Coach Slamah Hamad
JF-Expert Member
- Nov 12, 2014
- 3,740
- 4,938
Mara hii mnawatupia sukuma gang mpira tena?Hapa sukuma gang ndiyo wameona wamvuruge mama baada ya kuona chama kiko mikononi mwa watoto wa mjini na hawawezi kupenyeza mtu wao 2025 au 2030.
Walijawa na matumaini sana yule jasiri alipopewa uenezi ,lkn baada ya kuondoshwa wanataka kumwaga mboga.
I thought wote “wametulizwa na wamewezwa? Kumbe bado wananguvu hivyo?!!
Itakuwaje visingizio vikiisha?