Nini kinakukera na kukukwaza kutoka miongoni mwa wanachama wa JF?

Nini kinakukera na kukukwaza kutoka miongoni mwa wanachama wa JF?

Kuandika bila kufuata kanuni za uandishi/punctuation.
Sio wote tunajua kuandika vizuri mkuu tuvumilie tu mfano, mimi nimeanza kwenda shule darasa la tano unadhani nitajua kuandika vizuri?

Nashukuru Mungu nimemaliza shule lakini kuandika ni changamoto hasa kiswahili japo najua kuongea vizuri sana.
 
Naendelea kusoma koments za wakereketwa mi

Sijawahi Jua kama pipo zipo siriazi sana na koments za wengine walai mnakerekaje na Mtu asokuhusu🤔🤔🤔???
🙇🙇🙇!


Cc Smart911
kukereka kupo mtu anatoa hoja au anaumwa mtu majibu anayojibiwa anajam
mm mwenyewe mwaka 2018 humu kuna mtu alipost akajihisi hana hamu na maisha mm nkakoment jiuwe tu aisee sku kadhaa jamaa akajiua kweli 😭 ko nimejifunza kuwa mpole tu utani ntaleta kwenye ujinga kama huu
 
kukereka kupo mtu anatoa hoja au anaumwa mtu majibu anayojibiwa anajam
mm mwenyewe mwaka 2018 humu kuna mtu alipost akajihisi hana hamu na maisha mm nkakoment jiuwe tu aisee sku kadhaa jamaa akajiua kweli 😭 ko nimejifunza kuwa mpole tu utani ntaleta kwenye ujinga kama huu

Mna mioyo myepesi kama ya karatasi Ndiomana mnakereka haraka !
Lol means mdogo wako siooooo ukiongea kitu sometimes kinakua kweli
God forbid!

Humu ishi wewe kama wewe tu umemaliza huwezi kumridhisha Kila mtu!

Cc Smart911
 
kukereka kupo mtu anatoa hoja au anaumwa mtu majibu anayojibiwa anajam
mm mwenyewe mwaka 2018 humu kuna mtu alipost akajihisi hana hamu na maisha mm nkakoment jiuwe tu aisee sku kadhaa jamaa akajiua kweli 😭 ko nimejifunza kuwa mpole tu utani ntaleta kwenye ujinga kama huu
Kuna mtu ashawahi kufa kwa kujinyonga humu?
 
........kumuofend mtu kutokana na kutokana na post zake za sasa au za nyumba au kujulikana kwa personality yake, in short humu ndani kuna bullying za kimyakimya, kutofautiana kimtazamo ni kawaida ila kumuattack mtu personally ni tatizo.......
 
Back
Top Bottom