Nini ufanye mkeo anapoanza vituko ndani ya ndoa?

Nini ufanye mkeo anapoanza vituko ndani ya ndoa?

Vijana na hata baadhi ya wazee wasiyo na akili wanawadanganya sana.

PESA; Ndoa haiunganishwi kwa pesa bali Upendo, ukimwambia kijana tafuta pesa, oa ukiwa na pesa ni unamharibia maisha yake ya NDOA.

Wote na wengine ni rafiki zangu wamepotoka sana, kuna Ndoa zimekula mweleka kwa sababu jamaa alikuwa na pesa na maisha mujarabu kuna wakati pesa zimemtafuta mwingine zikamuacha na mke akakimbia.

Unganeni kwenye NDOA mkiwa na Upendo pesa isiwe kiunganishi mtakula mweleka, maana pesa haina mwenyewe so, siku pesa ikianza kukuona wewe siyo, inakukimbia.

Mke anapoanza vituko, jaribu kufuatilia vinatokana na nini na baada ya kugundua anzia hapo kusolve huo ugonjwa.
 
Nipo kwenye ndoa miaka 13...aisee hela ina nafasi sana kwenye ndoa...mwanamke ukija nyumbani na mfuko umejaa hela unaweza pigwa na bumbuwazi ukazimia kwa jinsi atakavyobadilika tabia yake chaaap!
In seconds anakua kama wakati ulivyomua yaani ile karibia mnafunga ndoa upendo,mahaba viuno,huruma aisee...

Mwambie jamaa ako arudishe urafiki na noti...na ýatakayofuta yatamfurahisha....
 
Falsafa ya ndoa.
0 - 5yrs. = mahaba niue niponde kama kokoto. In short ni honeymoon phase, mpka miguu utakandwa. Pia hapa wale mafisi hawakosekani, wataendelea kumsumbua wife lakini most times unakuta kashika msimamo. Pia ndo kipindi anakuchunguza kama zile ahadi ulizokua unaweka unazitimiza maana wanawake wenyewe wanaamini kwenye ndoto na sio reality. Pia atakua msaada mkubwa kujitahidu msaidiane kufikia malengo.
5-10yrs - hapa ndo hua kisebengo kinaanza. Maana kipindi hiki ndo unakuta tayari ana katoto kamoja maximum viwili, pia kazini unaeza kuta kapandishwa cheo na mshahara juu (usisahau linapokuja suala la pesa, kwa mwanamke ni changu changu, chako chetu). Pia hiki kipindi ka dharau ndo kanakua kazito maana anaanza kuamini anaeza kutoboa yeye mwenyewe na akalea watoto because uwezo upo. Pia anaanza kuona ananyimwa uhuru n.k. kama anakula vzur anaanza kupendeza zaidi, na hapa wanakuja mafisi wakubwa (ze mubabaz). Hiki kipindi ni kigumu na ukikivuka tunasema ni nusu ya safari.
10-15yrs - hapa wenge hua linakata. Akicheki ndani watoto hata watatu tayari, pia jua lishaanza kuzama, hayuko marketable kama zamani. Hapa wanarudi kwa spidi kubwa kujitahidi kuleta maendeleo makubwa ndani ya familia ili msizeeke kiugumu n.k. heshima itakua 50% lakn utajihisi kama mko pamoja kwenye utaftaji n.k
15 - 20yrs - katika kipindi hiki hua mwanamke anakubali yaishe. Mtakapokua mmefikia hapo ndo anaona bas tena. Kama mko apeche aroro, atakubali tu hvo hvo. Hakuna tena maximum struggle, ni kujitahd kumaintain kilichopo. Heshima inakua 25% in short mwanaume huna jipya. Lawama hazikosekani kua ulichezea maisha na wanawake zako n.k. yapasa moyo mgumu
20 - 25yrs - hapa ndo kipindi most men unahangaika na magonjwa yasioambukiza kama presha na kisukari. Kipindi hiki pia watoto wamekua a.k.a tayari wamekua ugali i.e wako tayari. Hapa mwanamke anageukia watoto na kuanza kuwaonyesha upendo uliokithiri ukiunganishwa na lawama nyingi kwako ili yeye aonekane zaidi. Kwahyo usipoangalia hapa unabaki mwenyewe yeye na watoto mahaba ndindindi.. kama kawaida mwanaume unakaza moyo.
25-30yrs - most times japo ni ajabu hiki ndo kipindi ndoa nyingi zinavunjika. Mwanaume anastaafu anapata fungu lake. Anaanza kulichezea kama hana akili nzuri maana anaona sasa hv yuko mboga hakuna wa kumbabaisha. Usisahau pia wife hapa pia anaeza kua anazichota kwa spidi kubwa. Mwanaume anajiona kama kijana na yeye hakosi totoz. Mwanamke anatumia hiki kama kigezo cha kuona anaonewa. So hapo ndo safari za kwenda kwa watoto zinakua nyingi. Mwanaume unabaki mwenyewe unahangaika yeye yuko kwa watoto anazunguka na kulelewa.
30 - 35 yrs - uzee tayari, uko mwenyewe maana wife unamuona kwa manyato. Watoto tayari wamekutenga unabaki huelewi kipindi. Kama upendo bado upo hapa mtazeeka nae kama watu mnaofahamiana, yaani hakuna vurugu kila mtu anamjua mwenzake kiundani. Tofauti na hapo unakula ngumi ya ndoige, wana tunakula mpunga, tunakufukia chini tunakusahau.
Neno langu sio sheria. Kila mtu amuombe Mungu ampe rehema
 
Falsafa ya ndoa.
0 - 5yrs. = mahaba niue niponde kama kokoto. In short ni honeymoon phase, mpka miguu utakandwa. Pia hapa wale mafisi hawakosekani, wataendelea kumsumbua wife lakini most times unakuta kashika msimamo. Pia ndo kipindi anakuchunguza kama zile ahadi ulizokua unaweka unazitimiza maana wanawake wenyewe wanaamini kwenye ndoto na sio reality. Pia atakua msaada mkubwa kujitahidu msaidiane kufikia malengo.
5-10yrs - hapa ndo hua kisebengo kinaanza. Maana kipindi hiki ndo unakuta tayari ana katoto kamoja maximum viwili, pia kazini unaeza kuta kapandishwa cheo na mshahara juu (usisahau linapokuja suala la pesa, kwa mwanamke ni changu changu, chako chetu). Pia hiki kipindi ka dharau ndo kanakua kazito maana anaanza kuamini anaeza kutoboa yeye mwenyewe na akalea watoto because uwezo upo. Pia anaanza kuona ananyimwa uhuru n.k. kama anakula vzur anaanza kupendeza zaidi, na hapa wanakuja mafisi wakubwa (ze mubabaz). Hiki kipindi ni kigumu na ukikivuka tunasema ni nusu ya safari.
10-15yrs - hapa wenge hua linakata. Akicheki ndani watoto hata watatu tayari, pia jua lishaanza kuzama, hayuko marketable kama zamani. Hapa wanarudi kwa spidi kubwa kujitahidi kuleta maendeleo makubwa ndani ya familia ili msizeeke kiugumu n.k. heshima itakua 50% lakn utajihisi kama mko pamoja kwenye utaftaji n.k
15 - 20yrs - katika kipindi hiki hua mwanamke anakubali yaishe. Mtakapokua mmefikia hapo ndo anaona bas tena. Kama mko apeche aroro, atakubali tu hvo hvo. Hakuna tena maximum struggle, ni kujitahd kumaintain kilichopo. Heshima inakua 25% in short mwanaume huna jipya. Lawama hazikosekani kua ulichezea maisha na wanawake zako n.k. yapasa moyo mgumu
20 - 25yrs - hapa ndo kipindi most men unahangaika na magonjwa yasioambukiza kama presha na kisukari. Kipindi hiki pia watoto wamekua a.k.a tayari wamekua ugali i.e wako tayari. Hapa mwanamke anageukia watoto na kuanza kuwaonyesha upendo uliokithiri ukiunganishwa na lawama nyingi kwako ili yeye aonekane zaidi. Kwahyo usipoangalia hapa unabaki mwenyewe yeye na watoto mahaba ndindindi.. kama kawaida mwanaume unakaza moyo.
25-30yrs - most times japo ni ajabu hiki ndo kipindi ndoa nyingi zinavunjika. Mwanaume anastaafu anapata fungu lake. Anaanza kulichezea kama hana akili nzuri maana anaona sasa hv yuko mboga hakuna wa kumbabaisha. Usisahau pia wife hapa pia anaeza kua anazichota kwa spidi kubwa. Mwanaume anajiona kama kijana na yeye hakosi totoz. Mwanamke anatumia hiki kama kigezo cha kuona anaonewa. So hapo ndo safari za kwenda kwa watoto zinakua nyingi. Mwanaume unabaki mwenyewe unahangaika yeye yuko kwa watoto anazunguka na kulelewa.
30 - 35 yrs - uzee tayari, uko mwenyewe maana wife unamuona kwa manyato. Watoto tayari wamekutenga unabaki huelewi kipindi. Kama upendo bado upo hapa mtazeeka nae kama watu mnaofahamiana, yaani hakuna vurugu kila mtu anamjua mwenzake kiundani. Tofauti na hapo unakula ngumi ya ndoige, wana tunakula mpunga, tunakufukia chini tunakusahau.
Neno langu sio sheria. Kila mtu amuombe Mungu ampe rehema
Mkuu hiyo 5-10 ni balaa aiseee motoo unawakaaaa.. Cheo kinapandaa dharau ndo kama zotee sijui umejuaje hayaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Falsafa ya ndoa.
0 - 5yrs. = mahaba niue niponde kama kokoto. In short ni honeymoon phase, mpka miguu utakandwa. Pia hapa wale mafisi hawakosekani, wataendelea kumsumbua wife lakini most times unakuta kashika msimamo. Pia ndo kipindi anakuchunguza kama zile ahadi ulizokua unaweka unazitimiza maana wanawake wenyewe wanaamini kwenye ndoto na sio reality. Pia atakua msaada mkubwa kujitahidu msaidiane kufikia malengo.
5-10yrs - hapa ndo hua kisebengo kinaanza. Maana kipindi hiki ndo unakuta tayari ana katoto kamoja maximum viwili, pia kazini unaeza kuta kapandishwa cheo na mshahara juu (usisahau linapokuja suala la pesa, kwa mwanamke ni changu changu, chako chetu). Pia hiki kipindi ka dharau ndo kanakua kazito maana anaanza kuamini anaeza kutoboa yeye mwenyewe na akalea watoto because uwezo upo. Pia anaanza kuona ananyimwa uhuru n.k. kama anakula vzur anaanza kupendeza zaidi, na hapa wanakuja mafisi wakubwa (ze mubabaz). Hiki kipindi ni kigumu na ukikivuka tunasema ni nusu ya safari.
10-15yrs - hapa wenge hua linakata. Akicheki ndani watoto hata watatu tayari, pia jua lishaanza kuzama, hayuko marketable kama zamani. Hapa wanarudi kwa spidi kubwa kujitahidi kuleta maendeleo makubwa ndani ya familia ili msizeeke kiugumu n.k. heshima itakua 50% lakn utajihisi kama mko pamoja kwenye utaftaji n.k
15 - 20yrs - katika kipindi hiki hua mwanamke anakubali yaishe. Mtakapokua mmefikia hapo ndo anaona bas tena. Kama mko apeche aroro, atakubali tu hvo hvo. Hakuna tena maximum struggle, ni kujitahd kumaintain kilichopo. Heshima inakua 25% in short mwanaume huna jipya. Lawama hazikosekani kua ulichezea maisha na wanawake zako n.k. yapasa moyo mgumu
20 - 25yrs - hapa ndo kipindi most men unahangaika na magonjwa yasioambukiza kama presha na kisukari. Kipindi hiki pia watoto wamekua a.k.a tayari wamekua ugali i.e wako tayari. Hapa mwanamke anageukia watoto na kuanza kuwaonyesha upendo uliokithiri ukiunganishwa na lawama nyingi kwako ili yeye aonekane zaidi. Kwahyo usipoangalia hapa unabaki mwenyewe yeye na watoto mahaba ndindindi.. kama kawaida mwanaume unakaza moyo.
25-30yrs - most times japo ni ajabu hiki ndo kipindi ndoa nyingi zinavunjika. Mwanaume anastaafu anapata fungu lake. Anaanza kulichezea kama hana akili nzuri maana anaona sasa hv yuko mboga hakuna wa kumbabaisha. Usisahau pia wife hapa pia anaeza kua anazichota kwa spidi kubwa. Mwanaume anajiona kama kijana na yeye hakosi totoz. Mwanamke anatumia hiki kama kigezo cha kuona anaonewa. So hapo ndo safari za kwenda kwa watoto zinakua nyingi. Mwanaume unabaki mwenyewe unahangaika yeye yuko kwa watoto anazunguka na kulelewa.
30 - 35 yrs - uzee tayari, uko mwenyewe maana wife unamuona kwa manyato. Watoto tayari wamekutenga unabaki huelewi kipindi. Kama upendo bado upo hapa mtazeeka nae kama watu mnaofahamiana, yaani hakuna vurugu kila mtu anamjua mwenzake kiundani. Tofauti na hapo unakula ngumi ya ndoige, wana tunakula mpunga, tunakufukia chini tunakusahau.
Neno langu sio sheria. Kila mtu amuombe Mungu ampe rehema
Daaa
 
Kwa moyo wa dhati, naomba tulijadili hili kiutu uzima, huende tukaokoa maisha ya mtu mmoja.
Kama chanzo au tatizo ni wewe, tengeneza ulipo haribu. Ila kama ni kinyume chake ongeza mke mwingine. Sisi hivi ndivyo huwa tunafanya.
 
Back
Top Bottom