Fanton Mahal
JF-Expert Member
- Mar 22, 2024
- 1,597
- 4,661
- Thread starter
-
- #61
Nimekusoma kamandaSheria zetu ni za ovyo sana,zina wapendelea wanawake, halafu mitoto yenyewe ikikuwa inaegemea kwa mama yao ilhali umetumia ghalama kubwa kuilea na kushtakiwa umeshtakiwa, mkuu jitaidi ufike mahakamani kutetea haki yako,usipoenda huyo shetani atapewa mali zote yeye.
Kuhusu mkopo sema mahakamani! Usikubali kulipa mkopo peke yako.Mkuu what if kama mlishawah kuchukua mkopo na moja kati ya mali zilizo kwenye mgawanyo ( nyumba au kiwanja) mlichukulia mkopo kama dhamana, je mahakama itaamuru kuuza hivyo au mliyemkopa anaweza akazuia kwa kuweka stop order kisa dhamana????
Nisaidieni hapa pia
Mkuu kwanini useme kitu chako wakati unasema mlianza wote sifuri?Sikutaka hii kitu kwasababu ya ile impression tu, unaanzaje kugombania kitu chako? Tena na mtu uliemuamin mwenye watoro wako!?
This is very ugly truthNiwaambieni tu Kwa taarifa yenu, UKIONA MWANAMKE MPAKA ANAFIKA MAHAKAMANI, WEWE JUA KWA SASA ANATIWA NJE.
Kabisa hapo ndo mtego ulipo ndo maana ni muhimu kwenda mahakamani ili kama unachochote cha kusema mahakama itapima uzito wa hoja zako au itakupa utaratibu mzuri wa hukumu itakayotoka na utakua unaelewa nini kinaendelea , kutokwenda mahakamani siyo uamuzi mzuri sana mwanamke anaweza kutumia hilo gape vibayaAhahahah.
Kwahiyo kumbe usipopeleka matumiz ni kssi??
Kudadekii.. hapo sasa mwanamke sinanaweza kukunyanyasa sana kama utatoa matumiz bila kuweka proper records ,akisema hujatoa!!?
usipofika mahajamani maana yake maombi yake yatapokelewa na kukubaliwa na mahakama kwahiyo hujui Kamba nini humo usikute kaomba nyumba iuzwe mgawane sawa kwa sawa mwisho wa siku unakuta dalali wa mahakama anapiga mnada nyumba yako, usiache kwenda, unakumbuka kilichomkuta mwenye nyumba wa kunduchi aliyekuwa anadaiana na mpangaji wake?Wakuu heshima kwenu.
Habari za jioni, poleni na majukumu (kwa wale wenye majukukumu).
Naomba kufahamishwa KISHERIA kama kichwa cha uzi kimavyojieleza.
Mi hivi, baada ya mgogoro wa ghafla sana (only 2 months now) na vurugu zilizofuata hapo, hatimae mke wangu ame file kesi mahakama ya mwanzo jii ya dai la talaka.
Nimepogiwa simu siku kadhaa zimepita sasa kitaarifiwa pia kitakiwa kuchukua wito "samansi" wa mahakama juu ya kesi husika na kweli nikachukua.
Charges ambazo nimekuta zimeainishwa ni kama 4 hivi ikiwemo
- talaka
- mgawanyo wa mali
- matunzo ya watoto
- kuishi na watoto
Sasa katika maisha yetu tulifanikiwa kijenga nyumba , kuwa na kiwanja pia usafiri ndio angalau kwa uchache vitu vya kueleweka.
Wazo langu mimi ni kwamba, sitaki habar za kugombania kitu na huyu mama ambaye mpaka sasa alishachukua watoto na kwenda kupanga mtaani.
Na mi pia nikaamua kuhamisha harakati zangu mkoani kulingana na nature ya shughul zangu.
Hivyo sina mpango wa kugombania mali wala chochote katika vyote tulivyo navyo.
Moja ya vipengele nimesoma kwenye hii samansi ya mahakama inasema "endapo mdaiwa /mlalamikiwa (mimi yani ) hatafika mahakamani , shauri litasomwa na kusikilizwa upande mmoja bila mimi kuwepo.
Sasa naomba kufahamu, kisheria kama nitaamua KUTOONEKANA mahakamani siku hiyo, je ,nitakua nimetemda UHALIFU ambao unaweza kunigharimu??
Naomba kusaidowa ufafanuzi.
Ahsanten
HUko koote alishanipeleka ila akagomea suluhu ndio maana kafika mahakamani.Ikifika mahakamani igiza kua Bado unaempenda sn mkeo na hauko tayar mtengane, kesi itaahirishwa.
Mtarudishwa Baraza la usuluhishi la kata, uko mtatenga kesi, na huko hamnaga kuachana na hakitauzwa kitu
KWan mkianza wote sifuri ndio maana yake mmetafuta sawa ?Mkuu kwanini useme kitu chako wakati unasema mlianza wote sifuri?
Pole sana Mkuu. Inaonyesha mke ndo alikuwa mtafutaji mkuu wa mkate na maendeleo mengine ya familia. Kama ni hivi, mie naona uko sawa.Wakuu heshima kwenu.
Habari za jioni, poleni na majukumu (kwa wale wenye majukukumu).
Naomba kufahamishwa KISHERIA kama kichwa cha uzi kimavyojieleza.
Mi hivi, baada ya mgogoro wa ghafla sana (only 2 months now) na vurugu zilizofuata hapo, hatimae mke wangu ame file kesi mahakama ya mwanzo jii ya dai la talaka.
Nimepogiwa simu siku kadhaa zimepita sasa kitaarifiwa pia kitakiwa kuchukua wito "samansi" wa mahakama juu ya kesi husika na kweli nikachukua.
Charges ambazo nimekuta zimeainishwa ni kama 4 hivi ikiwemo
- talaka
- mgawanyo wa mali
- matunzo ya watoto
- kuishi na watoto
Sasa katika maisha yetu tulifanikiwa kijenga nyumba , kuwa na kiwanja pia usafiri ndio angalau kwa uchache vitu vya kueleweka.
Wazo langu mimi ni kwamba, sitaki habar za kugombania kitu na huyu mama ambaye mpaka sasa alishachukua watoto na kwenda kupanga mtaani.
Na mi pia nikaamua kuhamisha harakati zangu mkoani kulingana na nature ya shughul zangu.
Hivyo sina mpango wa kugombania mali wala chochote katika vyote tulivyo navyo.
Moja ya vipengele nimesoma kwenye hii samansi ya mahakama inasema "endapo mdaiwa /mlalamikiwa (mimi yani ) hatafika mahakamani , shauri litasomwa na kusikilizwa upande mmoja bila mimi kuwepo.
Sasa naomba kufahamu, kisheria kama nitaamua KUTOONEKANA mahakamani siku hiyo, je ,nitakua nimetemda UHALIFU ambao unaweza kunigharimu??
Naomba kusaidowa ufafanuzi.
Ahsanten
Ndio nataka kufahamu sasa hii ina effect kweli au kisheria imekaaje?Kuhusu mkopo sema mahakamani! Usikubali kulipa mkopo peke yako.
Wakuu heshima kwenu.
Habari za jioni, poleni na majukumu (kwa wale wenye majukukumu).
Naomba kufahamishwa KISHERIA kama kichwa cha uzi kimavyojieleza.
Mi hivi, baada ya mgogoro wa ghafla sana (only 2 months now) na vurugu zilizofuata hapo, hatimae mke wangu ame file kesi mahakama ya mwanzo jii ya dai la talaka.
Nimepogiwa simu siku kadhaa zimepita sasa kitaarifiwa pia kitakiwa kuchukua wito "samansi" wa mahakama juu ya kesi husika na kweli nikachukua.
Charges ambazo nimekuta zimeainishwa ni kama 4 hivi ikiwemo
- talaka
- mgawanyo wa mali
- matunzo ya watoto
- kuishi na watoto
Sasa katika maisha yetu tulifanikiwa kijenga nyumba , kuwa na kiwanja pia usafiri ndio angalau kwa uchache vitu vya kueleweka.
Wazo langu mimi ni kwamba, sitaki habar za kugombania kitu na huyu mama ambaye mpaka sasa alishachukua watoto na kwenda kupanga mtaani.
Na mi pia nikaamua kuhamisha harakati zangu mkoani kulingana na nature ya shughul zangu.
Hivyo sina mpango wa kugombania mali wala chochote katika vyote tulivyo navyo.
Moja ya vipengele nimesoma kwenye hii samansi ya mahakama inasema "endapo mdaiwa /mlalamikiwa (mimi yani ) hatafika mahakamani , shauri litasomwa na kusikilizwa upande mmoja bila mimi kuwepo.
Sasa naomba kufahamu, kisheria kama nitaamua KUTOONEKANA mahakamani siku hiyo, je ,nitakua nimetemda UHALIFU ambao unaweza kunigharimu??
Naomba kusaidowa ufafanuzi.
Ahsanten
Ehehehe..kwann mkuu?Mke wako ataolewa na Hakimu
KWan mkianza wote sifuri ndio maana yake mmetafuta s
Kwahiyo yeye alikuwa amekaa anakuangalia wewe Tu unatafuta unaleta??KWan mkianza wote sifuri ndio maana yake mmetafuta sawa ?
Nimekuelewa vizuri sanaKabisa hapo ndo mtego ulipo ndo maana ni muhimu kwenda mahakamani ili kama unachochote cha kusema mahakama itapima uzito wa hoja zako au itakupa utaratibu mzuri wa hukumu itakayotoka na utakua unaelewa nini kinaendelea , kutokwenda mahakamani siyo uamuzi mzuri sana mwanamke anaweza kutumia hilo gape vibaya
Mkuu, kwa nini unakuwa na moyo dhaifu na mawazo dhaifu?Unawezaje kugomea talaka mkuu, nisaidie hapo ufafanuzi
Kisheria ina effect Kama moja ya Mali aliyoiorodhesha ipo Kama dhamana haiwezi kugaiwa mpaka hapo itakapokuwa imemaliza deni..Ndio nataka kufahamu sasa hii ina effect kweli au kisheria imekaaje?
Eheheh..sawa bwana. Ila hayo ni matusi umenitukana nikiwa kama mwanaume nayetambua majukumu yanguPole sana Mkuu. Inaonyesha mke ndo alikuwa mtafutaji mkuu wa mkate na maendeleo mengine ya familia. Kama ni hivi, mie naona uko sawa.