Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Una experience na hayo mambo yao ?!!![emoji1787]Halafu wamejaaliwa yale mambo yetu.Sijui ni kwa nini ni mapande ya baba.Sio West tu ,na pale Shamhuri ya kati,Congo Brazzaville na Cameroun.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una experience na hayo mambo yao ?!!![emoji1787]Halafu wamejaaliwa yale mambo yetu.Sijui ni kwa nini ni mapande ya baba.Sio West tu ,na pale Shamhuri ya kati,Congo Brazzaville na Cameroun.
[emoji1787][emoji1787]That's true especially wa Ghana na wa Togo.Hamissa Mobeto atakuwa anamfaidi Kévin mtogolais.
Na wewe unatuletea habari za wauza uchi hapa zinatuhusu nini?That's true especially wa Ghana na wa Togo.Hamissa Mobeto atakuwa anamfaidi Kévin mtogolais.
Ukiongelea watu warefu afrika ni wale kabila la Dinka (Dinka People). Tena sio Africa tu, ni jamii ya watu warefu zaidi dunian. Wanapatikana Ehiopia huko nenda kawatafute mtandaoni au hata youtube utaona.Ghana mbona wafupi wengi sana km bongo? Watu warefu mostly ni senegal na mali
Ninasikia hivyo.Una experience na hayo mambo yao ?!!![emoji1787]
Wewe hununui "uchi" wenzako tunaununua...baharia unafeli wapi ?!! [emoji1787][emoji1787]Na wewe unatuletea habari za wauza uchi hapa zinatuhusu nini?
Mmmh [emoji1787]Ninasikia hivyo.
Duffy blood groupNenda Singida angalia Kuku wao wa kienyeji, halafu njoo pwani angalia Kuku wao wa kienyeji utapata majibu.
Hata kwenye ndoa kuna vitu muhimu vya kimsingi watu hawazingatii lakini muhimu sana kuhusu hizi genetics na IQ za koo tunazooleana plus damu.
Watu wa Gambia wengi wana damu inaitwa delta 24 hawa wengi hawaambukizwi ukimwi, immunity zao virus vya ukimwi ukiwaambukiza wanageuka kuwa askari, na Tanzania watu hao wachache sana wapo huwezi kuwaambukiza ukimwi kwa namna yoyote ile.
Miili mikubwa lakini kichwani watupu. Bora sisi maandunje IQ zetu ni thabitiEbwanaeeeee hata kama maisha ni magumu ngoja twendeleeee...
Nchi za afica magharibi, NIGERIA, GHANA, TOGO, IVORY COAST, SENEGAL nk..nk.
Sasa nimekumbuka mwanzoni mwa mwezi wa pili kuna mjomba wangu mmoja ni mfanyabiashara haswa na nilifanikiwa kurula nae sana hizo nchi tajwa hapo juu ambazo ziko upande wa africa magharibi na katika kuzurula huko nikagundua aisee..... wale jamaa wana miili mikubwa mno kuliko sisi tulio chini ya jangwa la sahara.
Unakutana na kijana tu miaka 17 ana futi 6 karibia na inch kama 3 hivi nikajiuliza sababu ni nini nikakosa, nikaanza na kurejea hata wachezaji wanaocheza ligi kubwa ulaya waliotoka hizo nchi wako hivyo ni magiant kuliko kina samata hawa.
Hata yale black basketball giants yanayotamba ligi ya kikapu NBA marekani chimbuko lao ni West Africa, hata ukifuatilia mababu ya kina lebron james yametoka huko huko. Huku kwetu shida nini wazee?
Tusaidiane mapema ili kuwakomboa watoto wetu na hili wimbi la umbilikimo.
BADO NAUMIZA KICHWA HUKU CHINI YA JANGWA LA SAHARA TATIZO NI NINI?
KAMA NI UMASIKINI NAO NI MASIKINI TU ILA SHIDA NINI HUKU KWETU????
Mwaka 2016 nikiwa Kampala katika night club ya Gurvunor eneo la VIP nilikuta wapopo ambapo VIP nzima mimi ndio nilionekana mfupi na sina mwiliEbwanaeeeee hata kama maisha ni magumu ngoja twendeleeee...
Nchi za afica magharibi, NIGERIA, GHANA, TOGO, IVORY COAST, SENEGAL nk..nk.
Sasa nimekumbuka mwanzoni mwa mwezi wa pili kuna mjomba wangu mmoja ni mfanyabiashara haswa na nilifanikiwa kurula nae sana hizo nchi tajwa hapo juu ambazo ziko upande wa africa magharibi na katika kuzurula huko nikagundua aisee..... wale jamaa wana miili mikubwa mno kuliko sisi tulio chini ya jangwa la sahara.
Unakutana na kijana tu miaka 17 ana futi 6 karibia na inch kama 3 hivi nikajiuliza sababu ni nini nikakosa, nikaanza na kurejea hata wachezaji wanaocheza ligi kubwa ulaya waliotoka hizo nchi wako hivyo ni magiant kuliko kina samata hawa.
Hata yale black basketball giants yanayotamba ligi ya kikapu NBA marekani chimbuko lao ni West Africa, hata ukifuatilia mababu ya kina lebron james yametoka huko huko. Huku kwetu shida nini wazee?
Tusaidiane mapema ili kuwakomboa watoto wetu na hili wimbi la umbilikimo.
BADO NAUMIZA KICHWA HUKU CHINI YA JANGWA LA SAHARA TATIZO NI NINI?
KAMA NI UMASIKINI NAO NI MASIKINI TU ILA SHIDA NINI HUKU KWETU????
Asee wapopo ni kina nani haoMwaka 2016 nikiwa Kampala katika night club ya Gurvunor eneo la VIP nilikuta wapopo ambapo VIP nzima mimi ndio nilionekana mfupi na sina mwili
WanigeriaAsee wapopo ni kina nani hao
Eheeee ndiyo wale wale asee, sijui kwanini sisi ni maanduje mzeeWanigeria
[emoji1787]Mwaka 2016 nikiwa Kampala katika night club ya Gurvunor eneo la VIP nilikuta wapopo ambapo VIP nzima mimi ndio nilionekana mfupi na sina mwili
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji1787]Asee wapopo ni kina nani hao