Sukuma gang ni njema mara mia moja kuliko chaggadema aiseeChonde chonde huko kwa Watani wa Jadi (CCM) msiruhusu tena Sukuma Gang.
Hawajui Siasa na ni wauwaji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sukuma gang ni njema mara mia moja kuliko chaggadema aiseeChonde chonde huko kwa Watani wa Jadi (CCM) msiruhusu tena Sukuma Gang.
Hawajui Siasa na ni wauwaji.
Emu nione na Mimi hayo matusi ya Mange Jumanne Ramadhan Kimambi,Nani alimwambia afute?
Yule akipost matusi huwa baada ya muda anafuta haijalishi kamtukana msanii au nani.
Kuna mtu Naona ataka kuwauzia kesi wenzake waonekane ndio wala njama tu
Inakuwaje wakati Lissu ni Mnyaturu?Sukuma gang ni njema mara mia moja kuliko chaggadema aisee
Mwigulu ni mchapa kazi.Bashite amesema au wewe ni chawa wa huyu Mwigulu Nchemba?
Ndiyo,kabla hujafika mikeseSi Mkambarani hiyo ya Morogoro?
Niliwahi kukutana na Lorry likiungua moto hapo ikanibidi nilale hapo Mkambarani.Ndiyo,kabla hujafika mikese
Wewe wasemaMwigulu ni mchapa kazi.
Mwaka gani?,ulilala Hotel gani Mkambarani?Niliwahi kukutana na Lorry likiungua moto hapo ikanibidi nilale hapo Mkambarani.
Nililala kwenye Gari nikawa nakojoa kwenye Shina moja la Wakereketwa chini ya Mlingoti wa Bendera ya CCM.Mwaka gani?,ulilala Hotel gani Mkambarani?
Wewe ni hufai,ulituharibia mazingira ya kamji ketu,ukanajisi shina kwa mikojo yenye chembe za bapa kama anayokunywa Sultan AikaeliNililala kwenye Gari nikawa nakojoa kwenye Shina moja la Wakereketwa chini ya Mlingoti wa Bendera ya CCM.
Ukajiona mjanjaaa,kweli chadema ni chama cha maselaNililala kwenye Gari nikawa nakojoa kwenye Shina moja la Wakereketwa chini ya Mlingoti wa Bendera ya CCM.
Unajua tena Mkojo wa Bia😁Ukajiona mjanjaaa,kweli chadema ni chama cha masela
Shukuru mungu,unawajua shushashushaUnajua tena Mkojo wa Bia😁
Umemaliza kila kitu !!Hakuna anayeogopwa, mwenyekiti wa CCM hawezi pingwa na mwanachama yoyote. Fomu itakua moja na hamna la kufanya maana ndio democracy feki iliyopo CCM miaka yote.
We jamaa kama shetani mwenyewe aliasi mbinguni achukue madaraka, sembuse mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke asiwe na tamaa? Samia vita iz thea!Everything is under control, hakuna tishio lolote, ndani ya Chama wala nje ya chama, [FORM YA URAIS NI MOJA TU]
We jamaa kama shetani mwenyewe aliasi mbinguni achukue madaraka, sembuse mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke asiwe na tamaa? Samia vita iz thea!
mda wa kuchukua fomu ukija tutawajua tu.Hivi mgombea wa chadema 2025 ni nani?
Lazaro huyu huyu wa Singida?Tishio alikuwa Membe na Lazaro Nyalandu waliobaki wote ni Vyawa tu.