Nini kinasababisha watu wa Afrika Magharibi kuwa na miili mikubwa kuliko wengine?

Lishe nzuri inachangia hilo
Kwamba walikula vizuri pindi walipokuwa watoto? Mbona ukicheki wengi kipi di walipokuwa watoto wazazi wao walikuwa na maisha duni kiasi cha kushindwa kulea watoto wao katika lishe bora. Au ile west africa ndiyo mbegu halisi ya kiafrica sisi huku tumetoholewa tu na mambilikimo wale wa congo?
 
Wasukuma nao..

Genetic phenotypes...
 
Kwenye lishe hapo ndo napata kigugumizi maana ukicheki na wao maisha yao ni kama ya huku tu kubangaiza kama sisi.
Nenda Singida angalia Kuku wao wa kienyeji, halafu njoo pwani angalia Kuku wao wa kienyeji utapata majibu.

Hata kwenye ndoa kuna vitu muhimu vya kimsingi watu hawazingatii lakini muhimu sana kuhusu hizi genetics na IQ za koo tunazooleana plus damu.

Watu wa Gambia wengi wana damu inaitwa delta 24 hawa wengi hawaambukizwi ukimwi, immunity zao virus vya ukimwi ukiwaambukiza wanageuka kuwa askari, na Tanzania watu hao wachache sana wapo huwezi kuwaambukiza ukimwi kwa namna yoyote ile.
 
Asili ya sisi waafrika weusi ni misitu ya Cameroon....hao wa afrika magharibi walibaki karibu na huko...

Wenzao walioshuka kusini Kati na mashariki waliishia MISITU YA KONGO....hapa ndipo walipoanza kuwa na vimo vifupi ...na kutokea hapo wakashuka huku afrika ya mashariki na kusini mwa afrika ambapo vimo vyetu vinafanana....

Kusafiri kwa muda mrefu(kukosa vyakula vyenye virutubisho)....ng'ombe kufa njiani na kuanza kukosa MAZIWA ,VIAZI VITAMU,UGALI WA MTAMA kukawafanya kuwa "andunje" [emoji1787][emoji1787]

#SiempreJMT[emoji120]
 
Ghana mbona wafupi wengi sana km bongo? Watu warefu mostly ni senegal na mali
 
[emoji2956]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…