Nini kinakukera na kukukwaza kutoka miongoni mwa wanachama wa JF?

Nini kinakukera na kukukwaza kutoka miongoni mwa wanachama wa JF?

Kitu gani hukufanya ujiskie kero au ujiskie vibaya ukiwa humu jukwaani, achilia mbali maoni na mitazamo tofauti na yako kutoka kwa miongoni mwa wana JF 🐒
Mawazo ya chawa/kichawa hasa wasiotambua sisi kama taifa tunakosea wapi na nani wanaochangia kuendelea kwa umaskini,ujinga na marathon miongoni mwetu kama taifa🤔
 
Back
Top Bottom