Nini kinaendelea ndani ya CCM? Nani ni tishio?

Nini kinaendelea ndani ya CCM? Nani ni tishio?

Nani alimwambia afute?
Yule akipost matusi huwa baada ya muda anafuta haijalishi kamtukana msanii au nani.
Kuna mtu Naona ataka kuwauzia kesi wenzake waonekane ndio wala njama tu
Emu nione na Mimi hayo matusi ya Mange Jumanne Ramadhan Kimambi,
 
Nililala kwenye Gari nikawa nakojoa kwenye Shina moja la Wakereketwa chini ya Mlingoti wa Bendera ya CCM.
Wewe ni hufai,ulituharibia mazingira ya kamji ketu,ukanajisi shina kwa mikojo yenye chembe za bapa kama anayokunywa Sultan Aikaeli
 
Lakini kitu cha kujiuliza ni kwanini iwe sasa kuliko ilivyokuwa hapo zamani. ??!

Je watu wameshapima kina cha maji kwa miguu na kuona kina sio kirefu kwao ??!

Da Mange iko siku atamtaja aliyemtuma !
Money 💰 speaks every language. 😅😅🙏🙏 !

I hope na mimi atanikumbuka kidogo. 😅🤣 🙏 !
 
Back
Top Bottom