Mshamba wa kusini
JF-Expert Member
- Jun 30, 2015
- 2,857
- 3,593
Sio wote tunajua kuandika vizuri mkuu tuvumilie tu mfano, mimi nimeanza kwenda shule darasa la tano unadhani nitajua kuandika vizuri?Kuandika bila kufuata kanuni za uandishi/punctuation.
kukereka kupo mtu anatoa hoja au anaumwa mtu majibu anayojibiwa anajamNaendelea kusoma koments za wakereketwa mi
Sijawahi Jua kama pipo zipo siriazi sana na koments za wengine walai mnakerekaje na Mtu asokuhusuπ€π€π€???
πππ!
Cc Smart911
Dah! π€£πππ ππAikoooo sitegemei cha maana sana hapa ingawa vipo, So sijagi na matumaini ya userious sana mpaka nikwazike sana. Ila π€£π€£π€£ Hope urassa na Vincenzo Jr wapunguze kubebishana kwenye kila nyuzi. Nawasilisha
Mtatuharibia nyuzi nyie wahindi wa kigamboniDah! π€£πππ ππ
ππππ Twende ukaselfike ππ€£πMtatuharibia nyuzi nyie wahindi wa kigamboni
kukereka kupo mtu anatoa hoja au anaumwa mtu majibu anayojibiwa anajam
mm mwenyewe mwaka 2018 humu kuna mtu alipost akajihisi hana hamu na maisha mm nkakoment jiuwe tu aisee sku kadhaa jamaa akajiua kweli π ko nimejifunza kuwa mpole tu utani ntaleta kwenye ujinga kama huu
Sina privilege za kuishi mule kwa sababu yenuπ€£π€£π€£ππππ Twende ukaselfike ππ€£π
Njoo na nyingine uje kutupia picha kalii π€£πππ na mie kule la usiku nilipigwa marufukuSina privilege za kuishi mule kwa sababu yenuπ€£π€£π€£
Kuna mtu ashawahi kufa kwa kujinyonga humu?kukereka kupo mtu anatoa hoja au anaumwa mtu majibu anayojibiwa anajam
mm mwenyewe mwaka 2018 humu kuna mtu alipost akajihisi hana hamu na maisha mm nkakoment jiuwe tu aisee sku kadhaa jamaa akajiua kweli π ko nimejifunza kuwa mpole tu utani ntaleta kwenye ujinga kama huu
ndyo ni kitambo sana 2018 alipost m nkaleta mzaha tena coment ilikua ni ya 5au 3 nlileta utani kumbe mtu yuko serious kuna kitu nkajifunza toka hapo ila skumbuki ule uzi wala jina la member raia walinipopoa mawe acha ππ tuKuna mtu ashawahi kufa kwa kujinyonga humu?