Nini kinasababisha watu wa Afrika Magharibi kuwa na miili mikubwa kuliko wengine?

Nini kinasababisha watu wa Afrika Magharibi kuwa na miili mikubwa kuliko wengine?

Ebwanaeeeee hata kama maisha ni magumu ngoja twendeleeee...

Nchi za afica magharibi, NIGERIA, GHANA, TOGO, IVORY COAST, SENEGAL nk..nk.

Sasa nimekumbuka mwanzoni mwa mwezi wa pili kuna mjomba wangu mmoja ni mfanyabiashara haswa na nilifanikiwa kurula nae sana hizo nchi tajwa hapo juu ambazo ziko upande wa africa magharibi na katika kuzurula huko nikagundua aisee..... wale jamaa wana miili mikubwa mno kuliko sisi tulio chini ya jangwa la sahara.

Unakutana na kijana tu miaka 17 ana futi 6 karibia na inch kama 3 hivi nikajiuliza sababu ni nini nikakosa, nikaanza na kurejea hata wachezaji wanaocheza ligi kubwa ulaya waliotoka hizo nchi wako hivyo ni magiant kuliko kina samata hawa.

Hata yale black basketball giants yanayotamba ligi ya kikapu NBA marekani chimbuko lao ni West Africa, hata ukifuatilia mababu ya kina lebron james yametoka huko huko. Huku kwetu shida nini wazee?

Tusaidiane mapema ili kuwakomboa watoto wetu na hili wimbi la umbilikimo.

BADO NAUMIZA KICHWA HUKU CHINI YA JANGWA LA SAHARA TATIZO NI NINI?

KAMA NI UMASIKINI NAO NI MASIKINI TU ILA SHIDA NINI HUKU KWETU????
Sisi tunashindia chips yai la kisasa wale wanashindili ugali wa mhogo asubuhi na jioni viazi vikuu lazima wame na miili mikubwa.

Kwa kifupi sisi lishe duni. N hata tukipata vyakula ni vile ambavyo havina faida mwilini
 
Hawa wa huku kwetu ukimkuta mrefu basi mwembambaaa,tofaut na hao wanao miili ya kiuanaume halisia[emoji4][emoji4][emoji2960][emoji2960][emoji2960],nadhan wao wakakula sanaaa vyakula vya asili kuliko huku
Acha dharau weweeeeeee


Kwa hiyo sisi wafupi wenye miili ya kibishi sio wanaume halisia!!!
 
Wabantu walianzia Africa Magharibi. Kwenye milima ya mpakani mwa Kameruni na Nigeria. Wengine wakabaki huko na kuelekea magharibi, na wengine wakaja huku kusini. Hawa waliokuja huku kusini wakakutana na mbilikimo kwenye misitu ya Congo na kuzaliana nao. Kizazi kilichotoka ndiyo sisi huku wenye umbilikimo ndani yetu. Watu wa mgharibi hawakuchanganyikana na mbilikimo. Kuna makabila mchanganyiko huo ni mkubwa zaidi, makabila kama Waluguru, Wasafwa, Wapare, Wazaramo nk.
 
Ila wanasema hali ya kiikweta ila asili ya kuwafanya watu wawe na miili mikubwa kutokana na miili yao kupata mwanga wa jua wa kutosha unaotoka directly kwenye jua 90°. Hata kanda ya ziwa ina watu wengi wenye asili ya miili mikubwa. Pia kuna sababu za kilishe, kwa sasa hata vyakula vyetu tunavyokula ni duni.
 
Ebwanaeeeee hata kama maisha ni magumu ngoja twendeleeee...

Nchi za afica magharibi, NIGERIA, GHANA, TOGO, IVORY COAST, SENEGAL nk..nk.

Sasa nimekumbuka mwanzoni mwa mwezi wa pili kuna mjomba wangu mmoja ni mfanyabiashara haswa na nilifanikiwa kurula nae sana hizo nchi tajwa hapo juu ambazo ziko upande wa africa magharibi na katika kuzurula huko nikagundua aisee..... wale jamaa wana miili mikubwa mno kuliko sisi tulio chini ya jangwa la sahara.

Unakutana na kijana tu miaka 17 ana futi 6 karibia na inch kama 3 hivi nikajiuliza sababu ni nini nikakosa, nikaanza na kurejea hata wachezaji wanaocheza ligi kubwa ulaya waliotoka hizo nchi wako hivyo ni magiant kuliko kina samata hawa.

Hata yale black basketball giants yanayotamba ligi ya kikapu NBA marekani chimbuko lao ni West Africa, hata ukifuatilia mababu ya kina lebron james yametoka huko huko. Huku kwetu shida nini wazee?

Tusaidiane mapema ili kuwakomboa watoto wetu na hili wimbi la umbilikimo.

BADO NAUMIZA KICHWA HUKU CHINI YA JANGWA LA SAHARA TATIZO NI NINI?

KAMA NI UMASIKINI NAO NI MASIKINI TU ILA SHIDA NINI HUKU KWETU????
hata appearance za sura zetu ni tofauti kidogo na sisi east africans, kwahiyo swali hilo hilo ungejiuliza kwanini east africans au waafrica wana miili mikubwa kuliko wahindi na wachina, hapo ndio utajua Mungu aliamua kuumba watu wa aina mbalimbali. pia, vyakula vilichangia kufanya miili kuwa mikubwa. mfano, west africans waliochukuliwa utumwa wakapelekwa marekani ni wakubwa kuliko wale wanaozaliana west africa kwa sasa kwasababu ya aina ya vyakula vinavyoliwa marekani. pia, kwa hapa bongo, angalia wanyakyusa, wahaya na wasukuma, hao watu wanavyo vyakula vingi na miili yao unaijua ilivyo. ukija kwa wenzetu wambulu au wanyaturu au watu wa maeneo ya kati pale warangi etc, ni maeneo yasiyo na chakula, pakame, miili yao unaijua, ni ya njaa.
 
Ebwanaeeeee hata kama maisha ni magumu ngoja twendeleeee...

Nchi za afica magharibi, NIGERIA, GHANA, TOGO, IVORY COAST, SENEGAL nk..nk.

Sasa nimekumbuka mwanzoni mwa mwezi wa pili kuna mjomba wangu mmoja ni mfanyabiashara haswa na nilifanikiwa kurula nae sana hizo nchi tajwa hapo juu ambazo ziko upande wa africa magharibi na katika kuzurula huko nikagundua aisee..... wale jamaa wana miili mikubwa mno kuliko sisi tulio chini ya jangwa la sahara.

Unakutana na kijana tu miaka 17 ana futi 6 karibia na inch kama 3 hivi nikajiuliza sababu ni nini nikakosa, nikaanza na kurejea hata wachezaji wanaocheza ligi kubwa ulaya waliotoka hizo nchi wako hivyo ni magiant kuliko kina samata hawa.

Hata yale black basketball giants yanayotamba ligi ya kikapu NBA marekani chimbuko lao ni West Africa, hata ukifuatilia mababu ya kina lebron james yametoka huko huko. Huku kwetu shida nini wazee?

Tusaidiane mapema ili kuwakomboa watoto wetu na hili wimbi la umbilikimo.

BADO NAUMIZA KICHWA HUKU CHINI YA JANGWA LA SAHARA TATIZO NI NINI?

KAMA NI UMASIKINI NAO NI MASIKINI TU ILA SHIDA NINI HUKU KWETU????
hata appearance za sura zetu ni tofauti kidogo na sisi east africans, kwahiyo swali hilo hilo ungejiuliza kwanini east africans au waafrica wana miili mikubwa kuliko wahindi na wachina, hapo ndio utajua Mungu aliamua kuumba watu wa aina mbalimbali. pia, vyakula vilichangia kufanya miili kuwa mikubwa. mfano, west africans waliochukuliwa utumwa wakapelekwa marekani ni wakubwa kuliko wale wanaozaliana west africa kwa sasa kwasababu ya aina ya vyakula vinavyoliwa marekani. pia, kwa hapa bongo, angalia wanyakyusa, wahaya na wasukuma, hao watu wanavyo vyakula vingi na miili yao unaijua ilivyo. ukija kwa wenzetu wambulu au wanyaturu au watu wa maeneo ya kati pale warangi etc, ni maeneo yasiyo na chakula, pakame, miili yao unaijua, ni ya njaa. hata akili zinakuwaga chache.
 
Ebwanaeeeee hata kama maisha ni magumu ngoja twendeleeee...

Nchi za afica magharibi, NIGERIA, GHANA, TOGO, IVORY COAST, SENEGAL nk..nk.

Sasa nimekumbuka mwanzoni mwa mwezi wa pili kuna mjomba wangu mmoja ni mfanyabiashara haswa na nilifanikiwa kurula nae sana hizo nchi tajwa hapo juu ambazo ziko upande wa africa magharibi na katika kuzurula huko nikagundua aisee..... wale jamaa wana miili mikubwa mno kuliko sisi tulio chini ya jangwa la sahara.

Unakutana na kijana tu miaka 17 ana futi 6 karibia na inch kama 3 hivi nikajiuliza sababu ni nini nikakosa, nikaanza na kurejea hata wachezaji wanaocheza ligi kubwa ulaya waliotoka hizo nchi wako hivyo ni magiant kuliko kina samata hawa.

Hata yale black basketball giants yanayotamba ligi ya kikapu NBA marekani chimbuko lao ni West Africa, hata ukifuatilia mababu ya kina lebron james yametoka huko huko. Huku kwetu shida nini wazee?

Tusaidiane mapema ili kuwakomboa watoto wetu na hili wimbi la umbilikimo.

BADO NAUMIZA KICHWA HUKU CHINI YA JANGWA LA SAHARA TATIZO NI NINI?

KAMA NI UMASIKINI NAO NI MASIKINI TU ILA SHIDA NINI HUKU KWETU????
Wanabugia kakao kwa wingi.
 
Nenda Singida angalia Kuku wao wa kienyeji, halafu njoo pwani angalia Kuku wao wa kienyeji utapata majibu.

Hata kwenye ndoa kuna vitu muhimu vya kimsingi watu hawazingatii lakini muhimu sana kuhusu hizi genetics na IQ za koo tunazooleana plus damu.

Watu wa Gambia wengi wana damu inaitwa delta 24 hawa wengi hawaambukizwi ukimwi, immunity zao virus vya ukimwi ukiwaambukiza wanageuka kuwa askari, na Tanzania watu hao wachache sana wapo huwezi kuwaambukiza ukimwi kwa namna yoyote ile.
Sipati picha hii damu ya wagambia angeipata mzabzab
 
Ebwanaeeeee hata kama maisha ni magumu ngoja twendeleeee...

Nchi za afica magharibi, NIGERIA, GHANA, TOGO, IVORY COAST, SENEGAL nk..nk.

Sasa nimekumbuka mwanzoni mwa mwezi wa pili kuna mjomba wangu mmoja ni mfanyabiashara haswa na nilifanikiwa kurula nae sana hizo nchi tajwa hapo juu ambazo ziko upande wa africa magharibi na katika kuzurula huko nikagundua aisee..... wale jamaa wana miili mikubwa mno kuliko sisi tulio chini ya jangwa la sahara.

Unakutana na kijana tu miaka 17 ana futi 6 karibia na inch kama 3 hivi nikajiuliza sababu ni nini nikakosa, nikaanza na kurejea hata wachezaji wanaocheza ligi kubwa ulaya waliotoka hizo nchi wako hivyo ni magiant kuliko kina samata hawa.

Hata yale black basketball giants yanayotamba ligi ya kikapu NBA marekani chimbuko lao ni West Africa, hata ukifuatilia mababu ya kina lebron james yametoka huko huko. Huku kwetu shida nini wazee?

Tusaidiane mapema ili kuwakomboa watoto wetu na hili wimbi la umbilikimo.

BADO NAUMIZA KICHWA HUKU CHINI YA JANGWA LA SAHARA TATIZO NI NINI?

KAMA NI UMASIKINI NAO NI MASIKINI TU ILA SHIDA NINI HUKU KWETU????
Sasa wote tukiwa warefu nani atakuwa mfupi...?
 
Wachezaji wao nao ni wakubwa giant kulinganisha na wachezaji wetu wa ukanda wa afrika mashariki. Timu zikicheza utawaonea huruma wachezaji wetu kwa udogo mbele ya hao wenye miili mikubwa
 
Ebwanaeeeee hata kama maisha ni magumu ngoja twendeleeee...

Nchi za afica magharibi, NIGERIA, GHANA, TOGO, IVORY COAST, SENEGAL nk..nk.

Sasa nimekumbuka mwanzoni mwa mwezi wa pili kuna mjomba wangu mmoja ni mfanyabiashara haswa na nilifanikiwa kurula nae sana hizo nchi tajwa hapo juu ambazo ziko upande wa africa magharibi na katika kuzurula huko nikagundua aisee..... wale jamaa wana miili mikubwa mno kuliko sisi tulio chini ya jangwa la sahara.

Unakutana na kijana tu miaka 17 ana futi 6 karibia na inch kama 3 hivi nikajiuliza sababu ni nini nikakosa, nikaanza na kurejea hata wachezaji wanaocheza ligi kubwa ulaya waliotoka hizo nchi wako hivyo ni magiant kuliko kina samata hawa.

Hata yale black basketball giants yanayotamba ligi ya kikapu NBA marekani chimbuko lao ni West Africa, hata ukifuatilia mababu ya kina lebron james yametoka huko huko. Huku kwetu shida nini wazee?

Tusaidiane mapema ili kuwakomboa watoto wetu na hili wimbi la umbilikimo.

BADO NAUMIZA KICHWA HUKU CHINI YA JANGWA LA SAHARA TATIZO NI NINI?

KAMA NI UMASIKINI NAO NI MASIKINI TU ILA SHIDA NINI HUKU KWETU????
hao ni hybrid baada ya nchi zao kuathiriwa na ukoloni
 
Enzi za ukoloni kwenye biashara ya utumwa waarabu walikuwa wanachagua wanaume wenye vimo vikubwa na wenye nguvu. Baada ya kutumikishwa huko ulaya na uarabuni wasalia yao waliuwawa wote.

Ila waafrika magharibi walichukuliwa utumwa bara la marekani wengi walibaki na kuendeleza kizazi hiki ambacho leo tunakiita black Americans.

Ila kumbuka hakuna black Arabian au black European
Kweli kbs huwa najiuliza watumwa waliopelekw Nchi za kiarabu na ulaya why hakuna mabaki ya vizazi vyao nikagundua waarabu walikua wanawahasi watumwa...ndio Mana huwa nawachukia Sana wazungu na waarabu walitufanyia ufedhuli wa kutisha
 
Back
Top Bottom