Nini Sababu: Mume amehama ghafla na kwenda kupanga bila ugomvi wala maelezo yoyote

Nini Sababu: Mume amehama ghafla na kwenda kupanga bila ugomvi wala maelezo yoyote

Kuna group lingine la wanaume waokaa bar na wale wanaopenda kushinda kazini,kurudi makwao ni night kali nao wana mengi ya kusema ndio hivyo wameamua kumezea ila ndani wanaumia japo hawasemi.

Wale wanaoshinda bar unaweza sema ni wanavizia malaya kumbe anatuliza maumivu, ambayo pombe ikiisha yanarudi tena.
 
ana watoto na huyo mke wake? if yes, basi kuna kitu amegundua kimemfadhaisha hajapona rohoni. If hana watoto nae, basi kuna kitu huyo mkewe anamkosea sanaa na kaamua kutake some space kidogo, then akiwa sawa atarudi, ila tu ikiwezekana. Something is not right pahali about that marriage, i wish wasolve tu wasitese watoto.
 
Huwezi linganisha ndoa na tabia za watoto, ndoa zina mambo magumu sana mtu akiongea utashangaa huyu si huwa yupo happy muda wote , kumbe huko ndani kwake ni sarakasi za kutosha
Kuna ukweli hapa, huenda ndoani kwake akawa Ni mkorofi sn, tulio nje hatuoni
 
ana watoto na huyo mke wake? if yes, basi kuna kitu amegundua kimemfadhaisha hajapona rohoni. If hana watoto nae, basi kuna kitu huyo mkewe anamkosea sanaa na kaamua kutake some space kidogo, then akiwa sawa atarudi, ila tu ikiwezekana. Something is not right pahali about that marriage, i wish wasolve tu wasitese watoto.
Watoto wanne kabisa, Tena wakubwa, WA mwisho Yuko darasa la nne
 
Amini nakwambia MKE anajua sababu ya mumewe kuondoka nyumbani. huko kote alikoenda anatafuta tu defensive mechanism as usual anaplay uvictim ila chanzo cha mumewe kuondoka anakijua, narudia tena ANAJUA CHANZO
 
Nimeweka mfano wa watoto alama ya nafsi isiyoridhika baada ya kukosa udhibiti.......

Wale walioamua au kuchagua kuishi na mwenza sio kama wamefungwa matamanio bali wamefanikiwa kuyadhibiti matamanio
Kuna kesi moja mme hakuwa vizuri kiafya na sijui ilitokea nini zaidi ya miaka 2 mme bila bila mke anavumilia baada ya muda eti mwanaume ana mtoto nje, mke anashangaa huyu mtoto anapatikanaje kipindi mme hana nguvu za hisia humu kumbe Mimi navumilia ujinga, sasa ukimkuta mke anachepuka atalaumiwa nani! Na mtoto mwenyewe hakuwa wake alitiwa aibu!😄
 
Mpeleke kwa wazazi wake au ndugu zake. Siku akitokewa na mengine huku labda pia ndio muda wa kutolewa kafwalwa basi yatakukuta wewe msamaria mwema, jirani mwema.
Tulishauriana na wife amsihi aende kwao, hataki kabisa, pia kumforce akarudi kwake inakua Kama tunamfukuza kisa ana matatzo, kitu ambayo Kama haisound vzuri
 
Sema jamaa mbona anaonekana Hana stress, anaendelea na shughuli zake Safi kama kawaida.
Mkuu ukikutana na mimi utasema nipo ok kabisa, lakini sipo hivyo.Nipo stressed yani nachanganyikiwa hata kula nashindwa.Kama leo sijatoka nje ya geti nipo ndani tu tangu jana.Tulio wengi tupo hivyo.Sema jana nimelia sana,ma mechi za ulaya leo zimenipa ahueni pia.
 
Iliwahi mkuta jamaa yetu mmoja kijiweni alikua msabato anatushangaa tunakunywaje pombe Hadi usiku WA manane bar.

Siku akavurugwa na mkewe,akajifunza pombe, yeye ndo tulikua tunamuacha bar, analetwa bajaji kalewa chakali.

Nowdays naona kapunguza😀
 
Kuna ukweli hapa, huenda ndoani kwake akawa Ni mkorofi sn, tulio nje hatuoni
Mwingine akirudi yupo busy na mambo yake kama ni simu atachat wee mpaka wakati wakulala mke akiuliza Mzee vipi, anaonekana mke mkorofi anampigia makelele, sasa vitu kama hivyo, kuna mmojà mke akimuuliza sasa baba chanja vipi mbona kulala tuu!? Mwanaume ana amka na kupiga simu Kwa ndugu zake huyu mwanamke ananisumbua 😃 ndugu anaanza kumchukia mkewe eti anamnyanyasa kaka yao, piga picha kitu kama hicho.
 
Hapo Kuna mambo mwamba anajua yanaendelea kwa mke wake na ni mambo ambayo inawezekana mwanamke alifanya sili Sana hrf mwamba alipoyachambua amegundua Mali zitakuja kumuua ndiomana amejiongeza,, fatilia kabila la mwanamke unaweza kuta niyale makabila ya kuua wanaume kisa mali
 
Back
Top Bottom