Nini kilipelekea 1 Us dollar kubadilishwa kwa shilingi za kitanzania 7 mwaka 1960 mpaka shilingi 2600 mwaka 2024 ?

Fungua kiwanda Cha midoli,makasha ya sabuni,tooth pick nk.. unasubiri nani afungue!?
Serikali ndiyo mbia wa kwanza. Anatakiwa kuwezesha mazingira ya hili kufanyika. Kutoa nafuu ya kodi, kuwezesha kupatikana mtaji, kulinda soko nk nk. Nchi zote zilizoendelea kwa viwanda serikali zao zimeplay part kubwa kuliko wenyewe waliofungua viwanda.
 
ujamaa ni mtamu kwenye makalatasi tu..
nje hivyo vita kufeli kulikiwa pale pale.
 
Tatizo ni kwamba kumekuwepo dharau kubwa za professions hapa Tanzania hasa kwa wakurugenzi wa juu
Mtu ni kada wa ccm huko kasoma sociaology anakuja kuwa Waziri wa fedha.

Katiba mbovu kwamba Waziri lazima awe mbunge. Je kama wabunge ni vilaza? Ndo majibu haya sasa
 
Mfumo wa uongozi [Political instability], Utofauti kwenye Interest rates.. NI moja ya visababishi
 
Pesa ya China inatumika nchi zipi na zipi kama official currency for payment ?
 
Subiri mdau mkuu serikali kukuwekea mazingira mazuri na kukusaidia kupata mtaji
 
Five years after independence in 1961, the Tanzanian shilling replaced the East African shilling as the nation's official currency.
Sawa kabisa, AlhamduliLlah nilikuwepo.

Sasa post namba moja ametaka kutupiga porojo, watu tuliotumia za King george na za mmasai.
 
Ndio hiyo dola kubadilika wao ndio wanauchumi wa nchi tangia uhuru
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…