Nini njia ya kukomesha wizi huu majumbani?

Kuna funguo fulani wanachongaga
Mafundi funguo.....wakishapata/jua
Kitasa chako au kufuli lako
Wao wanachonga funguo malay
Wakija kwako wanakuja na maufunguo kama askari magereza
Hawakukosi
Na uwizi huu wanafanya huko pembezoni mwa miji

Ova
Wakishajua aina ya kufuli ndo wmeshua na aina ya fuunguo, kinachofuata ni kuja na lundo la funguo malaya za aina hiyo.

Njia nyingine wanayotumia ni unga wa baruti ya kununua au hata ya kiberiti tu, njia hii utakuta ule utumbo wa ndani ya kufuli uko nje! Ni wahuni sana'
 
Kwa taarifa yako funguo nyingi za milango ya grill zinaingiliana
Si zile komeo za grill na funguo wanauza 15000/25000 kama sikosei

Ova
Umenikumbusha mkuu, kipindi zile nyumba 300 za kisasa dodoma zilipokuwa zinajengwa funguo nyingi zilikuwa zinaingiliana tu! Yaani hata huwazi nichukue funguo gani! Mradi tu uwenazo 2&3 unauhakika zitafungua. Kipindi watu sio wengi mitaa ile nyumba zimesafishwa sana na waizi.
 
Misigiri ndani ndani huku😂😂😂😂

Ndanindani kitusha au ulemo?

Wezi hawana adabu. Walisafisha gari vifaa muhimu na iligharimu sana kujiweka sawa. Kama hautoshi baada ya wiki tatu wakaijia TV.

Nikipewa taarifa ya wizi jambo la kwanza nauliza nyie wote mko salama? Wakishajibu ndio, navuta shuka naendelea kuota.
 
Kwa taarifa yako funguo nyingi za milango ya grill zinaingiliana
Si zile komeo za grill na funguo wanauza 15000/25000 kama sikosei

Ova
funguo za grill zinaingiliana kweli,mi mlango wa ndani si wa grill ila ufunguo wake unafungua grill ya nje
 
Fungeni. CCTV cameras
Zinasaidiaje kudhibiti ujambaz/wizi wa ghafla? Mfano hao wanaotumia gesi kufungua makufuli, na wanaopuliza dawa za usingizi.. utaangalia kesho yake jinsi ulivyoibiwa na waliofunga nyuso kwa mask!
 
Wale jamaa ni wachawi ila pia wana tembea na kifaa Fulani kipo kama nondo au spoku wakigusa kwenye kofuli au kitasa kinaachia
 
Mafundi karibia wote ni wezi wakiamua kukuchoma au wakiwekewa dau kubwa
Au wale wapuliza dawa sijui nini wote watoa ramani wale.
 
Kufuli halizuii mwizi kuiba, kufuli linachomwa na kiberiti cha gas, kisha linaachia
 

Pana mtu wa jogging asubui tena ni daktari alfajiri aliwahi chomwa moto bila hatia kuhisiwa mwizi,wezi walikurupushwa wakakimbia uelekeo wa jamaa wa jogging bahati mbaya wakamuungia wizi, ikawa mwisho wake
 
Elewa mwizi ni shetani aliyevaa mwili wa binadamu. Kwa akili ya kawaida huwezi kuwa mwizi ni lazima uvae roho, thus wezi wote ni lazima wawe washirikina.
Mwizi hawezi Acha wizi kwa kipigo au kifungo ile ni roho.
Mwizi ni mtumwa yaani nafsi yake imeuzwa kwa shetani, nafsi yake ikirejeshwa huwa wanajutia Sana maisha ya wizi na huwa watu wema kwenye Jamii. Roho ya mwizi inaambukizwa inazaliwa na uzao wa wezi. Pana familia babu ni mwizi mstaafu, watoto wezi wajukuu wezi.
 
Kuna Ka ukweli hapa, hii ni kaa laana inaenda vizazi na vizazi!
 
Mmeshauriwa camera mnaanza kuuliza humuhumu tena ooh bei gani kama Kuna duka hapa
Yapo madukani jamani
Kama mnaona ni gharama pia kununua Solex ya myahudi Basi weka gogo na kamba wakifungua tu linaondoka na mtu

Yaani ni kurudi enzi za The Flinstones sawa
 
Mimi wamebeba TV na laptop majuzi tena mchana. Dawa ziendeshwe operations za kura za siri kila mtaa alafu Polisi wachunguze wakisaidiana na viongozi wa mtaa. Wezi wanafahamika mitaani.
 
Mimi nilichotendwa na wezi aisee hata nikisikia mtaa flani huko Singida wamekamata mwizi niko radhi nipande Bus ili nikashiriki kumpiga japo naishi moro
 
Ukipata mwizi home kwako dawa yake ni hii chukua msumari wa nchi 4 gonja kichwani kwake mwachie aende zake tu
 
Kaka kwema,. ISECURE TECHNOLOGY tunaweza kukufungia GPS kwenye Tv yako. Hii GPS itakusaidia wakati umeibiwa unaweza kujua wezi wako wameelekea wapi na tv yako. hii ni ulinzi tosha kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…