Nini Kipo Nyuma ya Lady Jay Dee na Salama Jabir?

Kila Sentensi Uliyoiandika ni DHAHABU TUPU....

AKILI za kijima haziwezi kutupeleka MBELE...
 
Facts .....

Kwao maendeleo ni kula Ugali na kusubiri USIKU UINGIE....
 
Umeongea hekima sana ..big up mkuu
 
Nimeona kwenye interview ya Salama na Jay Dee Salama na Jay Dee wote wamekiri kuwa hawana watoto. Najua hawa wote wameshafika 40+. wanaume wa Darisalama mnafeli wapi??

Uzi tayari.
Si uje uwawekee wewe hiyo kitu kama wa Dar wameshindwa? Lakini mbona Gadner ana mtoto, au amechomekewa?
 
Tuambie jina la kigagula aliyemzaa baba ako.
 
Kwani jina lako hulijui? We si bibi yangu wewe?

Rudisha simu kwa diwani. Kaote jua bibi.
Jinsi ulivyojisikia kwa comment yangu, ndivyo wenye bibi, babu, baba na mama zao vijijini wamejisikia wazazi wao walipoitwa vigagula. Btw endelea kujiona una haki ya kumtusi yeyote.
 
Hadi ye mwenyewe kakimbilia Dodoma kawaacha wenye mji wao wapo
 
Hao jamaa wamikoani some time comente zao kuhu wanaume wa Daressalam me nashindwa kuwaelewa kabisa.

Kwamba wao (wamikoani) ndio wanajua sana kugegeda?

Wao wananguvu sana?
Wao wakoje yani?

Mara ya kwanza naingia mgodini wachimbaji kibao walikua wananidharau baada ya kujua mimi ni Mndengereko.
Wakawa wanaambiana yule katoka Dar, hatoweza kazi ngumu.
Mwisho wa picha wakaanza kuniita Maquina (mashine).

Watoto wa mikoani acheni comente za kishamba juu ya watoto wa jiji.

Hao dada zenu hawana vizazi, kama kuwagonga tunawonga vizuri tu.
Mfano huyo Salama, sijui hata kama anagongeka huyo.
 
Mm
Salama ni mdee lesbian
Kwa hiyo yeye ni mwanamke wa kiume au wakike... maana siku hizi kuna female but male na male but female...
KUNA MWANAMKE WA KIUME na MWANAMME wa Kike... yaan bavk to sodoma n gomorah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…