Katiba yetu ya chama inakataa ,baada ya miaka mitano mwanachama mwenye vigezo ataruhisiwa kuchukua fomu ,Hilo la fomu moja linatoka wapi?Everything is under control, hakuna tishio lolote, ndani ya Chama wala nje ya chama, [FORM YA URAIS NI MOJA TU]
Hivi mgombea wa chadema 2025 ni nani?Kuna kitu hakipo sawa ndani ya CCM ya Samia.
Nguvu inayotumika kusema fomu ni moja tu ya mgombea urais mpaka anachangiwa pesa sio ya bure.
Mange alipost matusi ya nguoni kwa Rais kisha akaambiwa afute akafuta. Haijatokea bahati mbaya.
Makonda anasema kuna mawaziri na watu wenye nguvu wanatuma watu wamtukane Rais mitandaoni.
Kuna kitu hakipo sawa, kuna mtu anaeogopwa sana na Rais Samia pamoja na utawala wa sasa.
Je, huyo mtu ni nani?
Atulie Zenji kwanzaMaji yamekorogeka
Kuna kitu hakipo sawa ndani ya CCM ya Samia.
Nguvu inayotumika kusema fomu ni moja tu ya mgombea urais mpaka anachangiwa pesa sio ya bure.
Mange alipost matusi ya nguoni kwa Rais kisha akaambiwa afute akafuta. Haijatokea bahati mbaya.
Makonda anasema kuna mawaziri na watu wenye nguvu wanatuma watu wamtukane Rais mitandaoni.
Kuna kitu hakipo sawa, kuna mtu anaeogopwa sana na Rais Samia pamoja na utawala wa sasa.
Je, huyo mtu ni nani?
Umepunguza purukushani sana hapa JF unalea nn?Mama samia hapendi unafiki .makonda anajichanganya.hivi hawezi kufanya kazi bila kujikomba??
Endelea ku- type hapa, Ila usiseme kwa sauti huko uraianiKatiba yetu ya chama inakataa ,baada ya miaka mitano mwanachama mwenye vigezo ataruhisiwa kuchukua fomu ,Hilo la fomu moja linatoka wapi?
Just politics,.....Kuna kitu hakipo sawa ndani ya CCM ya Samia.
Nguvu inayotumika kusema fomu ni moja tu ya mgombea urais mpaka anachangiwa pesa sio ya bure.
Mange alipost matusi ya nguoni kwa Rais kisha akaambiwa afute akafuta. Haijatokea bahati mbaya.
Makonda anasema kuna mawaziri na watu wenye nguvu wanatuma watu wamtukane Rais mitandaoni.
Kuna kitu hakipo sawa, kuna mtu anaeogopwa sana na Rais Samia pamoja na utawala wa sasa.
Je, huyo mtu ni nani?