Nini kinaendelea ndani ya CCM? Nani ni tishio?

Nini kinaendelea ndani ya CCM? Nani ni tishio?

Kuna kitu hakipo sawa ndani ya CCM ya Samia.

Nguvu inayotumika kusema fomu ni moja tu ya mgombea urais mpaka anachangiwa pesa sio ya bure.

Mange alipost matusi ya nguoni kwa Rais kisha akaambiwa afute akafuta. Haijatokea bahati mbaya.

Makonda anasema kuna mawaziri na watu wenye nguvu wanatuma watu wamtukane Rais mitandaoni.

Kuna kitu hakipo sawa, kuna mtu anaeogopwa sana na Rais Samia pamoja na utawala wa sasa.

Je, huyo mtu ni nani?
Umeiona ya Mange ya leo? Acha hili lichama life tu....
 
Kuna kitu hakipo sawa ndani ya CCM ya Samia.

Nguvu inayotumika kusema fomu ni moja tu ya mgombea urais mpaka anachangiwa pesa sio ya bure.

Mange alipost matusi ya nguoni kwa Rais kisha akaambiwa afute akafuta. Haijatokea bahati mbaya.

Makonda anasema kuna mawaziri na watu wenye nguvu wanatuma watu wamtukane Rais mitandaoni.

Kuna kitu hakipo sawa, kuna mtu anaeogopwa sana na Rais Samia pamoja na utawala wa sasa.

Je, huyo mtu ni nani?
Tishio alikuwa Membe na Lazaro Nyalandu waliobaki wote ni Vyawa tu.
 
Hapa sukuma gang ndiyo wameona wamvuruge mama baada ya kuona chama kiko mikononi mwa watoto wa mjini na hawawezi kupenyeza mtu wao 2025 au 2030.

Walijawa na matumaini sana yule jasiri alipopewa uenezi ,lkn baada ya kuondoshwa wanataka kumwaga mboga.
 
Just politics,.....

everything within the rulling party, is okay, under full control and outhority of the one and only able leader, Comrade Dr. Samia Suluhu Hassan, The Chairman 🐒
Wamemaliza UPINZANI sasa wamepwaya.......acha walimane mapanga.
 
Kuna kitu hakipo sawa ndani ya CCM ya Samia.

Nguvu inayotumika kusema fomu ni moja tu ya mgombea urais mpaka anachangiwa pesa sio ya bure.

Mange alipost matusi ya nguoni kwa Rais kisha akaambiwa afute akafuta. Haijatokea bahati mbaya.

Makonda anasema kuna mawaziri na watu wenye nguvu wanatuma watu wamtukane Rais mitandaoni.

Kuna kitu hakipo sawa, kuna mtu anaeogopwa sana na Rais Samia pamoja na utawala wa sasa.

Je, huyo mtu ni nani?
Hapo naona tatizo. Unatukana, Mtumba anasema futa anafuta why. Hapo kuna harufu ya ubia au ushirika. Mbona matusi ya nguoni anayoandika huyo mama hakemei Waikato uwezo anao
 
Kuna kitu hakipo sawa ndani ya CCM ya Samia.

Nguvu inayotumika kusema fomu ni moja tu ya mgombea urais mpaka anachangiwa pesa sio ya bure.

Mange alipost matusi ya nguoni kwa Rais kisha akaambiwa afute akafuta. Haijatokea bahati mbaya.

Makonda anasema kuna mawaziri na watu wenye nguvu wanatuma watu wamtukane Rais mitandaoni.

Kuna kitu hakipo sawa, kuna mtu anaeogopwa sana na Rais Samia pamoja na utawala wa sasa.

Je, huyo mtu ni nani?
Nani alimwambia afute?
Yule akipost matusi huwa baada ya muda anafuta haijalishi kamtukana msanii au nani.
Kuna mtu Naona ataka kuwauzia kesi wenzake waonekane ndio wala njama tu
 
Kuna kitu hakipo sawa ndani ya CCM ya Samia.

Nguvu inayotumika kusema fomu ni moja tu ya mgombea urais mpaka anachangiwa pesa sio ya bure.

Mange alipost matusi ya nguoni kwa Rais kisha akaambiwa afute akafuta. Haijatokea bahati mbaya.

Makonda anasema kuna mawaziri na watu wenye nguvu wanatuma watu wamtukane Rais mitandaoni.

Kuna kitu hakipo sawa, kuna mtu anaeogopwa sana na Rais Samia pamoja na utawala wa sasa.

Je, huyo mtu ni nani?
Huyo mtu ni Chadema!
 
Back
Top Bottom