Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Inategemea anasumbuq kuhusu nini, jeuri, kiburi, dharau, si mnyenyekevu, si msikivu, mzinzi, hakaliki nyumbani, hana uaminifu labda pesa anaiba, udanganyifu au uongo, urafiki na mashosti mashankupe, mlevi wa simu na tv, mchafu hapendi usafi, anajiamulia vitu bila kuomba ruhusa, nini hasa ukiweka bayana ni vizuri hicho kisa chenyeweKwa moyo wa dhati, naomba tulijadili hili kiutu uzima, huende tukaokoa maisha ya mtu mmoja.
Heshima kwako MKUUFalsafa ya ndoa.
0 - 5yrs. = mahaba niue niponde kama kokoto. In short ni honeymoon phase, mpka miguu utakandwa. Pia hapa wale mafisi hawakosekani, wataendelea kumsumbua wife lakini most times unakuta kashika msimamo. Pia ndo kipindi anakuchunguza a tunakula mpunga, tunakufukia chini tunakusahau.
Neno langu sio sheria. Kila mtu amuombe Mungu ampe rehema
Ona hiliTafuta pesa ,,
Hakuna ndoa yenye pesa mke akafanya vituko.
Tunawapaga miuno ya ndoige🤣Hivi hao wanawake huwa wanawapeni nini mpaka mnaofikia hatua ya kuwaoa?
Kumpiga chini na kumrudisha kwao akawafanyie vituko ndugu zake
Mpaka hapa sion solid reason ya kuoa aseeFalsafa ya ndoa.
0 - 5yrs. = mahaba niue niponde kama kokoto. In short ni honeymoon phase, mpka miguu utakandwa. Pia hapa wale mafisi hawakosekani, wataendelea kumsumbua wife lakini most times unakuta kashika msimamo. Pia ndo kipindi anakuchunguza unakula mpunga, tunakufukia chini tunakusahau.
Neno langu sio sheria. Kila mtu amuombe Mungu ampe rehema
mpandishe cheo awe bi mkubwaKwa moyo wa dhati, naomba tulijadili hili kiutu uzima, huende tukaokoa maisha ya mtu mmoja.
Ukiona una pesa na mke anafanya vituko,Ona hili
Tukiwa wanaume mnasema hatuko romantic 🏃Wanaume tafuteni pesa then muwe wanaume.
Ndoa ni zaidi ya hilo....japo hilo ni sehemu muhimu ya ndoa.Unampa dudu la kutosha? Au ndio unamchafua chafua tu mtoto wa watu na hayo maji yako mazito?
NakaziaTafuta chanzo kinachopelekea kuwa na tabia za kisumbufu...
Kama ni tabia, cheo kazini, marafiki, nduguze, menopause au wewe mwenyewe mwanaume umebadilika...
Usiogope kuoa. Maana kuoa ndo kunaleta maturity. Maturity ya mwanaume ni ku deal na matatizo na sio kuyakimbia. Pia ujue on the future utapata watoto, na sio wote hawatataka kuoa / kuolewa. Wewe kama mzazi inabd uwe mfano kwa wanao.Mpaka hapa sion solid reason ya kuoa asee
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwani kuwa mwanaume ndio sio kuwa romantic?Tukiwa wanaume mnasema hatuko romantic [emoji125]
Chunguza sana utagundua kwamba mtu hawezi kua mwanaume na awe romantic at the same time.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwani kuwa mwanaume ndio sio kuwa romantic?