Amun Ra
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 4,713
- 7,218
mtafanya nninafikiri chadema wanatumia watu kumtukana mama mitandaoni
naona dawa yao imechemka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mtafanya nninafikiri chadema wanatumia watu kumtukana mama mitandaoni
naona dawa yao imechemka
Au akaendelee na kazi aliyoisema mange?😂😂Si ajikusanyie tu pesa akalee wajukuu, Mbona watu wanapenda stress sana.
Jukwaa langu la mapenzi huku napita tu bnaUmepunguza purukushani sana hapa JF unalea nn?
Usikipangie chama tawalaChonde chonde huko kwa Watani wa Jadi (CCM) msiruhusu tena Sukuma Gang.
Hawajui Siasa na ni wauwaji.
Hakuna anayeogopwa, mwenyekiti wa CCM hawezi pingwa na mwanachama yoyote. Fomu itakua moja na hamna la kufanya maana ndio democracy feki iliyopo CCM miaka yote.Kuna kitu hakipo sawa, kuna mtu anaeogopwa sana na Rais Samia pamoja na utawala wa sasa.
Mnatawala kimabavu hamna ridhaa ya Wananchi kwahiyo hamna Legitimacy.Usikipangie chama tawala
Umeiona ya Mange ya leo? Acha hili lichama life tu....Kuna kitu hakipo sawa ndani ya CCM ya Samia.
Nguvu inayotumika kusema fomu ni moja tu ya mgombea urais mpaka anachangiwa pesa sio ya bure.
Mange alipost matusi ya nguoni kwa Rais kisha akaambiwa afute akafuta. Haijatokea bahati mbaya.
Makonda anasema kuna mawaziri na watu wenye nguvu wanatuma watu wamtukane Rais mitandaoni.
Kuna kitu hakipo sawa, kuna mtu anaeogopwa sana na Rais Samia pamoja na utawala wa sasa.
Je, huyo mtu ni nani?
Tishio alikuwa Membe na Lazaro Nyalandu waliobaki wote ni Vyawa tu.Kuna kitu hakipo sawa ndani ya CCM ya Samia.
Nguvu inayotumika kusema fomu ni moja tu ya mgombea urais mpaka anachangiwa pesa sio ya bure.
Mange alipost matusi ya nguoni kwa Rais kisha akaambiwa afute akafuta. Haijatokea bahati mbaya.
Makonda anasema kuna mawaziri na watu wenye nguvu wanatuma watu wamtukane Rais mitandaoni.
Kuna kitu hakipo sawa, kuna mtu anaeogopwa sana na Rais Samia pamoja na utawala wa sasa.
Je, huyo mtu ni nani?
Wana hofu balaa.....hawana amani.Mnatawala kimabavu hamna ridhaa ya Wananchi kwahiyo hamna Legitimacy.
Chadema wana mawaziri kwenye Baraza la Mawaziri la Ccm?nafikiri chadema wanatumia watu kumtukana mama mitandaoni
naona dawa yao imechemka
Hata tukisema kura zipigwe kesho,tunashinda bila kampeni,nyie simmekalia matusi na kuutana majenerali huko xMnatawala kimabavu hamna ridhaa ya Wananchi kwahiyo hamna Legitimacy.
Shibuda alichukua 2010 mkamtimua chama, Membe alitaka kuchukua 2020 mkamtimua chama. Precedence hiyo hiyo ndio itaendelea 2025 maana ndio demokrasia mliochagua wana CCMKatiba yetu ya chama inakataa ,baada ya miaka mitano mwanachama mwenye vigezo ataruhisiwa kuchukua fomu ,Hilo la fomu moja linatoka wapi?
Wamemaliza UPINZANI sasa wamepwaya.......acha walimane mapanga.Just politics,.....
everything within the rulling party, is okay, under full control and outhority of the one and only able leader, Comrade Dr. Samia Suluhu Hassan, The Chairman 🐒
Hapo naona tatizo. Unatukana, Mtumba anasema futa anafuta why. Hapo kuna harufu ya ubia au ushirika. Mbona matusi ya nguoni anayoandika huyo mama hakemei Waikato uwezo anaoKuna kitu hakipo sawa ndani ya CCM ya Samia.
Nguvu inayotumika kusema fomu ni moja tu ya mgombea urais mpaka anachangiwa pesa sio ya bure.
Mange alipost matusi ya nguoni kwa Rais kisha akaambiwa afute akafuta. Haijatokea bahati mbaya.
Makonda anasema kuna mawaziri na watu wenye nguvu wanatuma watu wamtukane Rais mitandaoni.
Kuna kitu hakipo sawa, kuna mtu anaeogopwa sana na Rais Samia pamoja na utawala wa sasa.
Je, huyo mtu ni nani?
Nani alimwambia afute?Kuna kitu hakipo sawa ndani ya CCM ya Samia.
Nguvu inayotumika kusema fomu ni moja tu ya mgombea urais mpaka anachangiwa pesa sio ya bure.
Mange alipost matusi ya nguoni kwa Rais kisha akaambiwa afute akafuta. Haijatokea bahati mbaya.
Makonda anasema kuna mawaziri na watu wenye nguvu wanatuma watu wamtukane Rais mitandaoni.
Kuna kitu hakipo sawa, kuna mtu anaeogopwa sana na Rais Samia pamoja na utawala wa sasa.
Je, huyo mtu ni nani?
Huyo mtu ni Chadema!Kuna kitu hakipo sawa ndani ya CCM ya Samia.
Nguvu inayotumika kusema fomu ni moja tu ya mgombea urais mpaka anachangiwa pesa sio ya bure.
Mange alipost matusi ya nguoni kwa Rais kisha akaambiwa afute akafuta. Haijatokea bahati mbaya.
Makonda anasema kuna mawaziri na watu wenye nguvu wanatuma watu wamtukane Rais mitandaoni.
Kuna kitu hakipo sawa, kuna mtu anaeogopwa sana na Rais Samia pamoja na utawala wa sasa.
Je, huyo mtu ni nani?
Aisée mlinzi kamkazia jicho Mwenyekiti wa tume kiasi kwamba akigeuka na kuona alivyokaziwa jicho anaweza kuzimia ahahahaMbona Magufuli mwenyewe alichapisha fomu moja.
Pichani hapo akiwa na mkurugenzi wa tume ya uchaguzi tuliyoaambiwa ni huru kwa sasa.
View attachment 2961764
upinzani wa kweli utatoka CCM, kwingineko ni useless kupoteza time tyuuuu 🐒Wamemaliza UPINZANI sasa wamepwaya.......acha walimane mapanga.