Nini madhara ya Kutoonekana mahakamani katika kesi ya Ndoa?

Nini madhara ya Kutoonekana mahakamani katika kesi ya Ndoa?

Acha tu kuna kipindi tulinunua kiwanja mm nilikuwa naishi mkoa mwingine na yeye mkoa mwingine sasa kutokana na kumuamini sikuwahi kumuuliza kuhusu document za hicho kiwanja. Hivi karibuni nikauliza nimepigwa kalenda miez kadhaa sasa juz juz ananionyesha hizo document nakuta kajiandika yeye tu
🙆‍♂️🤦‍♀️
 
Huko kwa mama yao atakuwa anawajaza sum wakuchukie wamama wengi wanapata dhambi hapo.
Ni kweli
Kama ni wakubwa wachukue akiktaa Mwambie basi awatunze mwenyewe .
Je hii kimahakama inarusiwa, kuwa anaweza akagomea niwachukue licha ya kuwa ni wakubwa?
Na akigomea ,kisheria naqezaje kuishawishi mahakama kuwa awatunze mwenyewe??
 
Acha tu kuna kipindi tulinunua kiwanja mm nilikuwa naishi mkoa mwingine na yeye mkoa mwingine sasa kutokana na kumuamini sikuwahi kumuuliza kuhusu document za hicho kiwanja. Hivi karibuni nikauliza nimepigwa kalenda miez kadhaa sasa juz juz ananionyesha hizo document nakuta kajiandika yeye tu
Na ukimuuliza why? Kwann hakuandika wote wawili??
 
Umenikumbusha mbali sana, nilizaa na mwanamke, nikaamua kuishi naye bila kufunga ndoa, (sukutaka kufunga ndoa haraka haraka) nilimtambulisha kwetu na Kwao nilienda kujitambulisha nikaishia hapo.
Miaka kadhaa baadaye nikagundua Ana-date x wake, nikathibitisha pasiposhaka kwamba ameliwa siku tatu mfululizo! (Aliniaga anakwenda kusalimia Msiba wa shangazi yake, kumbe anaenda kuliwa na jamaa yake wa zamani)

Nilimuuliza baada ya kujiridhisha na ushenzi aliofanya, akawa mbogo hataki kuulizwa chochote, nikaamua kufanya maamuzi magumu, nikamwambia NITALEA MTOTO na wewe uendelee na mahusiano yako, akanijibu sheets za maana! Nikalazimika kujizuia kumpiga ili nisiingie kwenye kesi isiyo na ulazima!
Nilipomuacha cha kwanza akakimbilia mahakamani, alipoulizwa anataka nini akasema anataka tugawane mali ili akaendelee na maisha yake, nilipoitwa nilienda, nikawaambia sijawahi kumuoa huyo mwanamke zaidi ya Kazaa naye, hivyo nitawajibika kmtunza mtoto tu.
Alipotakiwa kuthibitisha mimi kuwa mume wake akasema tumeishi pamoja zaidi ya miaka 2, nikwaambia sijawahi kuishi naye kwa hata miezi Sita Kwani nilikuwa nafanya kazi mahali tofauti na palipokuwa na makazi!
Baada ya purukushani nyingi na matusi juu, hatimaye nikapewa jukumu la kutunza mtoto!

Kwa kuwa Ali kuwa jeuri, mtoto alikuwa na miaka 9 nikaiomba mahakama inipe idhini ya kuishi na mtoto, nikakubaliwa!

Ameridi mwaka Jana December, kuniomba msamaha na kutaka turudiane, nikamwambia asithubutu kuniletea ushenzi, nisijeondoka na shingo yake! Anajiliza liza mpaka leo kutaka turudiane!
Da, kisa chako karibu ni kama changu. Hapo kwa kuaga kwa anakwenda kwenye msiba. Hawa wanawake haswa wa uswazi wanapenda sana kwenda kwenye misiba na sherehe ili wapate nafasi ya kufanya ukahaba.
 
Ni kwel lakin, japo kwa watoto inawapa shida hasa mwanzo ingawa after a while wanazoea.
Haizoeleki mkuu,,kadri siku zinavozid kwenda na maumivu yanapaa kwa mtoto,haswaaa mkubwa anayejua utamu wa kuishi na baba na mama.
 
Da, kisa chako karibu ni kama changu. Hapo kwa kuaga kwa anakwenda kwenye msiba. Hawa wanawake haswa wa uswazi wanapenda sana kwenda kwenye misiba na sherehe ili wapate nafasi ya kufanya ukahaba.
Ndoa sio za kuzikimbilia kimbilia kabisa, unaweza kujikuta unaanza na jehanamu ya hapa duniani na bado mbinguni unaikuta nyingine!
 
Sasa akataka amfunge mpaka mwanae ?? Hiz familia kiukwel za kuangalia sana kabla ya hujachukua uamuzi wa kuoa

Sababu aliwahi kuta sms ya mchepuko ndio chanzo cha shari,
Mke akafanya fitina kwa watoto wote waweze ku-side nae lakini huyo mmoja ni amejibainisha kusimama na baba yake Basi mama katokea kumchukia na kumfanyia ukatili mbaya kuliko maelezo.
Kwa hiyo bifu likaendelea hapo hapo.
Imagine 🤔🤔🤔
Mzazi unashindana na mtoto kweli umfunge uharibu future yake !.
Ndio maana kumbe hata mbwa na mbuzi wanazaa wala sio issue wala nini.
 
Sababu aliwahi kuta sms ya mchepuko sio chanzo cha shari,
Mke akafanya fitina kwa watoto wote Wawrze ku-side nae lakini huyo mmoja ni amejibainisha kusimama na baba yake Basi mama katokea kumchukia na kumfanyia ukatili mbaya kuliko maelezo.
Kwa hiyo bifu likaendelea hapo hapo.
Imagine 🤔🤔🤔
Mzazi unashindana na mtoto kweli umfunge uharibu future yake !.
Ndio maana kumbe hata mbwa na mbuzi wanazaa wala sio issue wala nini.
Daahhhh...huyo mama basi ni noma sanaa..
 
Back
Top Bottom