama, that smoke could be poisonous.
Huo moshi hauna Kitu kibaya kweli? Kitengo wanasinzia sasa timua
Unamwambia nani ahubiri amani? Wakati huu ndyo umeona umuhimu wa kuhubir amani? Lisu alipopigwa risasi ulisema tuhubiri amani?Hiyo ni kawaida Kwa kila Binadamu kupatwa na Matatizo kiafya
Ni suala la Kawaida hata JK ilimpata jangwani
Hilary Clinton imempata mara kadhaa
Tuhubiri amani Upendo na akupendana
Britannica
Sasa hapo wangemsaidia vipi ndugu yangu!!Ana kundi kubwa la walinzi ambao hawana utaalam na malimwengu...
Watamhurumiaje wakati kwenye sakata la Korosho mwaka jana Desemba alimwambia PM Majaliwa nitapiga mpaka shangazi zako. Halafu akaingia 18 zao bila adabu wala kuomba radhi
Ziara hazina shida yeyote...Itafika mahala mikutano ya vijiji kwa vijiji njiani haitokuwepo zaidi ya wilayani au kwenye makao makuu ya mikoa.
Ziara nyingine za utekelezaji wa majukumu zitafanywa na Wakuu wa Mikoa na Wilaya,nguvu zaidi itaongezwa kwenye ufuatiliaji.