Watu wamBinadamu wamegeuka na kuwa namna ya ajabu sana.
Badala ya kutoa msaada wanatumia muda wote huo kupiga picha.
Kimbia,tafuta chimbo ujifiche,ziba uso na kichwatupe walau mbinu za kusaidiana kwenye shambulio la nyuki wa kali wa kutumwa kishirikina au wa kawaida gentleman, itapendeza zaidi 🐒
kama huyo alieshambuliwa na hao nyuki,Watu wam
Kimbia,tafuta chimbo ujifiche,ziba uso na kichwa
Ova
Gari halikuwa na faya eksitinguisha wakaipuliza hapo? Labda ingesaidiaBaadhi ya watu wanapigwa na butwaa wanashindwa kupata mbinu ya haraka ya kumsaidia. Hapo wangefanyaje kumuokoa?
Msaada #1 ujipe mwenyewe alitakiwa akimbieeee huyo dada inaelekea alishapanick na nyuki uki panick basi watazidi kukumizakama huyo alieshambuliwa na hao nyuki,
kwa mfano hao jamaa waliokua wanarecord hiyo video wangemsaidiaje huyo mng'atwa na nyuki kwa mfano?
naona kama mtoa hoja kama anawafokea vile 🐒
Hata wangewasha mashati Yao tu ingesaidia sanaYaani viberiti vya kuwashia Sigara wanavyo ila wameshindwa kuwasha hata Makaratasi kuwakimbiza hao Nyuki
Hata kama naishi DSM, sitaki hata kusikia Wakiniita Mwanaume wa DSM 🙌
Hata wangeendesha gari wamuweke uvunguni tuWatu wamekuwa kama machoko.
Yaani hata akili na roho ya kujitosa hawana.
Mimi siwezi kuruhusu mtu afe kizembe mbele zangu .
Ni kweli Mkuu, wameshindwa kujiongeza na kuishia kuchukua video za kuongeza followers Instagram 🙌Hata wangewasha mashati Yao tu ingesaidia sana
Unawasha moto either wa majani uwe wakufuka ule moshi unakua mkali wanakimbia woteBaadhi ya watu wanapigwa na butwaa wanashindwa kupata mbinu ya haraka ya kumsaidia. Hapo wangefanyaje kumuokoa?
Kwa kweli wametusikitisha Wanaume wenzao wengi Kwa walichokifanya...jitu liko ndani na kuna mapanzia dirishani ya kutosha anashindwa kuyatumia kuokoa maisha ya huyo bionti hata kama dawa ya rungu iko mbali pigia simu duka lolote karibu waje nazo kwa msaada wa haraka
Hamna mtanzania jasiri wewe ungekua jasiri ccm isingekua madarakani hivyo wewe nae mrembo tu kama haoKwa kweli wametusikitisha Wanaume wenzao wengi Kwa walichokifanya...
Yaani ule ujasiri wa kiume haupo Kwa Wanaume wengi Siku hizi
Sijui miaka 30 ijayo hali itakuwaje masikini 🙆
Magari yote yana fire extinguisher nyuki wangeondoka tu… ni low IQ na USHOGA WA WANAUME WA DARUnawasha moto either wa majani uwe wakufuka ule moshi unakua mkali wanakimbia wote
Hasira hizi ungezitumia kuitoa ccm madarakani ungekua wa maana sanaaaMi mwanaume mijinga hii,ndo maana imelegea legea tu,yaani hata ningekuwa mimi hapa nisingekosa namna ya kufanya.Hivyo kabisa huo mda wa kurekodi si ungepiga hata kelele?tena mwanaume na pumbu zako eti jamani watamuua huyu dada
Wewe ungekua sio shoga ccm wangeshaondoka madarakani mda mrefu sana hivyo na wewe ni shoga tuMagari yote yana fire extinguisher nyuki wangeondoka tu… ni low IQ na USHOGA WA WANAUME WA DAR
Wangetumia fire extinguisher zipo magari yote nyuki wangeondokakama huyo alieshambuliwa na hao nyuki,
kwa mfano hao jamaa waliokua wanarecord hiyo video wangemsaidiaje huyo mng'atwa na nyuki kwa mfano?
naona kama mtoa hoja kama anawafokea vile 🐒
Society ya nani wa kwanza kupoati tukio ila ni kweli fire extingusher wangemwokoa ujue nyuki hawapendi moshi wowote mzito unawakeraMagari yote yana fire extinguisher nyuki wangeondoka tu… ni low IQ na USHOGA WA WANAUME WA DAR
We fala nini niwaondoe CCM ili nani atawale hii nchi BABA AKO au?Wewe ungekua sio shoga ccm wangeshaondoka madarakani mda mrefu sana hivyo na wewe ni shoga tu
Nitawale Mimi hapa bwana Ako sio unakua na hasira hasira BintiWe fala nini niwaondoe CCM ili nani atawale hii nchi BABA AKO au?