Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Serikali ndiyo mbia wa kwanza. Anatakiwa kuwezesha mazingira ya hili kufanyika. Kutoa nafuu ya kodi, kuwezesha kupatikana mtaji, kulinda soko nk nk. Nchi zote zilizoendelea kwa viwanda serikali zao zimeplay part kubwa kuliko wenyewe waliofungua viwanda.Fungua kiwanda Cha midoli,makasha ya sabuni,tooth pick nk.. unasubiri nani afungue!?
Karibuni wataalamu wa Siasa na Uchumi .
1961 - 1 US dollar ilikuwa shilingi 7 za kitanzania .
2024 -1 us dollar ni shilingi 2600 za kitanzania.
View attachment 3049955
Hapa inaelezwa thamani ya shilingi ya Zanzibar kwa kipindi hicho
View attachment 3049959IDD AMIN DADAA
Karibuni wataalamu wa Siasa na Uchumi .
1961 - 1 US dollar ilikuwa shilingi 7 za kitanzania .
2024 -1 us dollar ni shilingi 2600 za kitanzania.
View attachment 3049955
Hapa inaelezwa thamani ya shilingi ya Zanzibar kwa kipindi hicho
IDD AMIN dadaa
ujamaa ni mtamu kwenye makalatasi tu..Ile vita ndio ilituletea shida zaidi ndipo mabeberu wakawa wamempata Mwalimu pale walipomtaka awepo !
Wakubwa wa magharibi walikuwa wanajua kama sera za Ujamaa zitapata mafanikio Nchi nyingi Africa zitafuata zile policy na wao mirija yao ya unyonyaji itakuwa imefikia mwisho wake !!
Baada ya ile vita wakajua sasa Mwalimu hana tena ujanja mwingine na ndipo wakashikilia hapo hapo, kwamba kama unataka mikopo shusha thamani ya pesa yenu !
Ujanja wetu ukaishia hapo π³π
Tatizo ni kwamba kumekuwepo dharau kubwa za professions hapa Tanzania hasa kwa wakurugenzi wa juu1. No balance of Trade: Much higher import than export, with almost zero export.
2. Money devaluation and higher inflation rates.
3. Bad if not worse Politics Regime within the Country, ambazo kwa upande mwingine zimesababisha 'uncertenities' katika nyanja zote kabisa za maisha ya Wananchi.,
4. Elimu duni na isiyokuwa sahihi kwenye masuala ya Uchumi, ikiwemo na Financial Economics, n.k, n.k.
Nawe ukiwa miongoni mwetu?Ni uvivu wenu watanzania.
πππIDD AMIN dadaa
Mbona CHiNA hakufeli kirahisiujamaa ni mtamu kwenye makalatasi tu..
nje hivyo vita kufeli kulikiwa pale pale.
Kuna madini hapaExchange Rates and their Measurement | Explainer | Education
This series provides short, concise explanations for various economics topics.www.rba.gov.au
Pesa ya China inatumika nchi zipi na zipi kama official currency for payment ?Wachina wanajitahidi sana pesa yao isipande thamani.
Ikipanda wanaishusha kwa makusudi.
Kimkakati, ili uchumi wao unaotegemea exports ufanye vizuri.
Wanaona pesa yao ikiwa na thamani ndogo ndiyo itachochea uchumi wao kuwa mzuri. Kwa kuchochea exports zaidi.
Pesa kuwa na thamani kubwa au ndogo si tatizo.
Tatizo ni, una mkakati gani wa kuitumia thamani yoyote ya pesa yako ili uwe na uchumi mzuri.
Tatizo hatuna strategy hata ya kutumia hiyo pesa isiyo na thamani kuwa na uchumi mzuri.
Tungekuwa na strategy kama ya China, tungeweza kuipigania pesa yetu isipande thamani na vile vile kujenga uchumi mzuri wa export.
Tatizo si thamani ya pesa, thamani ys pesa hata Benki Kuu inaweza kuibadilisha siku moja tu.
Tatizo ni uzalishaji, tatizo ni mkakati.
Subiri mdau mkuu serikali kukuwekea mazingira mazuri na kukusaidia kupata mtajiSerikali ndiyo mbia wa kwanza. Anatakiwa kuwezesha mazingira ya hili kufanyika. Kutoa nafuu ya kodi, kuwezesha kupatikana mtaji, kulinda soko nk nk. Nchi zote zilizoendelea kwa viwanda serikali zao zimeplay part kubwa kuliko wenyewe waliofungua viwanda.
Sawa kabisa, AlhamduliLlah nilikuwepo.Five years after independence in 1961, the Tanzanian shilling replaced the East African shilling as the nation's official currency.
Hakuna kingine zaidi ya Sisiemu πππKaribuni wataalamu wa Siasa na Uchumi .
1961 - 1 US dollar ilikuwa shilingi 7 za kitanzania .
2024 -1 us dollar ni shilingi 2600 za kitanzania.
View attachment 3049955
Hapa inaelezwa thamani ya shilingi ya Zanzibar kwa kipindi hicho
View attachment 3049959
Wamefanya niniHakuna kingine zaidi ya Sisiemu πππ
Mh! Hebu funguka. Hapa.Uchumi wa nchi haupimwi kwa thamani ya pesa yake.
Inatumika China, point yako ni nini?Pesa ya China inatumika nchi zipi na zipi kama official currency for payment ?