Mtambachuo
JF-Expert Member
- May 6, 2023
- 1,907
- 3,560
- Thread starter
-
- #41
Tena kwa confidence kabisa kumbe unakuta kuna mambo chini ya kapeti.Yule aliyekamatwa na Semi-trailer lenye Mabomba kumbe limejaa Wahamiaji haramu unadhani wanaweza kusema ukweli zaidi ya Kukwambia tu Biashara ya Bomba inalipa.
Ina fikirisha kwa kweli mkuuWanga wanakuwaangia,wanatafuta chanzo kikuu Cha ustawi wako,kama ni mke anaanza kuzingua,kama ni kazi migogoro inaaanza kazini,kama ni duka wanakunyima wateja au chuma ulete na short!
Mfano panya wengi wanatafuna Hadi biscuits,soda dukani!
Hayo nimeona kabisa!
Hakuna mtu anae waonea wivu au chuki ila tunachosema kwa waeleze uhalisia au bora wawe kimya kuliko hivyo wanavyoelezea haviendani na uhalisia.Kwanini nchi hii watu mnachuki na watu waliofanikiwa ni lini nchi ilikuwa tajiri kwanini hamtaki kuamini walianza kuuza karanga mpaka kutajirika ni kama vile darasa ni Moja lakini wapo wachache wanapata div 1 na wengine wanapata div 0 hilo linawezekana kabisa
Hatimae utapata doo 😀🤣🤣
Kutoboa kwa njia hii ni ngumu sana, bora niendelee na mishe mishe nyingine 😁Hatimae utapata doo 😀🤣🤣
Ni kweli mkuu bora ufanye kwa vitendo mishe mishe zilizopo mazingira yako.Kutoboa kwa njia hii ni ngumu sana, bora niendelee na mishe mishe nyingine 😁
Sasa unataka ukweli upi mtu kama superfeo alianza kuhustle alivyomaliza darasa la saba wakati wengine waliendelea na shule miaka kumi mbele mpaka chuo biashara huwa inasumbua ukiwa na mtaji mdogo Kuna kuanguka sana wengi huwa wanakata tamaa hapa ila wanaokaza mwisho ukijipata halafu ukaweka njaa zaidi Mzee utajiri upoHakuna mtu anae waonea wivu au chuki ila tunachosema kwa waeleze uhalisia au bora wawe kimya kuliko hivyo wanavyoelezea haviendani na uhalisia.
Wapo wanaopata division one kwa kununua mtihani sio wote wanapata kwa njia ya kawaida.
Watu wapambane kwa kumtegemea Mungu.Utajiri sio jambo rahisi hakuna mtu hapambani ukweli naouona Kuna njia mbili za kufanikiwa Moja unapambana mungu anaweka tiki huu ni utajiri mzuri ambao hauna maagano wa pili ni WA shetani ambao unaupata kiraisi sana na kwa maagano na huu mwisho wake unakuwa sio mzuri sasa wewe ndio wa kuchagua uende upande upi
Sawa sawa mzee wa kazi.Sasa unataka ukweli upi mtu kama superfeo alianza kuhustle alivyomaliza darasa la saba wakati wengine waliendelea na shule miaka kumi mbele mpaka chuo biashara huwa inasumbua ukiwa na mtaji mdogo Kuna kuanguka sana wengi huwa wanakata tamaa hapa ila wanaokaza mwisho ukijipata halafu ukaweka njaa zaidi Mzee utajiri upo
Honore de BalzacWasalam wakuu,
Imekuwa ni jambo la kawaida matajiri wakihojiwa kuhusu utajiri wao utasikia anasema nilianza na baiskeli sasa
namiliki kampuni kubwa ya mabasi. Mwingine atasema nilianza mama ntilie leo namiliki hoteli kadhaa mjini, mwingine anasema nilianza kushona viatu ila sasa na miliki kiwanda cha viatu, mara nilianza na mtaji wa 20,0000 sasa nina billion 5.
Wanaeleza mambo kana kwamba ni mepesi sana na baadhi ya vijana wasio fikirisha akili yao vizuri wana chukua kama ilivyo wana hamasika wana enda kupambana bila mafanikio, matokeo yake wanakata tamaa zaidi. Jamani kama alivyo wahi sema Mh raisi mstaafu Jakaya Kikwete kwamba akili za kuambiwa changanya na za kwako hii ni muhimu sana.
Nyie mna mtizamo gani ndugu wanabodi.
Kabla hajapambana na MaranzanoKamuulize vito andollini wa kwenye godfather. . Yeye alikuwa mfanyabiashara ya mafuta ya olive akiagiza kutoka italia na kuyaingiza marekani.
This is great. Wewe unaonaje? What do you have in mind?Honore de Balzac
Honoré de Balzac
"Honoré de Balzac" published on by Oxford University Press.www.oxfordreference.com
Le secret des grandes fortunes sans cause apparente est un crime oublié, parce qu'il a été proprement fait.
The secret of a great success for which you are at a loss to account is a crime that has never been found out, because it was properly executed.
often quoted as ‘Behind every great fortune lies a great crime’
Le Père Goriot (1835)
Ndio hivyo kitu kingine watu baraka huwa zinaanzia kwenye ulimwengu wa Roho ukitumia akili zako hauwezi kupata mafanikio huwezi kufanikiwa ubongo wa binadamu unasiri nyingi ila Mungu ametuwekea kuwa limited mpaka pale utakapomtafuta Kuna Siri za ulimwengu utazijuaSawa sawa mzee wa kazi.
. Nakushauri endelea tu kutafuta hela za mboga inatosha.Mkuu kumbe kuna mambo mazito ndani yake?
Hapo ulipo kunywa bia kumi,Never listen to motivation speakers.......
Watu wengi waongo, si matajiri tu.This is great. Wewe unaonaje? What do you have in mind?