Nini kilimpata Rais Magufuli akiwa anahutubia Ruangwa?

Nini kilimpata Rais Magufuli akiwa anahutubia Ruangwa?

Huyu nae achutame sasa....kazingua lkn bado kakomaa tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
IMG-20191020-WA0011.jpeg
 
Kigogo na wengineo wataambia nini watu....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
At least raia wameonyesha kilichopo ndani ya mioyo yao. Mkipuuza na hilo mtakua ni zaidi ya majuha. Ni muda wa kuangalia ni nini kimelifikisha taifa hapa lilipo.
Kujimwambafai haisaidii, the hate is real.
Mdharau mwiba, mguu huota tende.
 
Moshi ulitokea wapi?
Hiyo ni smorking machine nahisi hivyo coz kabla huo mosh haujaanza kuna kitu kimesikika kikifoka kuashiria ndicho kilichoutoa huo moshi.... Movie kama kidedea tuu
 
😂😂sensa imefanikiwa,kura ya maoni tumeipata,tutajua tushughulikeje na nyie sasa,!nakushukuru kamanda manyota wetu kigogo,mission accomplished,pumzika sasa!chezea system wewe!😂😂
 
Naungana na wewe kabisa, kama hii video niliyosikia na kuona yapo hivyo, basi ni hujuma ya kisayansi kabisa wala si ushirikina. Suspects wa kwanza baadhi ya watu wa kitengo.
Hii ni hujuma dhidi ya Rais, probably na baadhi ya wana usalama, that smoke could be poisonous.
 
Tatizo anaechomoaga betri huwa ni mmoja tu ila madhara yanawapata na wengine!
 
Mpaka mnaleta na Moshi
Ukiangalia clip vizuri inaonekana kuna mwanga kama wa flash hivi halafu na sauti inafuata kama kuharibika kwa kitu ( kama ni hiyo camera imepata hitilafu vile)

Lakini baada ya mwanga mkali wa kwanza na sauti halafu moshi, bado mwanga ule ulikuwa upo kadri camera ilivyokuwa inazunguka
Ngoja niwatumia NASA wakaingalie vizuri [emoji23] maana hii kama sio hitilafu ya camera basi acha tuwapambanishe na sayansi
View attachment 1238981View attachment 1238980
Huo mwanga ni wa simu ya mtu aliekua anarekodi hiyo clip kupitia kwenye TV
 
Tatizo anaechomoaga betri huwa ni mmoja tu ila madhara yanawapata na wengine!
Mchomoa betri unaweza kukuta katoka hata kule Mbegani Bagamoyo wenye uchungu wa kunyimwa Bandari au pengine mchomoa betri ni yule Takukuru aliyetumbuliwa hapo mkoani au hata mchomoa betri ni yule aliyeiba file ofisini kwa DPP
 
Back
Top Bottom