LGE2024 Nini kimetokea kiasi kwamba Wananchi hawataki kujiandikisha hadi wanafatwa majumbani na wanatoa majibu ya dharau kwa wahamasishaji?

LGE2024 Nini kimetokea kiasi kwamba Wananchi hawataki kujiandikisha hadi wanafatwa majumbani na wanatoa majibu ya dharau kwa wahamasishaji?

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Kabla ya mwaka 2015 kulikuwa na mwamko mkubwa sana kwa wananchi kujitokeza kwa wingi kujiandikisha ili kutimixa adhima yao ya kuwacjagua viongozi wanaowataka.

Kuanzia 2010 hadi 2015 ulizuka msemo unaitwa Kichinjio. Yaani kadi ya mpiga kura ambapo mwenye nayo anaamua kumkatilia mbali Diwani, Mbunge au Rais anayeonekana hafai kwenye uongozi.

Wananchi walijivunia sana Viparata vyao " vichinjio" Ilikuwa hakuna kusukumana kwenda kujiandikisha.

Ghafla bini vuu wananchi wamesusa. Yaani imefika mahala hata ukiwapa rushwa hawaendi Ng'oo

Tutafakari kama taifa nini kimetokea? Je, uzalendo utatoka wapi ikiwa wananchi wanakwama kushiriki mambo ya kitaifa mepesi kama haya?

Je, tunaweza kufikia level ya uzalendo wa Wananchi wa Israel, Irani, Lebanoni au China?
Ule ushenzi aliofanya Magufuli 2019/2920 ndiyo umewavunja moyo watu wanaona kumbe sanduku la kura siyo linalotoa mshindi bali matakwa ya mtawala.
 
Kabla ya mwaka 2015 kulikuwa na mwamko mkubwa sana kwa wananchi kujitokeza kwa wingi kujiandikisha ili kutimixa adhima yao ya kuwacjagua viongozi wanaowataka.

Kuanzia 2010 hadi 2015 ulizuka msemo unaitwa Kichinjio. Yaani kadi ya mpiga kura ambapo mwenye nayo anaamua kumkatilia mbali Diwani, Mbunge au Rais anayeonekana hafai kwenye uongozi.

Wananchi walijivunia sana Viparata vyao " vichinjio" Ilikuwa hakuna kusukumana kwenda kujiandikisha.

Ghafla bini vuu wananchi wamesusa. Yaani imefika mahala hata ukiwapa rushwa hawaendi Ng'oo

Tutafakari kama taifa nini kimetokea? Je, uzalendo utatoka wapi ikiwa wananchi wanakwama kushiriki mambo ya kitaifa mepesi kama haya?

Je, tunaweza kufikia level ya uzalendo wa Wananchi wa Israel, Irani, Lebanoni au China?
Tatizo ni maji ya mgao Yani mtu aache kukinga maji na anajua mda wowote yanakatika akahangaike kujiandikisha🤣Kwani wanagawa na Alkasusu
 
Kabla ya mwaka 2015 kulikuwa na mwamko mkubwa sana kwa wananchi kujitokeza kwa wingi kujiandikisha ili kutimixa adhima yao ya kuwacjagua viongozi wanaowataka.

Kuanzia 2010 hadi 2015 ulizuka msemo unaitwa Kichinjio. Yaani kadi ya mpiga kura ambapo mwenye nayo anaamua kumkatilia mbali Diwani, Mbunge au Rais anayeonekana hafai kwenye uongozi.

Wananchi walijivunia sana Viparata vyao " vichinjio" Ilikuwa hakuna kusukumana kwenda kujiandikisha.

Ghafla bini vuu wananchi wamesusa. Yaani imefika mahala hata ukiwapa rushwa hawaendi Ng'oo

Tutafakari kama taifa nini kimetokea? Je, uzalendo utatoka wapi ikiwa wananchi wanakwama kushiriki mambo ya kitaifa mepesi kama haya?

Je, tunaweza kufikia level ya uzalendo wa Wananchi wa Israel, Irani, Lebanoni au China?
Kuna vituo mawakala wa ccm wameshaandaa majina feki ya wapiga kura. Sasa kujiandikisha kuna maana gani? Hayo majina feki yakapige kura tu.
 
Kabla ya mwaka 2015 kulikuwa na mwamko mkubwa sana kwa wananchi kujitokeza kwa wingi kujiandikisha ili kutimixa adhima yao ya kuwacjagua viongozi wanaowataka.

Kuanzia 2010 hadi 2015 ulizuka msemo unaitwa Kichinjio. Yaani kadi ya mpiga kura ambapo mwenye nayo anaamua kumkatilia mbali Diwani, Mbunge au Rais anayeonekana hafai kwenye uongozi.

Wananchi walijivunia sana Viparata vyao " vichinjio" Ilikuwa hakuna kusukumana kwenda kujiandikisha.

Ghafla bini vuu wananchi wamesusa. Yaani imefika mahala hata ukiwapa rushwa hawaendi Ng'oo

Tutafakari kama taifa nini kimetokea? Je, uzalendo utatoka wapi ikiwa wananchi wanakwama kushiriki mambo ya kitaifa mepesi kama haya?

Je, tunaweza kufikia level ya uzalendo wa Wananchi wa Israel, Irani, Lebanoni au China?
Hawataki kutegemea matokei kwenye jambo wanalo lijua, wanalolijua ni kwamba CCM wataenda maporini kuchimba dawa bila kutumwa na serikali, (chama dola)
 
Waache umayaimayai. Wakajiandikishe na wahakikishe hakuna ujanja ujanja. Hiyo ndiyo njia pekee. Vinginevyo watawekewa viongozi wa hovyo.

Nikuwa na msimamo tu awe ccm, cdm sijui act mhm kumpata kiongozi anayekubalika.
 
Kabla ya mwaka 2015 kulikuwa na mwamko mkubwa sana kwa wananchi kujitokeza kwa wingi kujiandikisha ili kutimixa adhima yao ya kuwacjagua viongozi wanaowataka.

Kuanzia 2010 hadi 2015 ulizuka msemo unaitwa Kichinjio. Yaani kadi ya mpiga kura ambapo mwenye nayo anaamua kumkatilia mbali Diwani, Mbunge au Rais anayeonekana hafai kwenye uongozi.

Wananchi walijivunia sana Viparata vyao " vichinjio" Ilikuwa hakuna kusukumana kwenda kujiandikisha.

Ghafla bini vuu wananchi wamesusa. Yaani imefika mahala hata ukiwapa rushwa hawaendi Ng'oo

Tutafakari kama taifa nini kimetokea? Je, uzalendo utatoka wapi ikiwa wananchi wanakwama kushiriki mambo ya kitaifa mepesi kama haya?

Je, tunaweza kufikia level ya uzalendo wa Wananchi wa Israel, Irani, Lebanoni au China?
I will never ever waste my time

Kama wanataka watu walundikane waweka tume huru ya uchaguzi
 
Kabla ya mwaka 2015 kulikuwa na mwamko mkubwa sana kwa wananchi kujitokeza kwa wingi kujiandikisha ili kutimixa adhima yao ya kuwacjagua viongozi wanaowataka.

Kuanzia 2010 hadi 2015 ulizuka msemo unaitwa Kichinjio. Yaani kadi ya mpiga kura ambapo mwenye nayo anaamua kumkatilia mbali Diwani, Mbunge au Rais anayeonekana hafai kwenye uongozi.

Wananchi walijivunia sana Viparata vyao " vichinjio" Ilikuwa hakuna kusukumana kwenda kujiandikisha.

Ghafla bini vuu wananchi wamesusa. Yaani imefika mahala hata ukiwapa rushwa hawaendi Ng'oo

Tutafakari kama taifa nini kimetokea? Je, uzalendo utatoka wapi ikiwa wananchi wanakwama kushiriki mambo ya kitaifa mepesi kama haya?

Je, tunaweza kufikia level ya uzalendo wa Wananchi wa Israel, Irani, Lebanoni au China?

Dhalimu magufuli ndio alikuja kufunga ukurasa wa kuendelea kushiriki chaguzi zinazoamuliwa na ccm. Hakuna kuendelea kushiriki chaguzi ambazo matokeo yanapangwa na viongozi majizi ya ccm. Ni aidha machafuko ama mapinduzi ya kijeshi ili kurejesha heshima ya box la kura.

Na hakuna kujitokeza kwenye mikutano ya viongozi watakaochaguliwa kwenye chaguzi hizi za kipuuzi. Akija kiongozi akitaka nyomi amwage hela ya kutosha.
 
Back
Top Bottom