Nini kilipelekea 1 Us dollar kubadilishwa kwa shilingi za kitanzania 7 mwaka 1960 mpaka shilingi 2600 mwaka 2024 ?

Nawaonea huruma sana watoto wetu maana miaka inavyo enda hii nchi inazidi kua ya ovyo amna ajira..amna uwekezaji amna viwanda, mazingira ya uwekezaji niya ovyo ovyo
Wataandamana wajikwamue
 

Hapa umenena kweli kabisa nakunukuu in red

Tatizo hatuna strategy hata ya kutumia hiyo pesa isiyo na thamani kuwa na uchumi mzuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…