Hatua ya kwanza tumechukua ni kuaza kulala na majaba au mabeseni ya maji chumbani kwani inasemekana hata wakikupulizia dawa ya kulala haifanyi kazi (hatuna uhakika).
Wanatia hasira sana hao viumbe.
Hii haiuiAngalia pia isije ikauwa familia yako au Jamaa zako!!? Mistake zipo! Mtego wa panya hata mendi aweza nasa!!!
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Wakishajua aina ya kufuli ndo wmeshua na aina ya fuunguo, kinachofuata ni kuja na lundo la funguo malaya za aina hiyo.Kuna funguo fulani wanachongaga
Mafundi funguo.....wakishapata/jua
Kitasa chako au kufuli lako
Wao wanachonga funguo malay
Wakija kwako wanakuja na maufunguo kama askari magereza
Hawakukosi
Na uwizi huu wanafanya huko pembezoni mwa miji
Ova
Umenikumbusha mkuu, kipindi zile nyumba 300 za kisasa dodoma zilipokuwa zinajengwa funguo nyingi zilikuwa zinaingiliana tu! Yaani hata huwazi nichukue funguo gani! Mradi tu uwenazo 2&3 unauhakika zitafungua. Kipindi watu sio wengi mitaa ile nyumba zimesafishwa sana na waizi.Kwa taarifa yako funguo nyingi za milango ya grill zinaingiliana
Si zile komeo za grill na funguo wanauza 15000/25000 kama sikosei
Ova
Misigiri ndani ndani huku😂😂😂😂
funguo za grill zinaingiliana kweli,mi mlango wa ndani si wa grill ila ufunguo wake unafungua grill ya njeKwa taarifa yako funguo nyingi za milango ya grill zinaingiliana
Si zile komeo za grill na funguo wanauza 15000/25000 kama sikosei
Ova
Zinasaidiaje kudhibiti ujambaz/wizi wa ghafla? Mfano hao wanaotumia gesi kufungua makufuli, na wanaopuliza dawa za usingizi.. utaangalia kesho yake jinsi ulivyoibiwa na waliofunga nyuso kwa mask!Fungeni. CCTV cameras
Mafundi karibia wote ni wezi wakiamua kukuchoma au wakiwekewa dau kubwaNina rafiki majambazi wezi sijui, walipofika nyumbani kwake, waka wanahangaika na mlango wa jikoni, hapo mlinzi walishampiga mapanga, R.I.P alifariki, rafiki akawa bize kupigia simu majirani, katika purukushani, mmoja wao wale wezi, akawaambia wenzake, siyo mlango huu ni ule mlango wa Mbele, wakaenda mlango wa Mbele, wanajua walichofanya, Ila mlango ulifunguka fasta Tu, wakaingia, wakakomba walivyoweza, DK 10 nyingi, majirani wakawa wameshaamshana, mmoja alikuwa na silaha akaipiga juu, wezi wakakimbia!
Nahisi wakati wa ujenzi. Kuna Kikundi cha mafundi au someone kwenye shughuli nzima anayewapa ramani!
Mpaka kesho hatukujua nini, Ila walibadili milango, na locks na makomeo yakaongezeka!
Tatizo la hizi adhabu za papo kwa papo ni namna ya kuthibitisha kama mnayemuua ndiye haswa ni Mwizi.
Mnaweza kukurupusha Wezi wakasepa alafu mkakutana na Jamaa katoka kwenye shughuli zake wala ahusiki na Wananchi tayari mihemuko ipo juu unafikiri atapona?.
Kuna Ka ukweli hapa, hii ni kaa laana inaenda vizazi na vizazi!Elewa mwizi ni shetani aliyevaa mwili wa binadamu. Kwa akili ya kawaida huwezi kuwa mwizi ni lazima uvae roho, thus wezi wote ni lazima wawe washirikina.
Mwizi hawezi Acha wizi kwa kipigo au kifungo ile ni roho.
Mwizi ni mtumwa yaani nafsi yake imeuzwa kwa shetani, nafsi yake ikirejeshwa huwa wanajutia Sana maisha ya wizi na huwa watu wema kwenye Jamii. Roho ya mwizi inaambukizwa inazaliwa na uzao wa wezi. Pana familia babu ni mwizi mstaafu, watoto wezi wajukuu wezi.
Kaka kwema,. ISECURE TECHNOLOGY tunaweza kukufungia GPS kwenye Tv yako. Hii GPS itakusaidia wakati umeibiwa unaweza kujua wezi wako wameelekea wapi na tv yako. hii ni ulinzi tosha kabisaNiende moja kwa moja kwenye mada kama maeneo nayoishi kumekuwa na vitendo vya wizi mchana na usiku ila style wanayotumia wizi ni kama aina mpya flani kwani kama miezi miwili kuna wezi walivamia usiku kwenye duka la vifaa vya ujenzi na kuiba bila kuvunja grill yaani walifungua kufuli kama kwao vile.
Juzi tena kuna jirani mchana ametoka amefunga mlango pamoja na grill jamaa wakaenda wakafungua kama kwao na kubeba kila kitu walichotamani kubeba.
Usiku wa leo jamaa wameenda tena mtaa wa jirani wakafungua mlango bila kuvunja wakabeba Tv ,simu pamoja na pesa japo kwa maelezo yake anahisi walimpulizia dawa za kulala .
Hatua ya kwanza tumechukua ni kuaza kulala na majaba au mabeseni ya maji chumbani kwani inasemekana hata wakikupulizia dawa ya kulala haifanyi kazi (hatuna uhakika).
Ila kinachotupa shida wanawezaje kufungua milango na magrill bila kufunja wanatumia njia gani na njia gani ya kuweza kudhibiti wizi huu wa majumbani?
[emoji1787][emoji1787]Mimi nilichotendwa na wezi aisee hata nikisikia mtaa flani huko Singida wamekamata mwizi niko radhi nipande Bus ili nikashiriki kumpiga japo naishi moro