Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Kheeeeeeeeeeeeeeeee...!! Afu we umepotelea wapi??Simmwagii chumvi, konokono asiye na gamba...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kheeeeeeeeeeeeeeeee...!! Afu we umepotelea wapi??Simmwagii chumvi, konokono asiye na gamba...
Vifuatavyo hunikera hapa JF;Kitu gani hukufanya ujiskie kero au ujiskie vibaya ukiwa humu jukwaani, achilia mbali maoni na mitazamo tofauti na yako kutoka kwa miongoni mwa wana JF 🐒
Wewe mtu akikufanyia ubaya nyamaza ili ajione mjanja kumbe ni mpumbavu tu! Ya kwako yanakuendea vizuriiiii🤸Kumbe huwa una akili kiasi hiki????🤔
Sikuwai jua hilo walaiii! what a matured koment👍👍👍
Barikiwa sana!
Uzi ufungwe
Natembea nahii
#mjinga mpe cheo
Cc Smart911
Wapi Deeeeeeeeejjjjjjjjayyyy 🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️!Wewe mtu akikufanyia ubaya nyamaza ili ajione mjanja kumbe ni mpumbavu tu! Ya kwako yanakuendea vizuriiiii🤸
Hii ndio jf 🤣🤣👇 Page ya kwanza tuu
I don't have time mazee....Muda hauokolewi, bali unatumiwa..!! unaweza ukanionyesha angalau wiki uliyoiokoa?
Na hatuui mende kwa nyundo...Simmwagii chumvi, konokono asiye na gamba...
Huyo alikuwa na matatizo mengine na wala haiwezi kuwa comment yako.kukereka kupo mtu anatoa hoja au anaumwa mtu majibu anayojibiwa anajam
mm mwenyewe mwaka 2018 humu kuna mtu alipost akajihisi hana hamu na maisha mm nkakoment jiuwe tu aisee sku kadhaa jamaa akajiua kweli 😭 ko nimejifunza kuwa mpole tu utani ntaleta kwenye ujinga kama huu
kqbsa mkuu alikua ashaplani kujiuwa ila raia walivonipopoa kama mm ndo nlimuua yule jamaaHuyo alikuwa na matatizo mengine na wala haiwezi kuwa comment yako.
Naona kabisa unanilenga mimiWatu kuanza kubebishana kwenye nyuzi za wenzao,
Hawa huufanya uzi kutokua na flow ya kueleweka.
Watu kuanza kubebishana kwenye nyuzi za wenzao,
Hawa huufanya uzi kutokua na flow ya kueleweka.
bila tag ya mesej tumebebishana ni uongo,,,sema kwenda nje ya mada apo nakubali ila kubebishana😄😄🙌🏾UONGOOOOO,,kwanza saivi tumepoa sieee
Wewe ni zaidi ya Kakayake shetani🤣
Ndio huko huko kuchat sana kila uzi mnapoteza flow bana, huku chit chat ndio kwenyewe muwe mnakuja huku mchatiiii hadi mtoke jasho....ila majukwaa mengine inakua kerobila tag ya mesej tumebebishana ni uongo,,,sema kwenda nje ya mada apo nakubali ila kubebishana😄😄🙌🏾UONGOOOOO,,kwanza saivi tumepoa sieee
Sisi wazima wote Dear wangu....