Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiźo nchi za Afrika magharibi ulizozitaja ni ipi ipo juu ya jangwa la sahara?Ebwanaeeeee hata kama maisha ni magumu ngoja twendeleeee...
Nchi za afica magharibi, NIGERIA, GHANA, TOGO, IVORY COAST, SENEGAL nk..nk.
Sasa nimekumbuka mwanzoni mwa mwezi wa pili kuna mjomba wangu mmoja ni mfanyabiashara haswa na nilifanikiwa kurula nae sana hizo nchi tajwa hapo juu ambazo ziko upande wa africa magharibi na katika kuzurula huko nikagundua aisee..... wale jamaa wana miili mikubwa mno kuliko sisi tulio chini ya jangwa la sahara.
Unakutana na kijana tu miaka 17 ana futi 6 karibia na inch kama 3 hivi nikajiuliza sababu ni nini nikakosa, nikaanza na kurejea hata wachezaji wanaocheza ligi kubwa ulaya waliotoka hizo nchi wako hivyo ni magiant kuliko kina samata hawa.
Hata yale black basketball giants yanayotamba ligi ya kikapu NBA marekani chimbuko lao ni West Africa, hata ukifuatilia mababu ya kina lebron james yametoka huko huko. Huku kwetu shida nini wazee?
Tusaidiane mapema ili kuwakomboa watoto wetu na hili wimbi la umbilikimo.
BADO NAUMIZA KICHWA HUKU CHINI YA JANGWA LA SAHARA TATIZO NI NINI?
KAMA NI UMASIKINI NAO NI MASIKINI TU ILA SHIDA NINI HUKU KWETU????
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shangazi miyeyusho sanaHiźo nchi za Afrika magharibi ulizozitaja ni ipi ipo juu ya jangwa la sahara?
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Lishe duni, no discussionEbwanaeeeee hata kama maisha ni magumu ngoja twendeleeee...
Nchi za afica magharibi, NIGERIA, GHANA, TOGO, IVORY COAST, SENEGAL nk..nk.
Sasa nimekumbuka mwanzoni mwa mwezi wa pili kuna mjomba wangu mmoja ni mfanyabiashara haswa na nilifanikiwa kurula nae sana hizo nchi tajwa hapo juu ambazo ziko upande wa africa magharibi na katika kuzurula huko nikagundua aisee..... wale jamaa wana miili mikubwa mno kuliko sisi tulio chini ya jangwa la sahara.
Unakutana na kijana tu miaka 17 ana futi 6 karibia na inch kama 3 hivi nikajiuliza sababu ni nini nikakosa, nikaanza na kurejea hata wachezaji wanaocheza ligi kubwa ulaya waliotoka hizo nchi wako hivyo ni magiant kuliko kina samata hawa.
Hata yale black basketball giants yanayotamba ligi ya kikapu NBA marekani chimbuko lao ni West Africa, hata ukifuatilia mababu ya kina lebron james yametoka huko huko. Huku kwetu shida nini wazee?
Tusaidiane mapema ili kuwakomboa watoto wetu na hili wimbi la umbilikimo.
BADO NAUMIZA KICHWA HUKU CHINI YA JANGWA LA SAHARA TATIZO NI NINI?
KAMA NI UMASIKINI NAO NI MASIKINI TU ILA SHIDA NINI HUKU KWETU????
Kujua location za nchi haihitaji shule, Ni wewe unaona kila kitu in negative way, (ujuaji tunaita)Hiźo nchi za Afrika magharibi ulizozitaja ni ipi ipo juu ya jangwa la sahara?
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Watumeni dada zenu Usukumani waje wachukue mbegu!Ebwanaeeeee hata kama maisha ni magumu ngoja twendeleeee...
Nchi za afica magharibi, NIGERIA, GHANA, TOGO, IVORY COAST, SENEGAL nk..nk.
Sasa nimekumbuka mwanzoni mwa mwezi wa pili kuna mjomba wangu mmoja ni mfanyabiashara haswa na nilifanikiwa kurula nae sana hizo nchi tajwa hapo juu ambazo ziko upande wa africa magharibi na katika kuzurula huko nikagundua aisee..... wale jamaa wana miili mikubwa mno kuliko sisi tulio chini ya jangwa la sahara.
Unakutana na kijana tu miaka 17 ana futi 6 karibia na inch kama 3 hivi nikajiuliza sababu ni nini nikakosa, nikaanza na kurejea hata wachezaji wanaocheza ligi kubwa ulaya waliotoka hizo nchi wako hivyo ni magiant kuliko kina samata hawa.
Hata yale black basketball giants yanayotamba ligi ya kikapu NBA marekani chimbuko lao ni West Africa, hata ukifuatilia mababu ya kina lebron james yametoka huko huko. Huku kwetu shida nini wazee?
Tusaidiane mapema ili kuwakomboa watoto wetu na hili wimbi la umbilikimo.
BADO NAUMIZA KICHWA HUKU CHINI YA JANGWA LA SAHARA TATIZO NI NINI?
KAMA NI UMASIKINI NAO NI MASIKINI TU ILA SHIDA NINI HUKU KWETU????
Bila picha tutashindwa kujadili.
Heheheheeh duhKinachonisikitisha zaidi miili mikubwa hatuna na akili pia hatuna
Atakuja kukonda kwa kunywa energy na mikate ya azam
Hapana wanasura mbaya na shepu zao ni kama gunia la mahindiUsikute na wanyakyusa asili yao ni West Africa
Hili ndo jibu sahihiGenetics na lishe.
Una exposure na mish-shedede shede ya kina Rotimi na tayc sio?That's true especially wa Ghana na wa Togo.Hamissa Mobeto atakuwa anamfaidi Kévin mtogolais.
HahahahahKinachonisikitisha zaidi miili mikubwa hatuna na akili pia hatuna
Hata ndani ya Tz tu, kadri unavyotoka Pwani ya Tz kwenda Magharibi, uimara wa miili ya watu unaongezeka, vuka ziwa fika Kongo. Mzaramo na Mmanyema.Ebwanaeeeee hata kama maisha ni magumu ngoja twendeleeee...
Nchi za afica magharibi, NIGERIA, GHANA, TOGO, IVORY COAST, SENEGAL nk..nk.
Sasa nimekumbuka mwanzoni mwa mwezi wa pili kuna mjomba wangu mmoja ni mfanyabiashara haswa na nilifanikiwa kurula nae sana hizo nchi tajwa hapo juu ambazo ziko upande wa africa magharibi na katika kuzurula huko nikagundua aisee..... wale jamaa wana miili mikubwa mno kuliko sisi tulio chini ya jangwa la sahara.
Unakutana na kijana tu miaka 17 ana futi 6 karibia na inch kama 3 hivi nikajiuliza sababu ni nini nikakosa, nikaanza na kurejea hata wachezaji wanaocheza ligi kubwa ulaya waliotoka hizo nchi wako hivyo ni magiant kuliko kina samata hawa.
Hata yale black basketball giants yanayotamba ligi ya kikapu NBA marekani chimbuko lao ni West Africa, hata ukifuatilia mababu ya kina lebron james yametoka huko huko. Huku kwetu shida nini wazee?
Tusaidiane mapema ili kuwakomboa watoto wetu na hili wimbi la umbilikimo.
BADO NAUMIZA KICHWA HUKU CHINI YA JANGWA LA SAHARA TATIZO NI NINI?
KAMA NI UMASIKINI NAO NI MASIKINI TU ILA SHIDA NINI HUKU KWETU????