Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,452
- 8,670
Anaempa kiburi aje kumchukuwa ili niwe huru na anaenipenda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maneno, kiburi, dharau, hashauriki, ni yeye na simu, simu na yeye muda wote yuko insta anawafuatilia ma superstar hadi anasahau majukumu yakeInategemea anasumbuq kuhusu nini, jeuri, kiburi, dharau, si mnyenyekevu, si msikivu, mzinzi, hakaliki nyumbani, hana uaminifu labda pesa anaiba, udanganyifu au uongo, urafiki na mashosti mashankupe, mlevi wa simu na tv, mchafu hapendi usafi, anajiamulia vitu bila kuomba ruhusa, nini hasa ukiweka bayana ni vizuri hicho kisa chenyewe
Dini hairuhusu sheikhKama chanzo au tatizo ni wewe, tengeneza ulipo haribu. Ila kama ni kinyume chake ongeza mke mwingine. Sisi hivi ndivyo huwa tunafanya.
SawaAngalia mmepunguza nini kitu ambacho ulikuwa unafanya na sasa hufanyi
Sio kweli kabisa.Chunguza sana utagundua kwamba mtu hawezi kua mwanaume na awe romantic at the same time.
Binafsi nmemuelewa na naamin changu ni changu tyuMzee mmoja wa kichaga alikuwa anampa wasaa mwanae wa kiume kwenye harusi yake. Akamwambia "Mwanangu mimi sitaki kupindisha maneno. Nakuambia ukweli. Ukubali ukatae shauri yako. Akamwambia kwenye ndoa yako ukiona vituko vimezidi cheki mfukoni mwako au katika account yako ya benki.Ukiona mfuko uko vizuri na benki uko vizuri na bado vituko haviishi ujue wewe ndio tatizo.
Lakini ukiona mfukoni hauna kitu na benki hauna kitu na vituko haviishi tafuta hela. Ukishindwa muache mtoto wa watu aende. Kama ni wako atarudi. Kama sio wako sio wako tu hata ukeshe unaomba. Sikubaliani na "conclusion" ya huyu mzee wa kichaga lakini siwezi kumpinga kwa sababu ni mzee na ameona mengi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bado utarudi home na kukuta vituko vinakungoja
Tupe ushuhuda 😁😁Sio kweli kabisa.
Mkanye mpe onyoKwa moyo wa dhati, naomba tulijadili hili kiutu uzima, huende tukaokoa maisha ya mtu mmoja.
😁😉[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kopi and pasteMzee mmoja wa kichaga alikuwa anampa wasaa mwanae wa kiume kwenye harusi yake. Akamwambia "Mwanangu mimi sitaki kupindisha maneno. Nakuambia ukweli. Ukubali ukatae shauri yako. Akamwambia kwenye ndoa yako ukiona vituko vimezidi cheki mfukoni mwako au katika account yako ya benki.Ukiona mfuko uko vizuri na benki uko vizuri na bado vituko haviishi ujue wewe ndio tatizo.
Lakini ukiona mfukoni hauna kitu na benki hauna kitu na vituko haviishi tafuta hela. Ukishindwa muache mtoto wa watu aende. Kama ni wako atarudi. Kama sio wako sio wako tu hata ukeshe unaomba. Sikubaliani na "conclusion" ya huyu mzee wa kichaga lakini siwezi kumpinga kwa sababu ni mzee na ameona mengi.
Kiburi kama nyegereMkanye mpe onyo
Wazo zuri mnoHakikisha unakopa kopa Sana,
Yaan asset zako zote muhimu zinakua ktk mikopo mikopo sehem tofauti.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa huyo Kwa hizi tabia likely pia anapakuliwa, na kama pia kazi za nyumbani anafanya zote house girl, angalia je chumbani kwenu umakini wa usafi ukoje, anafanya regularly? anapiga pasi nguo zako, aina hii dawa yao ni taarifa zifike Kwa wazazi wake aibu ya kifamilia ndio inanguvu ya kumbadilisha tabia, kushatakia Kwa wakwe sijajua kanuni ikoje ila ndio jibu zito la kumshtua. Everytime unamuongelesha record mazungumzo ushahidi wa majibu kwenye family matters ni msingi wanabishaga hao.Maneno, kiburi, dharau, hashauriki, ni yeye na simu, simu na yeye muda wote yuko insta anawafuatilia ma superstar hadi anasahau majukumu yake
Mnakaa chini unamuelekeza anachofanya si kizuri, na kumvumilia. Wanawake wote tuna vituko, vinatofautiana tu....na sio makusudi ndivyo tulivyoumbwa.
Muhimu kuwa na mke ambae anarekebishika akirekebishwa.
Maneno kuntu sana hayaNdoa ni zaidi ya hilo....japo hilo ni sehemu muhimu ya ndoa.