Nini madhara ya Kutoonekana mahakamani katika kesi ya Ndoa?

Jamaa anazingua,,,hapo ubaya ubwela
Nenda mahakami kama mali zote zilipatikana ndani ya ndoa,,,ziuzwe mgawane kila mtu akafie mbele,,,,watoto mtajua jinsi ya kuhudumia
 
Eheheh..mkuu umenifokea sana bwana
 
 
Eheheh..mkuu umenifokea sana bwana
Acha Ufala aiseee.

Wenzio Akina Bill gates wanakomaa kuliko kupoteza chote, wanaamua kugawana.

Unadhan kwann?? Unafikiria Maisha na mwanzo wake ni mwepesi kama unavyowaza?

Sasa huyo ni Bill Gates, ni vipi kuhusu Mtanzania wewe unayejitafuta?.

Kutokuonekana kwako maana yake ,Maamuzi ya Hukumu yataegemea Upande mmoja tu.

Mke atapewa Kila kitu, na kwakua Watoto ni Wa Baba, wewe Tena ndo UTAWAJIBIKA malezi.

Maisha yako yatakua yakupelekwa Polisi Kila siku, utayachukia, Akili itakua kifungoni, matokeo yake msongonwa mawazo,mwanaumke anazidi kupigwa Mashine Nje n.k mpaka unakufa mwenyewe.
 
Utaitwa kwa "summons" Mara tatu.. Kama utakuwa huzipokei zitatumwa kwa njia ya WhatsApp
Kama hujatokea sheria inamruhusu kwenda kwenye gazeti la serikali na kuweka tangazo hilo la wito juu ya kesi ya mahari
Tangazo husika lina vipimo maalum na linalipiwa
Mdai sheria itamtaka apeleke mahakamani risiti ya tangazo na gazeti ama kipande cha gazeti la serikali lenye tangazo husika
Baada ya hapo kesi itaitwa tena kama bado hujatokea ataapa na kutoa ushahidi wake bila uwepo wako.. Kisha hakimu atatoa hukumu ya upande mmoja na kumpa ushindi yeye
Hukumu ikishatoka hataipewa mpaka upite mwezi nadhani kwa ajili ya kutoa nafasi ya kukata rufaa.. Kama mpaka hapo bado tuu .. Jalada la shauri litafungwa na yeye kutakiwa kukazia hukumu.

Ushauri Wangu kwa afya ya watoto unaweza kuwaandia power of attorney umiliki wa nyumba na mashamba
Mama usimuache kabisa. Ila mwache aende mwenyewe mahakamani..KESI ZA TALAKA ZINADHALILISHA SANA
 
Hao watoto mali wamezitafuta lini ilhali bado wadogo,mnashauri vitu ambavyo hamvijui mkuu, mali lazima mgawane na jukumu la mume ni kulea watoto,


Wanawake nuksi sana
 
Unawezaje kugomea talaka mkuu, nisaidie hapo ufafanuzi
 
Ahahahah.
Kwahiyo kumbe usipopeleka matumiz ni kssi??
Kudadekii.. hapo sasa mwanamke sinanaweza kukunyanyasa sana kama utatoa matumiz bila kuweka proper records ,akisema hujatoa!!?
 
Kwahiyo jukumu hil la kulea watoto, kisheria mama yao halimuhusu mkuu??
Sheria zetu ni za ovyo sana,zina wapendelea wanawake, halafu mitoto yenyewe ikikuwa inaegemea kwa mama yao ilhali umetumia ghalama kubwa kuilea na kushtakiwa umeshtakiwa, mkuu jitaidi ufike mahakamani kutetea haki yako,usipoenda huyo shetani atapewa mali zote yeye.
 
Hao watoto mali wamezitafuta lini ilhali bado wadogo,mnashauri vitu ambavyo hamvijui mkuu, mali lazima mgawane na jukumu la mume ni kulea watoto,


Wanawake nuksi sana
Mkuu what if kama mlishawah kuchukua mkopo na moja kati ya mali zilizo kwenye mgawanyo ( nyumba au kiwanja) mlichukulia mkopo kama dhamana, je mahakama itaamuru kuuza hivyo au mliyemkopa anaweza akazuia kwa kuweka stop order kisa dhamana????

Nisaidieni hapa pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…