Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
Kwahiyo Mbowe alichaguliwa kuwa mwenyekiti wa Chadema kwa sababu ya kuowa mtoto wa mwasisi wa chama?Sio Kweli Ingekuwa unasema ukweli RIDHWANI asingeteuliwa!!! Habari hizo peleka kwa maboya wenzio.
Kwahiyo Mbowe alichaguliwa kuwa mwenyekiti wa Chadema kwa sababu ya kuowa mtoto wa mwasisi wa chama?
Uwaziri ni uwaziri tuKutoka wizara nyeti ya Utawala Bora na Utumishi wa Umma mpaka Wizara ya Michezo? Nini kimemkuta waziri huyu kutoka royal family?
Masauni mpole heheeeeeeAndenda kumdhibiti msemaji wa serikali, pia hyo wizara haina skendo na huenda manjagu alikuwa hawaheshm wakaomba aondolewe.
Manjagu wamepelekewa mhagama mpole, tax mpole na masauni mpole
Wacha weeAmeonyesha uwezo mzuri kwenye Wizara aliyopewa mara ya kwanza kabisa kuiongoza na ndio maana wizara hii mpya ya Sanaa, utamaduni na Michezo nayo ni mpya hivyo yawezekana Rais ana maana yake .
Angeweza kumpa kokote Ila amempeleka kama Waziri kamili anajua pale hakuna kelele sana apumzike ale kimya.
Hata ingekuwa mimi ningefurahi kupelekwa kwenye michezo kwanza panakuweka karibu na wananchi kupitia michezo yaani unakutana na watu wakiwa kwenye raha tupu ni fulu kuwapa shangwe unajipatia umaarufu bila jasho.
Huko kwenye mambo magumu utakutana na majungu kila siku. Hapo anakula kimyakimya na mshahara ni wa Waziri hauna presha.
Hata madili yapo Kuna ujenzi wa viwanja vya watoto, Makumbusho nk hizo ni deal hazina presha hakuna atakayelalamika kuhusu tozo.
Andenda kumdhibiti msemaji wa serikali, pia hyo wizara haina skendo na huenda manjagu alikuwa hawaheshm wakaomba aondolewe.
Manjagu wamepelekewa mhagama mpole, tax mpole na masauni mpole
Natamani kujua mawazo yako kuhusu huu uteuzi wa wakuu safari hii...Hapana dogp alizengua na alikua anaelekea kumchafua bi mkubwa kwa tamaa zake … pamoja na kuwa akiongea utajua huyu mtu ana madhaifu ya ujana pia … akijirekebisha atakuja kuwa kiongozi mzuri ila kwa sasa hajakomaaa kushika wozara Nyeti
Hivi unajua hata unachoongea? Msemaji wa Serikali yupo wizara ya sanaa na utamaduni?Andenda kumdhibiti msemaji wa serikali, pia hyo wizara haina skendo na huenda manjagu alikuwa hawaheshm wakaomba aondolewe.
Manjagu wamepelekewa mhagama mpole, tax mpole na masauni mpole
Amepewa salaam kwamba hapa tunaendesha nchiKutoka wizara nyeti ya Utawala Bora na Utumishi wa Umma mpaka Wizara ya Michezo? Nini kimemkuta waziri huyu kutoka royal family?
Kweli kabisa Chief, wizara kama madini, nishati, ujenzi na uchukuzi, fedha, afya na mambo ya ndani ni pasua kichwa sana! Ni bora ufichwe huko mambo ya nje, muungano, michezo, mifugo! Mkwere udhaifu wake haukuonekana sababu alijificha mambo ya nje miaka 10! Nakumbuka fedha na nishati hakudumu sana, kingmakers walishaona pangemuharibiaAmeonyesha uwezo mzuri kwenye Wizara aliyopewa mara ya kwanza kabisa kuiongoza na ndio maana wizara hii mpya ya Sanaa, utamaduni na Michezo nayo ni mpya hivyo yawezekana Rais ana maana yake .
Angeweza kumpa kokote Ila amempeleka kama Waziri kamili anajua pale hakuna kelele sana apumzike ale kimya.
Hata ingekuwa mimi ningefurahi kupelekwa kwenye michezo kwanza panakuweka karibu na wananchi kupitia michezo yaani unakutana na watu wakiwa kwenye raha tupu ni fulu kuwapa shangwe unajipatia umaarufu bila jasho.
Huko kwenye mambo magumu utakutana na majungu kila siku. Hapo anakula kimyakimya na mshahara ni wa Waziri hauna presha.
Hata madili yapo Kuna ujenzi wa viwanja vya watoto, Makumbusho nk hizo ni deal hazina presha hakuna atakayelalamika kuhusu tozo.
Riz ana sifa gani?Raisi hachagui mtu kwa sababu ya familia yake, bali anamteua mtu kwa sababu ya sifa zake.
Aaaaa kumbeee ,tulia weeeRaisi hachagui mtu kwa sababu ya familia yake, bali anamteua mtu kwa sababu ya sifa zake.
Bado ataendelea kufanya shughuli zake undercover, hiyo ni geresha bwege tu. Subiri utaona makubwa zaidi.
Kuna ukweli hapaAndenda kumdhibiti msemaji wa serikali, pia hyo wizara haina skendo na huenda manjagu alikuwa hawaheshm wakaomba aondolewe.
Manjagu wamepelekewa mhagama mpole, tax mpole na masauni mpole
Msemaji wa Serikali yupo chini ya Waziri NapeAndenda kumdhibiti msemaji wa serikali, pia hyo wizara haina skendo na huenda manjagu alikuwa hawaheshm wakaomba aondolewe.
Manjagu wamepelekewa mhagama mpole, tax mpole na masauni mpole
Akiwa nyumbani alijaribu kumpiga mtoto wa mama kwhyo mtoto kaenda kushtaki kwa mama yake Ikulu na mama kampa Mchengerwa last warning na kumuondoka katika wizara ya karibu na yeyeKutoka wizara nyeti ya Utawala Bora na Utumishi wa Umma mpaka Wizara ya Michezo? Nini kimemkuta waziri huyu kutoka royal family?
Masikio yalizidi kichwa na mabega juu,Alikuwa haelewani na TISS jamaa hakuwa na maadili ya kazi TISS walikuwa wanalalamika sana hakuweza kuwasaidia. Kifupi hiyo wizara imemfaa sana muache akate viuno mtoto wa kibiti.
Kwa hiyo huyo Mchengerwa ana sifa za kuwa waziri ukitoa ya ubunge!!???Raisi hachagui mtu kwa sababu ya familia yake, bali anamteua mtu kwa sababu ya sifa zake.