isajorsergio
Platinum Member
- Apr 22, 2018
- 4,143
- 6,560
- Thread starter
-
- #61
Unamaanisha watu wanaabudu mtu? 🙄Dah!. Binafsi naamini Mungu yupo na ndio aliyenibariki nipo na maisha mazuri kwa Sasa.
Ila sijaenda kanisani miaka na miaka ( Mimi ni RC). Tatizo kwa kweli zile sanamu na mipicha tunayoambiwa ni yesu Kule kanisani zinanikwaza sana. Yaani mtu kachonga mjisanamu wake na mti wa mpingo Leo hii naambiwa kuwa niheshimu kuwa ni mfano wa yesu!!?. Nimeshafafanuliwaga na watu mbali mbali kuhusu hizo sanamu Ila sikuwaelewa hata kidogo.
Nimejaribu kusali makanisa mbali mbali Ila kote kumenishinda.
Ila Kama sio sanamu na mipicha picha kanisani, basi RC is the best.
Huwezi tenganisha Mungu na dini. Ukishaamini katika Mungu tatari una dini, Unaamini vipi katika uwepo wa Mungu bila dini? Halafu una porojo.....Ahaa! Ndio maana nirudi kusema hujawa na uwezo wa reasoning! Fahamu kutofautisha MUNGU na DINI! Kuna MUNGU na DINI.
Hao wengi wa kweli yupi? Anaweza kujisimamia ukimtoa katika dini? Mungu ndio chanzo cha maisha hao Mungu wengi unaweza kuonesha bidhaa zao?
Nikimaanisha MUNGU wa dini A watu wake wanatofauti zipi na MUNGU wa dini B, C na D etc? Wametumia material tofauti au wapo wanaozaliwa na wengine kushushwa au kutokea katika transition?
AmiinMungu atusaidie
Porojo zikowapi kiongozi! Umesema Mungu ni wengi nilihitaji kufahamu applications za Mungu hawa wengi katika watu wao.Huwezi tenganisha Mungu na dini. Ukishaamini katika Mungu tatari una dini, Unaamini vipi katika uwepo wa Mungu bila dini? Halafu una porojo.....
Kipato na kuongezeka kwa ufahamu na matendo ya wanaoitwa wapakwa mafuta.Habari 👋🏾
Nimefanya tafiti katika vipindi, nyakati na maeneo tofauti na inaonekana wazi ushawishi wa dini unapungua kwa kasi kubwa sana.
Inaonekana wengi kutokuwa na hakika katika dini mbalimbali na wengi wao bado wanajaribu kujionesha katika ngwe hiyo kwa sababu kadhaa ikiwemo kutokataliwa na jamii hizo.
Je, ni ipi sababu ya ukuaji wa kiwango hiki cha watu kutokuwa na dini kama ilivyozoeleka?
Hao masikini,wanafiki,wasiojiweza na wote hao uliowataja kuwaona ktk dini ni kwamba wapo ktk dini hizo just only for their names. Ni Mkristo kwa sababu anaitwa Yakobo,Petero na Nathan au Omar,Yasin na Aisha kuwa mwislamu. Lakini ini reality hawako kwenye dini. Na hao unaowaona wanahangaishwa na mafuta,chumvi na keki kwenye dini hawako kwenye dini bali dini to them religion it has turned to be an opium kwa hayo madhira waliyonayo. Ndugu ni ukweli mchungu lakini ndo hivyo muhimu shikiria unachokiamini utaokolewa kwa rehemaKuna mambo hapa umegongelea misumari mithili ya ile ya Bethlehem! Hivi ni mimi tu ninayeona maskini, wasiojiweza, wanafiki, wanaozaa hovyo hovyo na watu wanaoishi tu kwa asilimia 95 ni walioloea katika dini?
Mungu hapatikani kwenye dini.Binafsi yalivyonipata nilimtafuta Mungu. Nimeleta hoja hii baada ya kuona ushawishi umepungua kwa walio wengi.
mungu ni wengi sababu ni imani, na imani ni dini hivyo mungu=imani=Dini huwezi tenganisha.Porojo zikowapi kiongozi! Umesema Mungu ni wengi nilihitaji kufahamu applications za Mungu hawa wengi katika watu wao.
Dini ni nn?Mungu hapatikani kwenye dini.
Doctrine fulani hivi ya kulaghai watuDini ni nn?
Ambayo ili wakulaghai lazima uamini siyo? Unamaanisha dini ni imani ya uongo ni sahihi?Doctrine fulani hivi ya kulaghai watu
Yap,binafsi dini za wazungu sizikubali,napendelea imani zetu za asili maana huko nako Mungu anatusikia,hizi za wazungu zina utapeli mwingi SanaAmbayo ili wakulaghai lazima uamini siyo? Unamaanisha dini ni imani ya uongo ni sahihi?
Kupitia dini tunafahamu njia zipi za kumfikia MunguMungu hapatikani kwenye dini.
👍
Nimesahau kifungu mkuu,Imeandikwa!
Na nani kwa watu gani?
Wazee wa zamani waliomba na mvua zikanyesha.Yap,binafsi dini za wazungu sizikubali,napendelea imani zetu za asili maana huko nako Mungu anatusikia,hizi za wazungu zina utapeli mwingi Sana
Watu wanaheshimu sanamu na picha.Unamaanisha watu wanaabudu mtu? 🙄
Watu wameanza kuachana na kufuata mambo ya kitapeliHabari [emoji1480]
Nimefanya tafiti katika vipindi, nyakati na maeneo tofauti na inaonekana wazi ushawishi wa dini unapungua kwa kasi kubwa sana.
Inaonekana wengi kutokuwa na hakika katika dini mbalimbali na wengi wao bado wanajaribu kujionesha katika ngwe hiyo kwa sababu kadhaa ikiwemo kutokataliwa na jamii hizo.
Je, ni ipi sababu ya ukuaji wa kiwango hiki cha watu kutokuwa na dini kama ilivyozoeleka?